The Wairau Affray of 17 June 1843, also called the Wairau Massacre and the Wairau Incident, was the first serious clash of arms between British settlers and Māori in New Zealand after the signing of the Treaty of Waitangi and the only one to take place in the South Island. The incident was sparked when a magistrate and a representative of the New Zealand Company, who held a deed to land in the Wairau Valley in Marlborough in the north of the South Island, led a group of European settlers to attempt to arrest Ngāti Toa chiefs Te Rauparaha and Te Rangihaeata. Fighting broke out and 22 British settlers were killed, nine after their surrender. Four Māori were killed, including Te Rongo, who was Te Rangihaeata's wife.
The incident heightened fears among settlers of an armed Māori insurrection. It created the first major challenge for Governor Robert FitzRoy, who took up his posting in New Zealand six months later. FitzRoy investigated the incident and exonerated Te Rauparaha and Te Rangihaeata, for which he was strongly criticised by settlers and the New Zealand Company. In 1944 a land claims commission investigation determined that the Wairau Valley had not been legally sold. The government was to pay compensation to the Rangitāne iwi, determined to be the original owners (until the early 1830s, when Te Rauparaha had driven them from the area).
Baada ya Watu wengi kuhoji uoga wa Iran kuigusa Israel, wairan walipo ndani ya Iran wale ambao hawataki tawala ya Hawa mamullah wametoa ya moyoni.
Wanasema Marekani hata ashambulie vipi bado hawaoni kama vita imerudi, wanaamini na wanatamani Israel iingie kati sababu Israel huwa hawana utani...
Ni kipi haswa ulichosimamia😁😁 muuaji ayatollah anaeua watu wake kwa ajili ya madaraka au watu wa iran ambao kiasili ndio wenye nchi?
Hakuna unajua wewe zaidi ya ushabiki, unashibikia IRGC kwa maana wana wakilisha unyama ulionao ndani yako na unyama wa itikadi mnayo share nao.
https://x.com/nmebadi/status/2041356156413661510?s=20
https://x.com/i/status/2017987125895925982
Utawala wa Iran umeweka giza la taarifa kwa zaidi ya mwezi sasa, mtandao umezimwa ili kuzuia ukweli usiwafikie watu wa nje.
Ni chini ya asilimia 1 tu ya wananchi wenye uwezo wa kupata internet, na...
Basij ni wanamgambo wa Iran wanaofanya kazi chini ya mwavuli wa jeshi kuu la IRGC, (Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran).
Hata hivyo, tofauti na jeshi hilo rasmi lenye muundo wa kijeshi na majukumu ya kimkakati, wao hujikita zaidi katika kuhakikisha utii wa utawala katika ngazi za...
Leo ijumaa tuombee dua sana watu wa Iran walinde nchi yao iliovamiwa na maadui.
Wanaharakati wa Tanzania pia tuwaombee dua macho yao yafunguke ili wajue maana ya haki za binaadam.
Kwanini wanashindwa kulaani raia wa Isreal na marekani wanaonyanyswa kutuma picha za matukio ya vita nchini kwao?
Basi lililokuwa likibeba timu ya wanawake ya soka ya Iran lilipokuwa linatoka, hali ghafla ikageuka kuwa ya kutisha pale wachezaji walipoanza kutoa ishara ya kuomba msaada wakiwa ndani ya basi.
Yote haya yalianza baada ya kukataa kuimba wimbo wa taifa katika mchezo wao wa kwanza wa kimataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.