Tujifunze kuwa wakweli

Tujifunze kuwa wakweli

Mubby777

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
1,627
Reaction score
5,702
Mwaka 2009 Abdallah Khamis(mchezaji mpya wa simba) alimaliza kidato cha nne na mdogo wangu Nkende Sec kule Tarime mjini.
Kipindi hicho alikuwa anacheza ligi ya wilaya na mkoa kupitia timu ya Tarime utd enzi hizo ya moto ikifadhiriwa na mgodi ikiwa na akina Babu Matacha/Idd na wakiwa wanamkodi Chambiri kutoka Son sugar ya Kenya huyuhuyu aliyekuwa kocha msaidizi Biashara

Tupige hesabu now ni 2023 wamedai ana miaka 24
Tutoe 2023-2009 aliyomaliza kidato cha nne inabaki 14
So alimaliza kidato cha nne akiwa na 14
Tutoe minne ya secondary inabaki 10
Tutoe 7 ya shule ya msingi inabaki 3

inachekesha kuacha mkude mwenye 30 ambaye tangu anakua mnamuona so mko sure na miaka yake na kumchukua mtu ambaye hammjui kisa mmedanganywa umri

Yule dogo umri wake ni 32/33 au 34

Em tusiwe tunadanganya umri kwenye mpira ndo yale yale ya Okwi nimeanza msikia niko Sec mpk leo mimi nina zaid ya 35 ila ye hajafika 30
 
Mkuu usilolijua ni usiku wa giza!
Yule dogo inasemekana alikuwa mtoto mwenye kipaji na kipanga sana ikapelekea kurushwa madarasa huko praimare alisoma miaka3 tu akauwa skonga ndo kufika seko mpira akawa anaudonoa sana masomo akaona sio inshu!!
 
Mkuu usilolijua ni usiku wa giza!
Yule dogo inasemekana alikuwa mtoto mwenye kipaji na kipanga sana ikapelekea kurushwa madarasa huko praimare alisoma miaka3 tu akauwa skonga ndo kufika seko mpira akawa anaudonoa sana masomo akaona sio inshu!!

so ili awe na miaka 24 manake hajasoma sec au alirushwa miaka mitano
 
Hii mbona ni kwa wachezaji wengi tu kama sio wote wa kiafrika,, ni kawaida sana bro umesahau ya Michael Essien,,!? Mrisho Ngassa wakati anatajwa kuwa na umri wa miaka 22 alikua na mtoto wa miaka 7,, kausha buda,,
 
Mwaka 2009 Abdallah Khamis(mchezaji mpya wa simba) alimaliza kidato cha nne na mdogo wangu Nkende Sec kule Tarime mjini.
Kipindi hicho alikuwa anacheza ligi ya wilaya na mkoa kupitia timu ya Tarime utd enzi hizo ya moto ikifadhiriwa na mgodi ikiwa na akina Babu Matacha/Idd na wakiwa wanamkodi Chambiri kutoka Son sugar ya Kenya huyuhuyu aliyekuwa kocha msaidizi Biashara

Tupige hesabu now ni 2023 wamedai ana miaka 24
Tutoe 2023-2009 aliyomaliza kidato cha nne inabaki 14
So alimaliza kidato cha nne akiwa na 14
Tutoe minne ya secondary inabaki 10
Tutoe 7 ya shule ya msingi inabaki 3

inachekesha kuacha mkude mwenye 30 ambaye tangu anakua mnamuona so mko sure na miaka yake na kumchukua mtu ambaye hammjui kisa mmedanganywa umri

Yule dogo umri wake ni 32/33 au 34

Em tusiwe tunadanganya umri kwenye mpira ndo yale yale ya Okwi nimeanza msikia niko Sec mpk leo mimi nina zaid ya 35 ila ye hajafika 30
Cha maana acheze mpira tunavyotaka. Mengine hayakuhusu
 
Back
Top Bottom