waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 348
Habari wana JF natumain my wazima na buheri wa afya NJEMA
Leo nataka nikupe hii
1.ulisha wahi kuingilia kitu hakikuhusu kikakurudia ukaonekana wew ndo una makosa?
2.kuitika huku hujaitwa we we?
3.Kumjibia MTU swali ambalo hujaulizwa wewe?
4.kuingilia ugomvi ukapgwa wewe?
5.kujifanya unajua kila kitu alafu ukagundulika wew ni muongo?
Type kisa kimoja tucheke hapa na
Leo nataka nikupe hii
1.ulisha wahi kuingilia kitu hakikuhusu kikakurudia ukaonekana wew ndo una makosa?
2.kuitika huku hujaitwa we we?
3.Kumjibia MTU swali ambalo hujaulizwa wewe?
4.kuingilia ugomvi ukapgwa wewe?
5.kujifanya unajua kila kitu alafu ukagundulika wew ni muongo?
Type kisa kimoja tucheke hapa na