Nilishatangaza uchumba na Malaria Sugu ila ghafla kapotea tu.
Malaria Sugu na FF wamepigwa bann ya mwaka mmoja...
Usitafute mchumba mwanasiasa....
Tafuta jukwaa la Matangazo madogo
Mwamnie awahi jukwaa la utambulisho....ajipayoe
wake mapemaaa kabla hajachakachuliwa
Nilisikia kuna ndoa zimevunjika....
1....Preta na Mtu Chake
2....Rejao na Cantalisia
3....Nitonye na Sweetlady
4....Smiling Saint na Smile
Mh nawapa pole sana watalaka wote....karibuni tena kwa kundi la mabachelor
Ngoja tukutafutie Jane000
Bora niichukue YUTONG Engine nyuma kuliko yule kimeo...
Khaaaaaa!uwiiiii,natangaza kwa atakayenionea huyu ErickB52 anikamatie,hawezi kuleta uzushi wa aina hii kwenye ndoa yangu ya Rejao iliyo imara kiac hiki!popote ulipo ww zushi mda huu tuko ndan ya net na mme wangu tunaanda mlo wa usiku ebo!
Bora niichukue YUTONG Engine nyuma kuliko yule kimeo...
Nilisikia kuna ndoa zimevunjika....
1....Preta na Mtu Chake
2....Rejao na Cantalisia
3....Nitonye na Sweetlady
4....Smiling Saint na Smile
Mh nawapa pole sana watalaka wote....karibuni tena kwa kundi la mabachelor
ina maana smile ana mwingine tena!!?? Haaa
hahahahaaaa....!!!duh!
akaa....my bebii hawezi kuniacha kamwe.....
Kwani nina kosa gani??
Mi natekeleza maagizo ya thread.....
Dubu, acha kupoteza watu, Ban ipo kama kawaida. Halafu mambo machafu nilikwambia PM ni yapi? Mbona tuliongea tu kama watu wazima? haikua lazima kuanzisha uzi hapa. Na ukisema yale nilisema, na mimi nasema yako.mwenye udaku, umbea, uchonganishi, uzushi, majigambo, mipasho, dukuduku, atoe hapa leo kwa sababu hatapata ban hata akitukana. ofisi za jf wote jicho kwa luninga bungeni.
Mimi naanza kuna kasichana fulani kalinipm upuuzi yaani akaniambia mambo machafu. aliniambia matusi lakini mimi sitaki kufanya kayo matusi. kama akichangia tu namtaja live. Ikiwezekana nimtafutie mtu mwingine wa kumwambia hayo matusi hasahasa ntamtafutia kongosho. leo hakuna ban welawela siri zote za pm hadharani.
Ungekuwa hujaachika tungeshasikia unampa cha usiku...lolMaelekezo ya sred eee!bibi cheka kasema hataki usumbufu mda huu ucmbip yuko bize anafanya mazoezi kwa ajili ya shoo ya jmoc,anasema km ni hela atakutumia kwa mp ebo!
Swaiba ndio uko kwenye mchakato?