FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
Are you all Professors? Lazima mmalize vitabu kadhaa ili mambo yaende
ha ha tumesikia :smiling:
Are you all Professors? Lazima mmalize vitabu kadhaa ili mambo yaende
ha ha tumesikia :smiling:
Bora umesikia maana darasa gumu hilo...wengine wako la wanafanya experiment
Hapo chacha...mzima wewe lakini?Mie nimeshindwa hata kukoment !
sasa mtu akiwa serious atakuombaje kitumbua??au anakubaka??? mi najua ili muinjoi sex na love lazima wote muwe kwenye hali ya furaha na amani ..mi hakuna rafiki home kama mke wangu...ila ukumbuke urafiki wa kweli huwa haukosi matatizo /maudhi ya hapa na pale....chei chei wajameni, Hili swala la kujenga urafiki na waume zetu,linakuwa rahisi muda gani?mana wakati mwingine father house hata kukuangalia anakuiba? yani yupo zaidi ya serious!
sasa mtu akiwa serious
atakuombaje kitumbua??au anakubaka??? mi najua ili muinjoi sex na love
lazima wote muwe kwenye hali ya furaha na amani ..mi hakuna rafiki home
kama mke wangu...ila ukumbuke urafiki wa kweli huwa haukosi matatizo
/maudhi ya hapa na pale....
maudhi yapo kweli,lakini kucheka kidogo inakuwa shida,kitumbua kinaombwa kwa staili yake.
nkole!
Jina lako limenikumbusha mbali sana.
We ukitaka urafiki na mumeo usimuombe HELAAA!!!!! Period! Mpaka ajisikie kukupa!!!!!!! Hapo swadaktaaaa! Papushka ananunaa haswaa akihisi kupigwa mizinga!
Kuna kipindi nilivokuwa mdogo Mamushka ananituma kamwambie baba yako nahitaji hela kadhaaa, na akikataa unganganie hadi nipewe. LOL!
limekukumbusha wapi?
muda muafaka wa kujenga
urafiki na mumeo ni wakati wa uchumba,unajua kipindi cha uchumba ni
kipindi cha mapenzi motomoto ambacho unaweza kuwa huru zaidi na kipindi
hicho ndicho kipindi ambacho kitaleta picha ya mbele ya wewe na mumeo
,kitendo cha watu kuficha tabia zao ndiyo chanzo cha majuto mbele ya
safari, maana kama umeingia ndani ya ndoa na mumeo mkiwa serious asa
kuanzisha urafiki ndani ya ndoa na ingali tayari mna familia inawangoja
inahusuuuuu! ni lazima iwe ngumu kuliko , kwa walio kwenye ndoa waanze
urafiki wakiwa chumbani hasa kwa wakati wa mahakuli ya kiutu uzima
maana ndio sehemu watu husikilizana zaidi au kwa kumtumia mumeo sms
nyingi kila mara ukiweleza ni jinsi gani unajisikia uko juu zaidi
unapokuwa nae na kama wote wafanyakazi mkirudi home jitahidi uwezavyo
kuwa karibu zaidi na mumeo kuliko kupiga soga au kung'ang'ania jikoni
muda wote huku mumeo akiwa peke yake chumbani au sebuleni. thx.
kitambo 90's mitaa ya kurasini mivinjeni kabla ya ku-move external?
Ok naamini ni majina tu!
Yaan nashindwa kuelewa ni aina gani hii ya mahusiano isiyo na urafiki...
Mie kwangu measkron ndio kila kitu, anajua wakati wa kunichekesha, kunitania, kunionya, kunibembeleza...
She is my best friend kwa kweli nami kwake hivyo hivyo...
chei chei wajameni, Hili swala la kujenga urafiki na waume zetu,linakuwa rahisi muda gani?mana wakati mwingine father house hata kukuangalia anakuiba? yani yupo zaidi ya serious!
chei chei wajameni, Hili swala la kujenga urafiki na waume zetu,linakuwa rahisi muda gani?mana wakati mwingine father house hata kukuangalia anakuiba? yani yupo zaidi ya serious!
wengine hata humuombi kitu zaidi ya dushelel!lakini muda wooote kanuna,yani hadi una hesabu mwaka huu unaoisha tumecheka mara ngapi?kazi ipo