crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,135
- 729
Kwanza kabisa niungane na Watanzania wote katika kuomboleza msiba mzito wa wapendwa watoto wetu Maria na Consolata.
Kutokana na jinsi wazazi, Walimu na hasa mapacha walioungana Maria na Consolata kuonyesha bidii ya kipekee ya kutafuta elimu hadi kufikia chuo kikuu, nashauri yafuatayo.
1.Marehemu watunukiwe digrii ya heshima ambayo watapokea wazazi kwa niaba.
2.Ujengwe mnara wa kumbukumbu kuenzi juhudi za Maria na Consolata katika kutafuta elimu kwa ajili ya kuja kuwa walimu kwa wenzao.
Naomba tupaze sauti zetu ili mashujaaa hawa kumbukumbu yao idumu kizazi hadi kizazi.
Karibu tupaze sauti zetu.
Kutokana na jinsi wazazi, Walimu na hasa mapacha walioungana Maria na Consolata kuonyesha bidii ya kipekee ya kutafuta elimu hadi kufikia chuo kikuu, nashauri yafuatayo.
1.Marehemu watunukiwe digrii ya heshima ambayo watapokea wazazi kwa niaba.
2.Ujengwe mnara wa kumbukumbu kuenzi juhudi za Maria na Consolata katika kutafuta elimu kwa ajili ya kuja kuwa walimu kwa wenzao.
Naomba tupaze sauti zetu ili mashujaaa hawa kumbukumbu yao idumu kizazi hadi kizazi.
Karibu tupaze sauti zetu.