Jagermaster
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 654
- 317
This opinion is exclusive for Tanganyika's..
Eti wana jukwaa la siasa katika muungano huu wa serikali mbili upande wetu huu wa Tanganyika kupitia ofisi yetu ya Waziri mkuu Tawala za mikoa na Serikari za mitaa tukiamua kuipa hadhi mikoa yote ya Tanganyika kuwa na serikali zao na wakuu wa mikoa hiyo wachaguliwe na wananchi wa mikoa hiyo kupitia vyama au namna nyingine, na baada ya Mabadiliko hayo hao wakuu wa mikoa waitwe Marais si tutakuwa tumeweza kuipa hadhi mikoa ya Tanganyika sawa na Zanzibar ambayo nayo ina rais wake kwa sasa???!!!....na tutakuwa tumesawazisha bao, kwa maana sasa mabadiliko ya kumi ya katiba ya Zanzibar yanaleta utata, serikali ya Zanzibar inaonekana kuwa na hadhi sawa na serikali ya muungano. Serikali kuu ibaki na mambo yake ya ulinzi na usalama, foreign affairs, fedha na ugawaji wa mikoa uwe unaridhiwa na bunge la jamhuri ya muungano, then ndio tujadili katiba mpya. Maana katiba ambayo tunatarajia kuindika ni ya Muungano na wala haitagusa katiba ya Zanzibar ambao tayari wao wameweka sawa mambo yao sisi Tanganyika tunatapatapa tu. Wabunge wa bara mlio bungeni hili jukumu lenu, tunataka plat form ya kuongea mambo yetu ya Tanganyika, maana sasa tunaingia kwenye mjadala wa Katiba ya muungano ambapo mjadala pia utahusisha Wazanzibar, ambao wenyewe wanakatiba yao na mambo yao wameweka sawa.Ingawa Tanganyika hatuna jukwaa mimi naona kwa kuanzia ofisi ya Waziri mkuu Tawala za Mikoa na Serikari za mitaa mna kazi ya kufanya kwa hili na hili halihitaji UCHADEMA wa UCCM, kama unapenda Tanganyika yako linakugusa
Nawakilisha!.
Eti wana jukwaa la siasa katika muungano huu wa serikali mbili upande wetu huu wa Tanganyika kupitia ofisi yetu ya Waziri mkuu Tawala za mikoa na Serikari za mitaa tukiamua kuipa hadhi mikoa yote ya Tanganyika kuwa na serikali zao na wakuu wa mikoa hiyo wachaguliwe na wananchi wa mikoa hiyo kupitia vyama au namna nyingine, na baada ya Mabadiliko hayo hao wakuu wa mikoa waitwe Marais si tutakuwa tumeweza kuipa hadhi mikoa ya Tanganyika sawa na Zanzibar ambayo nayo ina rais wake kwa sasa???!!!....na tutakuwa tumesawazisha bao, kwa maana sasa mabadiliko ya kumi ya katiba ya Zanzibar yanaleta utata, serikali ya Zanzibar inaonekana kuwa na hadhi sawa na serikali ya muungano. Serikali kuu ibaki na mambo yake ya ulinzi na usalama, foreign affairs, fedha na ugawaji wa mikoa uwe unaridhiwa na bunge la jamhuri ya muungano, then ndio tujadili katiba mpya. Maana katiba ambayo tunatarajia kuindika ni ya Muungano na wala haitagusa katiba ya Zanzibar ambao tayari wao wameweka sawa mambo yao sisi Tanganyika tunatapatapa tu. Wabunge wa bara mlio bungeni hili jukumu lenu, tunataka plat form ya kuongea mambo yetu ya Tanganyika, maana sasa tunaingia kwenye mjadala wa Katiba ya muungano ambapo mjadala pia utahusisha Wazanzibar, ambao wenyewe wanakatiba yao na mambo yao wameweka sawa.Ingawa Tanganyika hatuna jukwaa mimi naona kwa kuanzia ofisi ya Waziri mkuu Tawala za Mikoa na Serikari za mitaa mna kazi ya kufanya kwa hili na hili halihitaji UCHADEMA wa UCCM, kama unapenda Tanganyika yako linakugusa
Nawakilisha!.