Tujadili Tamthiliya ya Sultan

Hurem na sultan wote watakufa ila ata wakifa still tamthilia itanoga

Mind you sultan ndo atakae muuwa ibrahim pasha kama unakumbuka kuna ndoto hadija sultan aliota kwamba kaletewa kichwa cha pasha basi ile ndoto ni yakweli

Mustafa sio mtoto wa ibrahim na mustafa atauliwa na sultan mwenyewe baada ya shinikizo la hurem

Hadija sultan aka hatec atajiua mwenyewe kwa kuogopa kuuliwa na sultan kwa kudhani kuwa amemuwa hurem(sidhani kama umenielewa)
Kwa hiyo nani atakuwa sultan sasa au ndio itaishaa au watoto wao ,mustafa alifanya kosa gani jamani mpaka kuuawa?
 
Hurem na sultan wote watakufa ila ata wakifa still tamthilia itanoga

Mind you sultan ndo atakae muuwa ibrahim pasha kama unakumbuka kuna ndoto hadija sultan aliota kwamba kaletewa kichwa cha pasha basi ile ndoto ni yakweli

Mustafa sio mtoto wa ibrahim na mustafa atauliwa na sultan mwenyewe baada ya shinikizo la hurem

Hadija sultan aka hatec atajiua mwenyewe kwa kuogopa kuuliwa na sultan kwa kudhani kuwa amemuwa hurem(sidhani kama umenielewa)
na kwa nn sultan atahisi hadija kamteka hurrem?? Mana ndio hapo hadija atakapojiua!
 
na kwa nn sultan atahisi hadija kamteka hurrem?? Mana ndio hapo hadija atakapojiua!

madam s hadija atajishuku yeye mwenyewe kwa kuzani kuwa sultan atafahamu kama yeye ndo kamua hurem kumbe hurem hajafa

So kwa ile khofu tu hadija atajiua kwa kuogopa kuuliwa na sultan
 
1. Hadije ameongea lile neno “nakutaliki” pale mwisho ili kukuweka attention mtazamaji. Hawezi kumtaliki,watasameheana.
2. Pasha hawezi kuuawa ksbb ni sehemu ya staring (ndio maana watazamaji wengi wanamkubali,halafu hawapendi yamkute mabaya)
3. Sultan atajua kile alichofanya pasha ila hawezi kumtoa auawe. Kinga ya pasha iko kwa Hadije. Hawezi kubariki kitu kama hicho kimtokee pasha. Sultan akifikia hapo atajiuliza mdogoake mwingine alivyomlilia kuuawa kwa mume wake. (recall shazad Mstafa alimuuliza mtukufu pamoja na shangazi kukulia ukamuua mumewe?) Mtukufu hatataka ile hali ijirudie,ukizingatia anampenda sana Hadije.
4. Tamthilia inaweza ikawa mwisho mwisho,ndio maana Hulem kafikia malengo,kudhihirisha ufalme wa Suleiman kwamba nae alidanganywa na mwanamke kama ilivyo kwa Adam na Hawa,kama ilivyo kwa Samson na Delila.
5. Sultan Suleiman atafariki,Mstafa atashika hatamu ya uongozi. Na uongozi wake utapendwa na wengi. Hapo naiona hatima ya Hulem
6. Mwisho Japo hii tamthilia si nzuri sana,ila yamo mafundisho ,ina makosa mengi,siku za mbeleni Azam wajaribu kuchagua tamthilia kali,kama zile au hata wanaweza kurudia hizo hazichuji (ACAPRUCO-BEY) wengi wataikumbuka zamani ITV nafikiri.
7. Tamthilia hazichagua jinsia,nafikiri yule anaetaka kulazimisha wengine wasiangalie ksbb ya jinsia anakosa muda. Wengine wanasema huwezi kuangalia Me kwa kisingizio cha muda unapata wapi? saa 4 usiku wewe Me utakuwa wapi badala ya kuwa home ukufurahia na watoto pamoja? (wenye familia). Sio rahisi ukipendacho wewe na mwingine akapenda.Tena msiangalia kuna mafundisho mnayakosa
Wewe ni muongo,
Ibrahim atauliwa na Sultan kwa kumtumia Watu (Wasiojulikana) wakamnyonge usiku wakati amelala.

Hapo Sultan atakua amewaua waume wawili wa dada zake (mashemeji zake), maana hata yule dada yake mwengine pia alimuulia mumewe.

Hata Mustafa hatokaa aurithi U-Sultan maana hata nae atakufa kabla ya Sultan, hao hao Watu Wasiojulikana Watamnyonga Shehazad Mustafa mbele ya Sultan kwa maagizo yake.

Nigal Kalfa atagundulika usaliti alioufanya kwa Hadije, adhabu yake itakua ni kupigwa mishale juu ya Mlima ili aangukie korongoni, lakini ataamua kujirusha mwenyewe (kujiua).

Baada ya Sultan Suleiman kufa (Shehazade Mustafa akuwa ashatangulia kabla yake) atakaerithi U-Sultan ni Shehazad mwengine mtoto wa Hurem.
 
Sultan ndiyo nani?
Sultan Suleiman Khan anaingiaaaaaaaa,
Pisha njiaaaaaaaa...!!!

Ukisikia hivyo basi inabidi msimame na muinamishe vichwa chini. Na kama mlikua mnapiga story basi mkae kimya maana mkulu anapita hapo mida hiyo.

Huyu ni aliekua ntawala wa Ottoman Empire, Himaya iliyotawala Mabara Matatu, wenyewe walimuita Mtawala wa Dunia. Himaya hii chimbuko au makao makuu yake ni Uturuki.

Ilikua ni himaya nyingine kuchagua either kua chini ya himaya hii au kuchapana mkono (vita). Na kwa vile himaya/dola/utawala huu ulikua na nguvu basi wengine walikubali bila vita, na waliokaidi walichapwa.

Sultan alikua ni Mtawala Strong, anaeogopwa na mataifa/himaya zingine. Na hata ndani kwake pia watu walimuheshimu na kumuogopa pia, ila udhaifu wake tu ni pale alipoingia kwenye penzi la Suriya Mtumwa wa Kirusi aitwae Alexander (Baadae alikuja kubadili dini na kuitwa Hurem- Mburudishaji).

Sultan alikua akimuona huyu mdada hapindui kabisa, kufikia kuachana na Mwanamke aliezaa nae awali (Mahdevran) na kumuoa huyu. Huyu Mahdevran pamoja na kuachwa still aliendelea kuishi kwrnye Kasri.

Mama yake Sultan (Afsa Hattum) au Validen kwa cheo aliupinga kwa nguvu zote uhusiano huu lakin Sultan hakusikia la yoyote. Ikawa ni mashindano kati ya Alexander (Hurrem) vs Validen & Mahdevran kwa pamoja. Ila sababu Hurrem ana backup ya Sultan mpenzi wake, aliweza kuruka vihunzi.

Hurrem alikua na wafuasi wake miongoni mwa vijakazi, walinzi, mamesenja, etc. Vivyo hivyo kwa Valide& Mahdevran, so haikua bifu au vita ya kitoto between them.

kifupi ni hivyo.
 
1. Hadije ameongea lile neno “nakutaliki” pale mwisho ili kukuweka attention mtazamaji. Hawezi kumtaliki,watasameheana.
2. Pasha hawezi kuuawa ksbb ni sehemu ya staring (ndio maana watazamaji wengi wanamkubali,halafu hawapendi yamkute mabaya)
3. Sultan atajua kile alichofanya pasha ila hawezi kumtoa auawe. Kinga ya pasha iko kwa Hadije. Hawezi kubariki kitu kama hicho kimtokee pasha. Sultan akifikia hapo atajiuliza mdogoake mwingine alivyomlilia kuuawa kwa mume wake. (recall shazad Mstafa alimuuliza mtukufu pamoja na shangazi kukulia ukamuua mumewe?) Mtukufu hatataka ile hali ijirudie,ukizingatia anampenda sana Hadije.
4. Tamthilia inaweza ikawa mwisho mwisho,ndio maana Hulem kafikia malengo,kudhihirisha ufalme wa Suleiman kwamba nae alidanganywa na mwanamke kama ilivyo kwa Adam na Hawa,kama ilivyo kwa Samson na Delila.
5. Sultan Suleiman atafariki,Mstafa atashika hatamu ya uongozi. Na uongozi wake utapendwa na wengi. Hapo naiona hatima ya Hulem
6. Mwisho Japo hii tamthilia si nzuri sana,ila yamo mafundisho ,ina makosa mengi,siku za mbeleni Azam wajaribu kuchagua tamthilia kali,kama zile au hata wanaweza kurudia hizo hazichuji (ACAPRUCO-BEY) wengi wataikumbuka zamani ITV nafikiri.
7. Tamthilia hazichagua jinsia,nafikiri yule anaetaka kulazimisha wengine wasiangalie ksbb ya jinsia anakosa muda. Wengine wanasema huwezi kuangalia Me kwa kisingizio cha muda unapata wapi? saa 4 usiku wewe Me utakuwa wapi badala ya kuwa home ukufurahia na watoto pamoja? (wenye familia). Sio rahisi ukipendacho wewe na mwingine akapenda.Tena msiangalia kuna mafundisho mnayakosa
Hicho kipengele cha 5 naona umeamua kutunga script ya kwako.... Ukilisikiliza tangazo la hiyo Tamthiliya ya Sultana kuna maneno huwa yanasemwa kwamba, "Penzi lilikomuibua mtumwa na kuwa mwanamke mwenye Nguvu zaidi duniani". Anyway ngoja tuone....
 
Ni kweli mkuu ubaya wa tamthilia hii Ni kuwa inatabirika mno yaana unawwza ukat aviri kipande kijaacho kitakuwaje hii sio dalili au sifa ya tamthilia nzuri
Good. Point. Ndio ubovu wa hii tamthilia,unaweza kabisa kuitabiri na ikawa hivyo. Mimi mara nyingi nawatabiria,ni chache nabug. Usipoiangalia siku moja haikusumbui kichwa kama zilivyokuwa ACAPRUCOBEY
 
Hicho kipengele cha 5 naona umeamua kutunga script ya kwako.... Ukilisikiliza tangazo la hiyo Tamthiliya ya Sultana kuna maneno huwa yanasemwa kwamba, "Penzi lilikomuibua mtumwa na kuwa mwanamke mwenye Nguvu zaidi duniani". Anyway ngoja tuone....
Mkuu,hapo mimi hakuna ninachokijua mbele,kila nilichoongea hapo ni vya kutunga tu kama ulivyoongea, kwa minajiri ya kubashiri tu. Sina ninachokijua mbele. Japo kwa hii tamthilia mara fulani fulani nilizotabiri ikawa,hata kwa 60%. Inatabirika
 
Wewe ni muongo,
Ibrahim atauliwa na Sultan kwa kumtumia Watu (Wasiojulikana) wakamnyonge usiku wakati amelala.

Hapo Sultan atakua amewaua waume wawili wa dada zake (mashemeji zake), maana hata yule dada yake mwengine pia alimuulia mumewe.

Hata Mustafa hatokaa aurithi U-Sultan maana hata nae atakufa kabla ya Sultan, hao hao Watu Wasiojulikana Watamnyonga Shehazad Mustafa mbele ya Sultan kwa maagizo yake.

Nigal Kalfa atagundulika usaliti alioufanya kwa Hadije, adhabu yake itakua ni kupigwa mishale juu ya Mlima ili aangukie korongoni, lakini ataamua kujirusha mwenyewe (kujiua).

Baada ya Sultan Suleiman kufa (Shehazade Mustafa akuwa ashatangulia kabla yake) atakaerithi U-Sultan ni Shehazad mwengine mtoto wa Hurem.

Atakae kuwa sultan ni selim yule mtoto wa hurem
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom