moe junior
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 894
- 854
Kuna mzee mmoja yupo Lindi, aliwahi kuniuzia dawa flani ipo katika chupa ndogo sana kama nusu ya robo lita hivi. Ile dawa unachanganya na maji then unamwaga kuzunguka shamba/nyumba/kiwanja etc. Hapo nyoka hawasogei. Nlijaribu shambani kwangu Pawaga Iringa tangu hapo sijawahi kuona nyoka. Nkaagiza tena nikaweka shambani kwangu vianzi (vikindu) pia sijaona nyoka na ninalala chini ya miti saaaafi.