smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,538
- 11,868
Ujasiri ni nini?
>>Ujasiri ni kitendo kuacha kazi kabla haujapata kazi nyingine.
>>Ujasiri ni kumzungumzia vibaya boss wako au mkuu wako wa idara mbele ya wapambe wake.
>>Ujasiri ni kuizungumzia vibaya kampuni iliyokuajiri, katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lako halisi.
>>Ujasiri ni kumtumia pesa demu ambaye mmefahamiana tu kupitia Instagram au Facebook baada ya yeye kukuomba.
>>Ujasiri ni kile kitendo cha wewe ambaye umri wako ni between 35 and 40, kupost videos TikTok ili utuonyeshe ulivyo mahiri wa kukata viuno na vituko mbalimbali.
>>Ujasiri ni kuingia Twitter kujiunga na wanaharakati mbalimbali (wapwa) kumtukana rais na cabinet yake, huku ukijua kabisa hizi ni nyakati za hatari na Twitter handle yako haipo well protected.
>>Ujasiri ni kutumia simu yako kupiga picha kambi ya jeshi, kupiga picha gari la mkuu wa idara ya usalama wa taifa au mkuu wa majeshi likiwa limepaki mtaani.
>>Ujasiri ni kusimama kandokando ya ukuta wa jeshi na kuanza kukojoa.
>>Ujasiri ni kumtumia girlfriend au boyfriend wako picha zako za utupu huku ukijua kabisa siku mkikorofishana, anaweza kuzitumia kukudhalilisha.
>>Ujasiri ni kufanya mapenzi na kahaba bila kuvaa kinga.
>>Ujasiri ni kutoka kimapenzi na mke au mume wa mtu huku ukijua za mwizi ni 40.
>>Ujasiri ni kuupangia apartment mchepuko wako na kuununulia fenicha zote za ndani.
Tuendelee kupeana tafsiri mbalimbali za ujasiri.
Karibu.
>>Ujasiri ni kitendo kuacha kazi kabla haujapata kazi nyingine.
>>Ujasiri ni kumzungumzia vibaya boss wako au mkuu wako wa idara mbele ya wapambe wake.
>>Ujasiri ni kuizungumzia vibaya kampuni iliyokuajiri, katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lako halisi.
>>Ujasiri ni kumtumia pesa demu ambaye mmefahamiana tu kupitia Instagram au Facebook baada ya yeye kukuomba.
>>Ujasiri ni kile kitendo cha wewe ambaye umri wako ni between 35 and 40, kupost videos TikTok ili utuonyeshe ulivyo mahiri wa kukata viuno na vituko mbalimbali.
>>Ujasiri ni kuingia Twitter kujiunga na wanaharakati mbalimbali (wapwa) kumtukana rais na cabinet yake, huku ukijua kabisa hizi ni nyakati za hatari na Twitter handle yako haipo well protected.
>>Ujasiri ni kutumia simu yako kupiga picha kambi ya jeshi, kupiga picha gari la mkuu wa idara ya usalama wa taifa au mkuu wa majeshi likiwa limepaki mtaani.
>>Ujasiri ni kusimama kandokando ya ukuta wa jeshi na kuanza kukojoa.
>>Ujasiri ni kumtumia girlfriend au boyfriend wako picha zako za utupu huku ukijua kabisa siku mkikorofishana, anaweza kuzitumia kukudhalilisha.
>>Ujasiri ni kufanya mapenzi na kahaba bila kuvaa kinga.
>>Ujasiri ni kutoka kimapenzi na mke au mume wa mtu huku ukijua za mwizi ni 40.
>>Ujasiri ni kuupangia apartment mchepuko wako na kuununulia fenicha zote za ndani.
Tuendelee kupeana tafsiri mbalimbali za ujasiri.
Karibu.