Tujadili kuhusu homa ya ini

baiser

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
1,451
2,172
Moja kati ya magonjwa hatari kwa sasa ni hili la HOMA YA INI,na moja ya njia za kuenea ni vaginal fluids n.k ni mda mwafaka kwa watafiti kuja na zana mfumo wa kondom watu wazivae wakati wa oral sex ili kujikinga .
Screenshot_20190727-104558.jpeg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom