Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Nakumbuka nimeharibu sana tu, wakati nakua; mama ndugu zangu walikuwa wakiniasa nilikuwa nawaona au wamepitwa na wakati au washamba.
leo kuna mengi nayakumbuka na ninajuta kama kaka yangu alivyowahi kuniambia "Kaunga, kuna muda wa majuto".
Nashukuru Mungu, sijaturn up to be worse (thanks to sala za mama yangu).
Lakini, ningekuwa mbali sana kama ningesikiliza na ku-slow down a bit.
Makosa yangu nimeyachukulia kama funzo, na kila nikipata nafasi nashare uzoefu na watu wengine (wadogo kiumri) na mwanangu pia.
Mara nyingine inakuwa ngumu sana na inauma unapomuona binti, kijana anapoelekea so unatumia hata vitisho (una-exaggerate issue) ili mradi tu asifanye kile unachomkataza (baada ya reasoning kushindikana of course).
Hii ni kutokana na kwamba, niliishi yale maisha once (nilipata nafasi ya kukosea na kujifunza kutokana na makosa hayo)
sasa maswali au changamoto zangu ni kwamba;
-ni kwa mambo gani tunaruhusu wanetu, dependants wetu wakosee hoping watajifunza kutokana na makosa?
-kwa mambo gani tunakuwa strict mpaka mwisho?
-ni sahihi kutumia vitisho (pale inapolazimika) ili kuprove point au kumscare kijana (mf: ushoga)?
-kwa utandawazi, maswala ya dating kwa teenagers tunafanya nini (i started dating when l was a teen)?
-is it fair kumzuia mtoto yale ambayo wewe uliyapitia? au kuna jinsi ya kumguide ili asipate madhara au awe responsible/
karibuni kwa mjadala, na samahani mtiririko unaweza kuwa sio mzuri sana.
leo kuna mengi nayakumbuka na ninajuta kama kaka yangu alivyowahi kuniambia "Kaunga, kuna muda wa majuto".
Nashukuru Mungu, sijaturn up to be worse (thanks to sala za mama yangu).
Lakini, ningekuwa mbali sana kama ningesikiliza na ku-slow down a bit.
Makosa yangu nimeyachukulia kama funzo, na kila nikipata nafasi nashare uzoefu na watu wengine (wadogo kiumri) na mwanangu pia.
Mara nyingine inakuwa ngumu sana na inauma unapomuona binti, kijana anapoelekea so unatumia hata vitisho (una-exaggerate issue) ili mradi tu asifanye kile unachomkataza (baada ya reasoning kushindikana of course).
Hii ni kutokana na kwamba, niliishi yale maisha once (nilipata nafasi ya kukosea na kujifunza kutokana na makosa hayo)
sasa maswali au changamoto zangu ni kwamba;
-ni kwa mambo gani tunaruhusu wanetu, dependants wetu wakosee hoping watajifunza kutokana na makosa?
-kwa mambo gani tunakuwa strict mpaka mwisho?
-ni sahihi kutumia vitisho (pale inapolazimika) ili kuprove point au kumscare kijana (mf: ushoga)?
-kwa utandawazi, maswala ya dating kwa teenagers tunafanya nini (i started dating when l was a teen)?
-is it fair kumzuia mtoto yale ambayo wewe uliyapitia? au kuna jinsi ya kumguide ili asipate madhara au awe responsible/
karibuni kwa mjadala, na samahani mtiririko unaweza kuwa sio mzuri sana.