Tujadili: Haki ya kukosea, mpaka ni wapi?

Tujadili: Haki ya kukosea, mpaka ni wapi?

Kaunga

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
12,529
Reaction score
13,501
Nakumbuka nimeharibu sana tu, wakati nakua; mama ndugu zangu walikuwa wakiniasa nilikuwa nawaona au wamepitwa na wakati au washamba.

leo kuna mengi nayakumbuka na ninajuta kama kaka yangu alivyowahi kuniambia "Kaunga, kuna muda wa majuto".

Nashukuru Mungu, sijaturn up to be worse (thanks to sala za mama yangu).
Lakini, ningekuwa mbali sana kama ningesikiliza na ku-slow down a bit.

Makosa yangu nimeyachukulia kama funzo, na kila nikipata nafasi nashare uzoefu na watu wengine (wadogo kiumri) na mwanangu pia.

Mara nyingine inakuwa ngumu sana na inauma unapomuona binti, kijana anapoelekea so unatumia hata vitisho (una-exaggerate issue) ili mradi tu asifanye kile unachomkataza (baada ya reasoning kushindikana of course).
Hii ni kutokana na kwamba, niliishi yale maisha once (nilipata nafasi ya kukosea na kujifunza kutokana na makosa hayo)

sasa maswali au changamoto zangu ni kwamba;
-ni kwa mambo gani tunaruhusu wanetu, dependants wetu wakosee hoping watajifunza kutokana na makosa?
-kwa mambo gani tunakuwa strict mpaka mwisho?
-ni sahihi kutumia vitisho (pale inapolazimika) ili kuprove point au kumscare kijana (mf: ushoga)?
-kwa utandawazi, maswala ya dating kwa teenagers tunafanya nini (i started dating when l was a teen)?
-is it fair kumzuia mtoto yale ambayo wewe uliyapitia? au kuna jinsi ya kumguide ili asipate madhara au awe responsible/

karibuni kwa mjadala, na samahani mtiririko unaweza kuwa sio mzuri sana.
 
haki ya kukosea ipo, mpaka ni pale atakapojifunza kwa gharama ya madhara yanayorekebishika.

Kuhusu makosa gani unayoruhusu mtoto akosee? Kwa kuanza hakuna mzazi anayetaka mtoto wake akosee hata kidogo.

Na wakati huo huo, mtoto akitaka kukosea haji kukuomba ruhusa ya kukosea.

Kuna baadhi ya makosa ya mtoto unayafahamu, kuna mengine hutakaa uyafahamu hata kidogo.

Mfano, mtoto alijaribu bangi ama alijaribu mahusiano ya jinsia moja, utajuaje?

Sema kuna vile vitu ambavyo mzazi unavisimamia sana, inabidi uanze kupandikiza kwa mtoto tangu akiwa mdogo ili apunguze hamu ya kujaribu, hata ikitokea akajaribu ajiondoe mapema kabla hajachelewa.

At the same time, hivi Kaunga, ulishawahi fanya kosa ambalo ni kubwa sana kwa jamii inayokuzunguka lakini wewe mwenyewe hujawahi jutia?
Hata kama ukipewa nafasi ya kurudi umri unahisi utafanya kosa lile lile maana labda kwako was the best moment of your life?

Kosa la aina hii mzazi hata aruke angani sijui kama kuna kurekebishana, ni hadi mkosaji atakapoamua kuacha mwenyewe tu.
 
halafu pia makosa unayoyaongelea ni yapi?
Ya kimahusiano?
Ya kimasomo?
Ya kitabia mfano ulevi?
 
haki ya kukosea ipo, mpaka ni pale atakapojifunza kwa gharama ya madhara yanayorekebishika.

Kuhusu makosa gani unayoruhusu mtoto akosee? Kwa kuanza hakuna mzazi anayetaka mtoto wake akosee hata kidogo.

Na wakati huo huo, mtoto akitaka kukosea haji kukuomba ruhusa ya kukosea.

Kuna baadhi ya makosa ya mtoto unayafahamu, kuna mengine hutakaa uyafahamu hata kidogo.

Mfano, mtoto alijaribu bangi ama alijaribu mahusiano ya jinsia moja, utajuaje?

Sema kuna vile vitu ambavyo mzazi unavisimamia sana, inabidi uanze kupandikiza kwa mtoto tangu akiwa mdogo ili apunguze hamu ya kujaribu, hata ikitokea akajaribu ajiondoe mapema kabla hajachelewa.

Kwa maneo mengine, unashauri tuwaTRUST watoto wetu kufanya kile ambacho wanaona (kwa muda huo) kinafaa na kwamba matokeo yakiwa tofauti tayari watakuwa wamejifunza.
(nilishuhudia dada akimuacha mtoto aishike chemli, nilivyomuuliza akasema anamuacha aone mwenyewe wakati yeye dada yupo, ili ajue madhara yake (kuungua kidogo undersupervision) ili akiwa peke yake asifanye.)

Kwenye bold naomba mfano tafadhali wa hivyo vitu unavyopaswa kumfeed mtoto angali mdogo. (by the way huwezi kuwa unampa idea ya kuvijaribu?)
 
Kuna baadhi ya makosa kwangu mie naweza trust, ajaribu akikoonja joto atajifunza.

Ila la kuchezea sexuality yake hilo ndio siwezi vumilia hata ajaribu maana gharama ya kumrudhisha awe sawa ni ngumu. Napenda mwanangu afuate sexuality yake ya asili, kama ni straight basi awe straight kama ni otherwise duh! But i won't kill myself for that.

Kwa hiyo, naanza kuongea na mtoto akiwa mdogo ajue yeye ana maanishwa kuwa nani hapo mbeleni, kama mke ama mme. Na namsaidia kujua private parts zake ni zake tu mtu mwingine haruhusiwi kugusa.

Kuna kitu kingine kama madawa ya kulevya najaribu kuongea na mtoto asijaribu maana kuacha ni ngumu. Madhara ya unga magumu sana kurekebishika.

Mwisho wa siku, mzazi huwezi ijua kesho ya mtoto wako wala kuyaishi maisha yake. Ni kujaribu kumsaidia kwa karibu ila maamuzi ni yake hasa anapokuwa teen.
 
Haahahaaaaaaaaaa!!!!!!! Mimi bwana sijui! Bt i love my Mom!!!!!!!!! The best Mum! (Not quite a sucker mum!)

Yaani kwenye mikosa mikubwaa yeye huwa hana muda wa kulaumu! Atalook on the positive side ya hayo makosa na kutafuta suluhisho la fasta fasta!!!!! Yaani ukikosea unamtafutaje alipo!!!!!

Always no matter umeharibu vipi atakuwa upande wako na kukushield na makucha ya jamii!!!!!!! Mfano nilipewa suspencion, nilivomwambia nikasikia " Sio mbaya sanaa! Mradi hujafukuzwa kabisaaa! Bora ujipumzishe kidogo hizo 2 weeks, mashule magumu sanaa haya, yanachosha kwakweli!!!!! Walimu wenyewe voda fastaa hawa! Bora huo mda unisindikize Arusha manake nilikuwa nawaza naendaje peke yangu!!!!!! Ila huo upuuzi wako fanya mi nataka Div 1, nishasema mtaa mzima utapata hiyo! Sasa ole wako uniangushe!!! Ndo utafute pa sie kuweka sura zetu! Mambo ya kuonekana mama wa toto jingajinga siyataki kabisaaa!!!!!!!

Ila yeye makosa madogomadogo kama kuzubaa zubaa mfano kasema nipe chumvi hiyo! Afu unachat hujasika!!!!! Utastukia umelabwa mwiko wa mgongo hadi oblongata inakaa fresh! Kalete maji ninywe afu ndo umejisahau!!!!! Utashtuka bao la limetua mgongoni!!! Hadi mda wote akili yako inakaaa fresh mchana kutwaaa!!!!!! Hakuna kuwa Broiler broiler na Dekadeka Untd!!!!!
 
Haahahaaaaaaaaaa!!!!!!! Mimi bwana sijui! Bt i love my Mom!!!!!!!!! The best Mum! (Not quite a sucker mum!)

Yaani kwenye mikosa mikubwaa yeye huwa hana muda wa kulaumu! Atalook on the positive side ya hayo makosa na kutafuta suluhisho la fasta fasta!!!!! Yaani ukikosea unamtafutaje alipo!!!!!

Always no matter umeharibu vipi atakuwa upande wako na kukushield na makucha ya jamii!!!!!!! Mfano nilipewa suspencion, nilivomwambia nikasikia " Sio mbaya sanaa! Mradi hujafukuzwa kabisaaa! Bora ujipumzishe kidogo hizo 2 weeks, mashule magumu sanaa haya, yanachosha kwakweli!!!!! Walimu wenyewe voda fastaa hawa! Bora huo mda unisindikize Arusha manake nilikuwa nawaza naendaje peke yangu!!!!!! Ila huo upuuzi wako fanya mi nataka Div 1, nishasema mtaa mzima utapata hiyo! Sasa ole wako uniangushe!!! Ndo utafute pa sie kuweka sura zetu! Mambo ya kuonekana mama wa toto jingajinga siyataki kabisaaa!!!!!!!

Ila yeye makosa madogomadogo kama kuzubaa zubaa mfano kasema nipe chumvi hiyo! Afu unachat hujasika!!!!! Utastukia umelabwa mwiko wa mgongo hadi oblongata inakaa fresh! Kalete maji ninywe afu ndo umejisahau!!!!! Utashtuka bao la limetua mgongoni!!! Hadi mda wote akili yako inakaaa fresh mchana kutwaaa!!!!!! Hakuna kuwa Broiler broiler na Dekadeka Untd!!!!!

Nimejaribu kudigest philosophy yake, l think l like it. Makosa makubwa anajua hata wewe (kama una akili nzuri) utakuwa umegundua na yanakuuma, so hakuachi na anakuhakikishia sio mwisho wa dunia; there is a way out. Ila upuuzi, uzembe uzembe wa kila siku ndio hataki uuendekeze maana ukikuwa unaweza kukuathiri.

Je kuna vitu ambavyo alikuwa anakuhusia kabla, mfano kwa issue za boys na kutokana na ukorofi au u-rebel wako ndipo alipokupa idea?

Mfano, sikuwa vizuri sana na my dad; na kuna kipindi kaka yangu akanisanulia kwa baba kuwa natoka na kijana jirani yangu (truth nilikuwa nampenda lkn sikuwa naruhusu zaidi ya hug); so baada ya kikao nikatafutiwa nurse anicheck my virginity ambayo mama alipinga na kuoffer kunicheck mwenyewe. Baada ya hapo sikumaliza hata mwezi, l purposely lost my virginity.
 
Kuna baadhi ya makosa kwangu mie naweza trust, ajaribu akikoonja joto atajifunza.

Ila la kuchezea sexuality yake hilo ndio siwezi vumilia hata ajaribu maana gharama ya kumrudhisha awe sawa ni ngumu. Napenda mwanangu afuate sexuality yake ya asili, kama ni straight basi awe straight kama ni otherwise duh! But i won't kill myself for that.

Kwa hiyo, naanza kuongea na mtoto akiwa mdogo ajue yeye ana maanishwa kuwa nani hapo mbeleni, kama mke ama mme. Na namsaidia kujua private parts zake ni zake tu mtu mwingine haruhusiwi kugusa.

Kuna kitu kingine kama madawa ya kulevya najaribu kuongea na mtoto asijaribu maana kuacha ni ngumu. Madhara ya unga magumu sana kurekebishika.

Mwisho wa siku, mzazi huwezi ijua kesho ya mtoto wako wala kuyaishi maisha yake. Ni kujaribu kumsaidia kwa karibu ila maamuzi ni yake hasa anapokuwa teen.

Nimependa njia yako, unatumia mifano ya watu wa karibu, mitaani au macelebrities kuprove points zako?
 
Nakumbuka nimeharibu sana tu, wakati nakua; mama ndugu zangu walikuwa wakiniasa nilikuwa nawaona au wamepitwa na wakati au washamba.

leo kuna mengi nayakumbuka na ninajuta kama kaka yangu alivyowahi kuniambia "Kaunga, kuna muda wa majuto".

Nashukuru Mungu, sijaturn up to be worse (thanks to sala za mama yangu).
Lakini, ningekuwa mbali sana kama ningesikiliza na ku-slow down a bit.

Makosa yangu nimeyachukulia kama funzo, na kila nikipata nafasi nashare uzoefu na watu wengine (wadogo kiumri) na mwanangu pia.

Mara nyingine inakuwa ngumu sana na inauma unapomuona binti, kijana anapoelekea so unatumia hata vitisho (una-exaggerate issue) ili mradi tu asifanye kile unachomkataza (baada ya reasoning kushindikana of course).
Hii ni kutokana na kwamba, niliishi yale maisha once (nilipata nafasi ya kukosea na kujifunza kutokana na makosa hayo)

sasa maswali au changamoto zangu ni kwamba;
-ni kwa mambo gani tunaruhusu wanetu, dependants wetu wakosee hoping watajifunza kutokana na makosa?
-kwa mambo gani tunakuwa strict mpaka mwisho?
-ni sahihi kutumia vitisho (pale inapolazimika) ili kuprove point au kumscare kijana (mf: ushoga)?
-kwa utandawazi, maswala ya dating kwa teenagers tunafanya nini (i started dating when l was a teen)?
-is it fair kumzuia mtoto yale ambayo wewe uliyapitia? au kuna jinsi ya kumguide ili asipate madhara au awe responsible/

karibuni kwa mjadala, na samahani mtiririko unaweza kuwa sio mzuri sana.




Kwa mtazamo wangu ni hivi, si vizuri kumwacha mtoto apitie yale makosa uliyopitia wewe wkt unakua.ni vema ukae naye/nao na kuwaeleza ukweli wajue positive na negative ya mambo mbali mbali hususani wakiwa wanaelekea ktk teen ages.akishajua positive and negative then risk iko kwake mwenyewe kama ataamua kufanya ama kuavoid.Kuna makosa ambayo tulifanya wakati tunakuwa kwa vile wazazi wetu hawakuwa wazi kutuelekeza what to do,so unajikuta tayari umeshatumbukia ktk tatizo na huna msaada.mi nadhani pamoja na mengineyo ni vzr kuweka wazi kila kitu then maamuzi yabaki kwake.
 
Kwa mtazamo wangu ni hivi, si vizuri kumwacha mtoto apitie yale makosa uliyopitia wewe wkt unakua.ni vema ukae naye/nao na kuwaeleza ukweli wajue positive na negative ya mambo mbali mbali hususani wakiwa wanaelekea ktk teen ages.akishajua positive and negative then risk iko kwake mwenyewe kama ataamua kufanya ama kuavoid.Kuna makosa ambayo tulifanya wakati tunakuwa kwa vile wazazi wetu hawakuwa wazi kutuelekeza what to do,so unajikuta tayari umeshatumbukia ktk tatizo na huna msaada.mi nadhani pamoja na mengineyo ni vzr kuweka wazi kila kitu then maamuzi yabaki kwake.

I support your point; na kingine wakikosea basi let'us be there for them tukikumbuka kuwa we had our share of mischief si eti eeh.
 
Nakumbuka nimeharibu sana tu, wakati nakua; mama ndugu zangu walikuwa wakiniasa nilikuwa nawaona au wamepitwa na wakati au washamba.

leo kuna mengi nayakumbuka na ninajuta kama kaka yangu alivyowahi kuniambia "Kaunga, kuna muda wa majuto".

Nashukuru Mungu, sijaturn up to be worse (thanks to sala za mama yangu).
Lakini, ningekuwa mbali sana kama ningesikiliza na ku-slow down a bit.

Makosa yangu nimeyachukulia kama funzo, na kila nikipata nafasi nashare uzoefu na watu wengine (wadogo kiumri) na mwanangu pia.

Mara nyingine inakuwa ngumu sana na inauma unapomuona binti, kijana anapoelekea so unatumia hata vitisho (una-exaggerate issue) ili mradi tu asifanye kile unachomkataza (baada ya reasoning kushindikana of course).
Hii ni kutokana na kwamba, niliishi yale maisha once (nilipata nafasi ya kukosea na kujifunza kutokana na makosa hayo)

sasa maswali au changamoto zangu ni kwamba;
-ni kwa mambo gani tunaruhusu wanetu, dependants wetu wakosee hoping watajifunza kutokana na makosa?
-kwa mambo gani tunakuwa strict mpaka mwisho?
-ni sahihi kutumia vitisho (pale inapolazimika) ili kuprove point au kumscare kijana (mf: ushoga)?
-kwa utandawazi, maswala ya dating kwa teenagers tunafanya nini (i started dating when l was a teen)?
-is it fair kumzuia mtoto yale ambayo wewe uliyapitia? au kuna jinsi ya kumguide ili asipate madhara au awe responsible/

karibuni kwa mjadala, na samahani mtiririko unaweza kuwa sio mzuri sana.




Kwa mtazamo wangu ni hivi, si vizuri kumwacha mtoto apitie yale makosa uliyopitia wewe wkt unakua.ni vema ukae naye/nao na kuwaeleza ukweli wajue positive na negative ya mambo mbali mbali hususani wakiwa wanaelekea ktk teen ages.akishajua positive and negative then risk iko kwake mwenyewe kama ataamua kufanya ama kuavoid.Kuna makosa ambayo tulifanya wakati tunakuwa kwa vile wazazi wetu hawakuwa wazi kutuelekeza what to do,so unajikuta tayari umeshatumbukia ktk tatizo na huna msaada.mi nadhani pamoja na mengineyo ni vzr kuweka wazi kila kitu then maamuzi yabaki kwake.
 
Do people plan on making mistakes or its just something that occurs spontaneous? and to the kids, making mistakes is the part of learning and growing process
 
Nimejaribu kudigest philosophy yake, l think l like it. Makosa makubwa anajua hata wewe (kama una akili nzuri) utakuwa umegundua na yanakuuma, so hakuachi na anakuhakikishia sio mwisho wa dunia; there is a way out. Ila upuuzi, uzembe uzembe wa kila siku ndio hataki uuendekeze maana ukikuwa unaweza kukuathiri.

Je kuna vitu ambavyo alikuwa anakuhusia kabla, mfano kwa issue za boys na kutokana na ukorofi au u-rebel wako ndipo alipokupa idea?

Mfano, sikuwa vizuri sana na my dad; na kuna kipindi kaka yangu akanisanulia kwa baba kuwa natoka na kijana jirani yangu (truth nilikuwa nampenda lkn sikuwa naruhusu zaidi ya hug); so baada ya kikao nikatafutiwa nurse anicheck my virginity ambayo mama alipinga na kuoffer kunicheck mwenyewe. Baada ya hapo sikumaliza hata mwezi, l purposely lost my virginity.

Hahahahaaaaaaaaaaaaaa! Maza wangu bwana alikubali siku nyingi sanaaa kuwa Times Zimechange!!!!! Toka niko mdogo akitaka kununua kitu lazima aniulize Hiki kweli zama zenu hizi hamtonicheka? Embu sema hili tulifanyaje kimujini mujini!

Wakati nimekua tu, akaniambia sasa unakituliza au to do the needfull kwenda kuchoma sindano !!!!!!!! Sema mwenyewe manake mi sishiki Nnya ya mtu! Zangu zilinishinda!!!! Mwenzio flani keshachoma! Nimekupa uhuru ukitaka kujiachia tu, njoo uniombe hela ya sindano!!!!!!!!!! Likitokea la kutokea sitokuelewa kabisaaaa! Itakuwa unanikomoa manake nishakupa choice!!!!!! Hatutoelewana!

Basi akiniona na mkaka utasika, yule hata hakufai mbaya mbayaaaa!!!!!! Tulia wanaume wazuri wako chuoni! Hivi vinuka mikojo ukifika chuo utajisikia kinyaa kwanini uliviruhusu kukuvua pichu! Mi nakwambia! Leo mnasoma wote kesho ashakuwa teja! Anawaambia mtaa mzima kesha ku doo! Aibu yako mwenyewe! Chuo mambo yote!!!!!

Kufika chuo, wavulana chuo ilikuwa zamani siku hizi mambo yote ofisiniiii!!!!!! Hao wengine hapo hata kaz hawatopata wataenda kulima vijijini huko afu ndo ushajiweka kwake!!!!!! Tuliaaaa kidogo tu ufaidi! Ofisini ndo mpango mzimaaaa!!!!

Hahahaaaa! She has a way ya kujifanya anakusupport huku anakukatisha tamaa and It Made a Lot of Sense!!!!! Hakwambiii sifanye ila anakwambia We Fanya tu Ila hutofaidika lolote!!!!!!! Unajikomesha mwenyewe! If you are smart nisikilize mie!!!!!!!!! Mama yule balaaa!
 
Kuna baadhi ya makosa kwangu mie naweza trust, ajaribu akikoonja joto atajifunza.

Ila la kuchezea sexuality yake hilo ndio siwezi vumilia hata ajaribu maana gharama ya kumrudhisha awe sawa ni ngumu. Napenda mwanangu afuate sexuality yake ya asili, kama ni straight basi awe straight kama ni otherwise duh! But i won't kill myself for that.

Kwa hiyo, naanza kuongea na mtoto akiwa mdogo ajue yeye ana maanishwa kuwa nani hapo mbeleni, kama mke ama mme. Na namsaidia kujua private parts zake ni zake tu mtu mwingine haruhusiwi kugusa.

Kuna kitu kingine kama madawa ya kulevya najaribu kuongea na mtoto asijaribu maana kuacha ni ngumu. Madhara ya unga magumu sana kurekebishika.

Mwisho wa siku, mzazi huwezi ijua kesho ya mtoto wako wala kuyaishi maisha yake. Ni kujaribu kumsaidia kwa karibu ila maamuzi ni yake hasa anapokuwa teen.

Je ni muda (umri) gani wa mtoto unakuwa reasonable kuanza 'mazungumzo' haya? Huwa naogopa sana kuanza akiwa mdogo sana nahisi kama naweza kuwa chachu ya yeye kujaribu, au ni uoga wangu tu?
 
yaani acha tu ila all in all kuna mambo huwa nayajutia kiukweli
ila namshukuru my dear mama alinilea vizuri mno especialy kwenye swala la mahusiano ...yaani nilikuwa naogopa kikojolea hata kunyoa fuzi nimenyoa hosptal hilo eneo nilikuwa nimeliwekea security vibaya mno
ila dunia tu ,sijui ilikuwaje
kuna watu najuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kuwafahamu
 
Je ni muda (umri) gani wa mtoto unakuwa reasonable kuanza 'mazungumzo' haya? Huwa naogopa sana kuanza akiwa mdogo sana nahisi kama naweza kuwa chachu ya yeye kujaribu, au ni uoga wangu tu?

Eti eeh, unaweza kumpa idea hata kama hakuwa nayo. Ni changamoto kweli kweli.
 
yaani acha tu ila all in all kuna mambo huwa nayajutia kiukweli
ila namshukuru my dear mama alinilea vizuri mno especialy kwenye swala la mahusiano ...yaani nilikuwa naogopa kikojolea hata kunyoa fuzi nimenyoa hosptal hilo eneo nilikuwa nimeliwekea security vibaya mno
ila dunia tu ,sijui ilikuwaje
kuna watu najuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kuwafahamu

Huoni kama ungeanza kuparangana nao mapema labda usingejuta kihivyoooo na badala yake wao ndio wangejuata kukufahamu? It is boring to be a victim kila siku you know!
 
Hahahahaaaaaaaaaaaaaa! Maza wangu bwana alikubali siku nyingi sanaaa kuwa Times Zimechange!!!!! Toka niko mdogo akitaka kununua kitu lazima aniulize Hiki kweli zama zenu hizi hamtonicheka? Embu sema hili tulifanyaje kimujini mujini!

Wakati nimekua tu, akaniambia sasa unakituliza au to do the needfull kwenda kuchoma sindano !!!!!!!! Sema mwenyewe manake mi sishiki Nnya ya mtu! Zangu zilinishinda!!!! Mwenzio flani keshachoma! Nimekupa uhuru ukitaka kujiachia tu, njoo uniombe hela ya sindano!!!!!!!!!! Likitokea la kutokea sitokuelewa kabisaaaa! Itakuwa unanikomoa manake nishakupa choice!!!!!! Hatutoelewana!

Basi akiniona na mkaka utasika, yule hata hakufai mbaya mbayaaaa!!!!!! Tulia wanaume wazuri wako chuoni! Hivi vinuka mikojo ukifika chuo utajisikia kinyaa kwanini uliviruhusu kukuvua pichu! Mi nakwambia! Leo mnasoma wote kesho ashakuwa teja! Anawaambia mtaa mzima kesha ku doo! Aibu yako mwenyewe! Chuo mambo yote!!!!!

Kufika chuo, wavulana chuo ilikuwa zamani siku hizi mambo yote ofisiniiii!!!!!! Hao wengine hapo hata kaz hawatopata wataenda kulima vijijini huko afu ndo ushajiweka kwake!!!!!! Tuliaaaa kidogo tu ufaidi! Ofisini ndo mpango mzimaaaa!!!!

Hahahaaaa! She has a way ya kujifanya anakusupport huku anakukatisha tamaa and It Made a Lot of Sense!!!!! Hakwambiii sifanye ila anakwambia We Fanya tu Ila hutofaidika lolote!!!!!!! Unajikomesha mwenyewe! If you are smart nisikilize mie!!!!!!!!! Mama yule balaaa!

Your mom is very smart; l am learning a thing or two toka kwake. Hasa hiyo ya kucheza na psychology ya mtoto.
 
Huoni kama ungeanza kuparangana nao mapema labda usingejuta kihivyoooo na badala yake wao ndio wangejuata kukufahamu? It is boring to be a victim kila siku you know!
najuta lakini ila at least sio mbaya
kuna watoto wanaanza kumegwa primary huko
 
Back
Top Bottom