arkamraiden5
Member
- Mar 2, 2014
- 8
- 0
waungwana naomben mnitajie tuit za pre form 5 zilizopo dar kwa anaezijua
Kwanza naomba nikufahamishe kidogo hakuna kitu kinachioitwa pre form five. Wewe sahizi ni mkubwa unatakiwa kujitafutia sana kuliko kulishwa. Pili advance tuition inatolewa kitopic. So swali lako lingekuwa nataka tuition ya masomo fulani napata wapi?
waungwana naomben mnitajie tuit za pre form 5 zilizopo dar kwa anaezijua
waungwana naomben mnitajie tuit za pre form 5 zilizopo dar kwa anaezijua
physics kwa sir muddy na bios kwa mbwiga.nenda pale mchikichini. Kapewe nondo uwe na harufu ya a,b au c necta maana ni mwendo wa kumeza hukoasante kwa kunifumbua akili ila m nataka kusoma topic yoyote ya chemia au biology
physics kwa sir muddy na bios kwa mbwiga.nenda pale mchikichini. Kapewe nondo uwe na harufu ya a,b au c necta maana ni mwendo wa kumeza huko
Mi natafuta tuition ya Eca kwa anaejua wadau
mi natafuta tuition ya eca kwa anaejua wadau
ECA kama upo dar es salaam kuna bingwa mmoja anaitwa silunka kwa account.huyu jamaa huwa anapigisha pindi mapambano mwenge mkuu.la sivyo ngoja wengine waje.pia mchikichini kuna jamaa anaitwa henry sr wa account.yupo fresh mkuu.na eca hakunaga twishen ya commerce na masomo mengine,labda uchumi na account na hesabu kama haupo fresh.muhimu zaidi accounting.kuna dogo langu mwaka jana aliondoka kasha kata topic nyingi so now advance haimpi shida sana na anasoma goverment garanoc
basi vizuri.piga advance vizuri utoke fresh mbele u enjoy.eca ikoppoa sana na ina choice nyingi tu chuo za maana.NIMEIPENDA HYO MKUBWA,ni ushaur mzur nami nitapiga hyo hyo ECA