Naomba msaada wa kiushauri; hivi undergraduate first year direct costs ninazotakiwa kulipa kwa college of education ni Tshs 282,500/= ama Tshs 244,000/=!??? Nimekanganyikiwa nifanye lipi baada ya kuona notes kwenye website ya chuo.
Je, kama hujalipa kias unachotakiwa kulipa kwa ajil ya tuition fee unaweza kuwa registrated na mwisho wa kulipa n muda gan? Mwenye uelewa na hil.