Tuitarajie TTCL mpya heko mheshimiwa Rais imetosha sasa kuibiwa kijinga

Ni Uhuni ndio ulio badili ukweli lakin AIRTEL imezaliwa ndani ya TTCL kwa tafsiri nyingine ni kwamba mtaji wa kuiimarisha AIRTEL kufika hapo ilipo umetoka TTCL kwa maana hiyo TTCL lilikuwa daraja la kuivusha AIRTEL kwa hivyo AIRTEL imeitafuta TTCL kisawasawa na TTCL ikatafunika kweli kweli.
Mh rais tume ya makinikia ihamie huku kuna kitu utakipata muhimu kwa taifa hili.
AIRTEL waliuziwa tu hisa za ZAIN...hawana kosa lolote lile na AIrtel nao wameinvest mtaji mkubwa sana hapo........serikali itakachofanya labda ni kununua hisa za AIRTEL ili iweze kuimiliki........AIRTEL hawana kosa lolote walilofanya
 
Ni Uhuni ndio ulio badili ukweli lakin AIRTEL imezaliwa ndani ya TTCL kwa tafsiri nyingine ni kwamba mtaji wa kuiimarisha AIRTEL kufika hapo ilipo umetoka TTCL kwa maana hiyo TTCL lilikuwa daraja la kuivusha AIRTEL kwa hivyo AIRTEL imeitafuta TTCL kisawasawa na TTCL ikatafunika kweli kweli.
Mh rais tume ya makinikia ihamie huku kuna kitu utakipata muhimu kwa taifa hili.
walioitafuna TTCL ni kampuni ya Holland MSI ambao ndio walionunua hisa za TTCL kwa bei pungufu na hiyo kampuni haipo tena imeuza hisa zake wakasepa zao
 
Nampongeza sana rais wang hasa kwa kuliona hili la hujuma dhid ya TTCL Kwakweli mimi ni miongoni mwa wale wachache wapenda haki na usawa huwa nakusifia sana pale unapo fanya vyema na huwa sisiti kuku kosoa oale mambo yanavyo enda hovyo kwa hili hongera sana mh Rais nauhakika majibu utakayo pata lazima Airtel iende TTCL hakuna namna kabisa hapa wameiba wametosha ,
Nimekupenda bure, huu ndivyo jinsi upinzani unavyotakikana
 
walioitafuna TTCL ni kampuni ya Holland MSI ambao ndio walionunua hisa za TTCL kwa bei pungufu na hiyo kampuni haipo tena imeuza hisa zake wakasepa zao
Mchezo wa MSI nao ulikuwa ni deal mkuu laki si pesa TTCL imehujumiwa na watanzania tena tulio waamini kabisa na wakahakikisha TTCL inakufa na AIRTEL inainuka.
 
Mchezo wa MSI nao ulikuwa ni deal mkuu laki si pesa TTCL imehujumiwa na watanzania tena tulio waamini kabisa na wakahakikisha TTCL inakufa na AIRTEL inainuka.
ni sawa akina Mwandosya na Chenge wanahusika na hili deal.....ndio maana nikakwambia AIRTEL waliuziwa tu hisa na AIRTEL hawako Tanzania tu, wakoo nchi nyingi......TTCL walibaki na huduma ya simu za mezani zikawashida,,,nina uhakika TTCL wakikabidhiwa AIRTEL hawataweza
 
Ni Uhuni ndio ulio badili ukweli lakin AIRTEL imezaliwa ndani ya TTCL kwa tafsiri nyingine ni kwamba mtaji wa kuiimarisha AIRTEL kufika hapo ilipo umetoka TTCL kwa maana hiyo TTCL lilikuwa daraja la kuivusha AIRTEL kwa hivyo AIRTEL imeitafuta TTCL kisawasawa na TTCL ikatafunika kweli kweli.
Mh rais tume ya makinikia ihamie huku kuna kitu utakipata muhimu kwa taifa hili.

Mkuu hakuna haja ya Tume inaonekana wewe kuna kitu unaifahamu fika kuhusu Airtel wasaidie information ila isije ikawa wewe ni afisa masoko Tigo unawaonea wivu wenzio wa Airtel
 
Mmehama kwenye dhahabu (Acacia) mmekimbilia Airtel...

Kweli "Kukutana na Fisi si lazima uwe umezaliwa zamani, Bali kutembea ucku"

Mmeiokota Airtel kama mlivyookota vichwa vya train, magari bandarini.....duu, Sizonje ana bahati ile mbaya !!!
Kinachonifurahisha ni kwamba, kwenye kuokota ni lazima mkulu aokote yeye, ndio agawe majukumu.

Hivi hili la Airtel ni swala la Takwimu? Au ni mwenye bahati ameikota Airtel kwenye jengo la NBS.
 
ni sawa akina Mwandosya na Chenge wanahusika na hili deal.....ndio maana nikakwambia AIRTEL waliuziwa tu hisa na AIRTEL hawako Tanzania tu, wakoo nchi nyingi......TTCL walibaki na huduma ya simu za mezani zikawashida,,,nina uhakika TTCL wakikabidhiwa AIRTEL hawataweza
Ngoja tuone lakin naamin mbele ya usimamiz wa Mh.rais wataweza tu ingawa sasa shida itakuja akitoka madarakani atatuachia mfumo gani madhubuti wa kusimamia mashirika ya umma kwa sababu historia inaonesha mashirika ya umma tanzania ndio ya kwanza kufa na memgine yanafuata.
 
Hivi ile week moja ya uchunguzi wa ambulance bandarini umefikia wapi? Ni karibia miezi miwili sasa.
 
Nampongeza sana rais wang hasa kwa kuliona hili la hujuma dhid ya TTCL Kwakweli mimi ni miongoni mwa wale wachache wapenda haki na usawa huwa nakusifia sana pale unapo fanya vyema na huwa sisiti kuku kosoa oale mambo yanavyo enda hovyo kwa hili hongera sana mh Rais nauhakika majibu utakayo pata lazima Airtel iende TTCL hakuna namna kabisa hapa wameiba wametosha.
Ungekuwa na subra tu ikishakuwa mpya ndo upongeze.
 
Hi All

I am very skeptical with some articles trying to portray Completely the truth of the Matter as this of TTCL, Its actually a scandal but the figures are not right. The truth of the Matters in a nutshell are:

Actual Selling price: $ 120 mil.
Initial Pay: $60 Mil
Final Pay: $ 5 Mil
Total Amount Paid: $ 65 Mil

Reason for underpayment: Audited account revealed that TTCL was a loss making Company and hence a review of Account was to be made which adjusted the value to that final figure. Big short who were behing that: Chenge who was then Minister of Infrastructure(During the selling was the Attoney General who participated in drafting the selling Contract), Sumaye (PM Then), etc.(the buyer MSI-Detecon Consortium 65% Government 35%)

During selling TTCL had a mobile license which was transfered to Celtel(which become 100% owned by TTCL ) and became operational 2003 by using the money paid during purchase as the government had no capital to inject in the mobile roll out, 2005 MSI-DETECON Consortium split, became MSI International only as Manager and brought an Idea of Separating TTCL and Celtel without thinking of paying back the government capital. The Celtel Int. 60% Government 40 %.

Since then I am very sure whether the government has ever received its divident, the 60% as has been changing hand to new investors while the government remain with 40% at stake. It has moved from Celtel to ZAIN now AIRTEL.

Whoever has got different facts whether from TTCL, Government should come up to construe mine.

Thanks

wbr.
Hello nice for the constructive specifications.
 
Ngoja tuone lakin naamin mbele ya usimamiz wa Mh.rais wataweza tu ingawa sasa shida itakuja akitoka madarakani atatuachia mfumo gani madhubuti wa kusimamia mashirika ya umma kwa sababu historia inaonesha mashirika ya umma tanzania ndio ya kwanza kufa na memgine yanafuata.
AIRTEL iko kama ilivyo leo kwa juhudi za hao wahindi, biashara inahitaji ubunifu wa hali ya juu mkuu wangu ujue ni kitu gani wananchi wanahitaji, ujue ni promotion gani utoe ili upate wateja wapya,,,,kitu ambacho mashirika ya umma kinawashinda...........
 
Ngoja tuone lakin naamin mbele ya usimamiz wa Mh.rais wataweza tu ingawa sasa shida itakuja akitoka madarakani atatuachia mfumo gani madhubuti wa kusimamia mashirika ya umma kwa sababu historia inaonesha mashirika ya umma tanzania ndio ya kwanza kufa na memgine yanafuata.
wewe endelea kufikiri kuwa atatoka
 
ni sawa akina Mwandosya na Chenge wanahusika na hili deal.....ndio maana nikakwambia AIRTEL waliuziwa tu hisa na AIRTEL hawako Tanzania tu, wakoo nchi nyingi......TTCL walibaki na huduma ya simu za mezani zikawashida,,,nina uhakika TTCL wakikabidhiwa AIRTEL hawataweza
Asipokuelewa tena nijurishe
 
Back
Top Bottom