Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Nampongeza sana rais hasa kwa kuliona hili la hujuma dhidi ya TTCL.
Kwakweli mimi ni miongoni mwa wale wachache wapenda haki na usawa huwa nakusifia sana pale unapofanya vyema na huwa sisiti kuku kosoa pale mambo yanavyoenda hovyo kwa hili hongera sana mh Rais.
Nina uhakika majibu utakayo pata lazima Airtel iende TTCL hakuna namna kabisa hapa wameiba wametosha.
Kwakweli mimi ni miongoni mwa wale wachache wapenda haki na usawa huwa nakusifia sana pale unapofanya vyema na huwa sisiti kuku kosoa pale mambo yanavyoenda hovyo kwa hili hongera sana mh Rais.
Nina uhakika majibu utakayo pata lazima Airtel iende TTCL hakuna namna kabisa hapa wameiba wametosha.