idumu
Member
- Jun 5, 2009
- 44
- 1
Ndugu zangu Watz na Afrika kwa ujumla napenda kusema uvujaji wa pesa za umma ni kitu kibaya na hakitakiwa katika serikali inayotaka maendeleo, Tumeona na kusikia katika vyombo vya habari wenzetu walikula hela na kuvurunda ktk uongozi wanazidi kujihuzulu kila kukicha. Na siku chache zijazo watafikishwa mahakani kujibu mashtaka. Je hapa kwetu viongozi wangapi wamejuhuzulu kwa ridhaa yao na baadae kupelekwa mahakani?? Tujifunze na serikali yetu ipo kwa ajili ya akina nanihiiiiii tu??
Toa maoni!!
Toa maoni!!