Tuhuma zangu kwa Lema

Tuhuma zangu kwa Lema

kwani kiingereza ni lugha ya kufundishia elimu ya juu china kama hapa kwetu bongo?

Rejea post #26 ya uzi huu. Hata hivyo mimi nadhani tunatofautina namna tunavyotafsiri neno Msomi, ambapo mimi naamini umahiri wa kumudu kiingereza haiwezi kuwa sababu pekee ya kumtambulisha mtanzania kuwa ni msomi.
 
Njaa zinakusumbua.. Ndio matatizo ya watanzania!! Anataka Kiongozi apokee sim yake ampe Habari ya Misiba ya kwao... Bila aibu ana chukua muda wake kuandika upuuzi et Lawama... We ndugu/Jamaa zako wangapi wanakulaumu?? Nao waandike humu? Idiot

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Acha ufitini, uzandiki na uchonganishi.
Mbona Nelson anasema HAKUJUI!?
 
Inasikitisha sana kama mtu amejitolea kwenda kuwapigania watanzania wa Igunga,alafu anakuja na swaga kama hizo,kwanza anatakiwa kujitambua yeye mwenyewe alikwenda kufanya nini,maana inaonyesha ajui kilichompeleka Igunga au alifikiri kule ni sehemu ya utalii?ukombozi si lelemama bro,jipange upya hapo umechemsha mdogo wangu
 
Back
Top Bottom