Tuhuma za rushwa ya ngono UDSM ni chuki kutoka kwa wale ambao hawakusoma pale

Kajolijo

JF-Expert Member
May 30, 2016
3,364
4,607
Kwanza naomba niannze kwa kusema uzi wangu usiungwe na mwingine wowote...

Bila kupoteza muda naomba moja kwa moja nije kwenye mada, kumekuwa na tuhuma na shutuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikihusisha wahadhili wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam kuwa wanatoka au wanaomba rushwa ya ngono kutoka kwa wanafunzi.

binafsi nmefanya utafiti na uchunguzi binafsi na kiugundua kuwa habari hizi hazina ukweli au uhalisia namna hiyo kama wanavodai. hii kutokana na utafiti mdogo nilioufanya hivi karibuni na kugundua kuwa huenda ni kutokana na wivu na nongwa hasa ukizingatia hiki ndio chuo cha taifa, halafu mheshimiwa rais amekuwa akikisifia sana tena hadharani hivo habari hizi zinaenezwa hasa na vyuo shindani vinavolenga kukichafulia jina chuo hiki pendwa ambacho kimekuwa kikisifiwa na watu mbalimbali mashuhuri wa ndani na nje ya nchi hata rais kutokana na kutoa watu wabobezi na wataalam konki katika nchi hii.

kwa vile mheshimiwa amefikia hatua ya kusema ukiomba kazi umesoma UDSM cheti chako hakiangaliwi mara mbili mbili kama vyo vingine kwa sababu unaaminika umesoma chuo cha taifa ukilinganisha na vyuo vingine vinavopimwa kama vyuo vya kata hivo wameamua kuanzisha hili ili tu ionekane kuwa wataalam wa pale si mahili maana wanapatikana kwa njia ya rushwa ya ngono.

Hoja ya pili kuna vyuo vingi sana vina sifa kama hiyo inayosemwa hapo lakini kwanini kikomaliwe hiki chuo cha taifa pekee? jibu utagundua kua ni kwa vile kimekuwa kikisifiwa hadharani kuwa hamna chuo bora kama hiko hapa nyumbani Tanzania na ukichunguza au kwa mjibu wa utafiti wangu binafsi watu wengi au asilimia kubwa ya watu wanaoeneza sifa hizi ni watu ambao siyo wanajumuiya ya UDSM au wamesoma vyuo tofauti na hiki

karibuni kwa mjadala
 
Kwanza naomba niannze kwa kusema uzi wangu usiungwe na mwingine wowote...

Bila kupoteza muda naomba moja kwa moja nije kwenye mada, kumekuwa na tuhuma na shutuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikihusisha wahadhili wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam kuwa wanatoka au wanaomba rushwa ya ngono kutoka kwa wanafunzi.

binafsi nmefanya utafiti na uchunguzi binafsi na kiugundua kuwa habari hizi hazina ukweli au uhalisia namna hiyo kama wanavodai. hii kutokana na utafiti mdogo nilioufanya hivi karibuni na kugundua kuwa huenda ni kutokana na wivu na nongwa hasa ukizingatia hiki ndio chuo cha taifa, halafu mheshimiwa rais amekuwa akikisifia sana tena hadharani hivo habari hizi zinaenezwa hasa na vyuo shindani vinavolenga kukichafulia jina chuo hiki pendwa ambacho kimekuwa kikisifiwa na watu mbalimbali mashuhuri wa ndani na nje ya nchi hata rais kutokana na kutoa watu wabobezi na wataalam konki katika nchi hii.

kwa vile mheshimiwa amefikia hatua ya kusema ukiomba kazi umesoma UDSM cheti chako hakiangaliwi mara mbili mbili kama vyo vingine kwa sababu unaaminika umesoma chuo cha taifa ukilinganisha na vyuo vingine vinavopimwa kama vyuo vya kata hivo wameamua kuanzisha hili ili tu ionekane kuwa wataalam wa pale si mahili maana wanapatikana kwa njia ya rushwa ya ngono.

Hoja ya pili kuna vyuo vingi sana vina sifa kama hiyo inayosemwa hapo lakini kwanini kikomaliwe hiki chuo cha taifa pekee? jibu utagundua kua ni kwa vile kimekuwa kikisifiwa hadharani kuwa hamna chuo bora kama hiko hapa nyumbani Tanzania na ukichunguza au kwa mjibu wa utafiti wangu binafsi watu wengi au asilimia kubwa ya watu wanaoeneza sifa hizi ni watu ambao siyo wanajumuiya ya UDSM au wamesoma vyuo tofauti na hiki

karibuni kwa mjadala
Rushwa ya ngono ni tatizo lililo kwenye taasisi nyingi za elimu Tanzania. Chuo Kikuu nacho ni miongoni mwao. Hujafanya utafiti bali umeongozwa na hisia kuandika.
 
Kwanza naomba niannze kwa kusema uzi wangu usiungwe na mwingine wowote...

Bila kupoteza muda naomba moja kwa moja nije kwenye mada, kumekuwa na tuhuma na shutuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikihusisha wahadhili wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam kuwa wanatoka au wanaomba rushwa ya ngono kutoka kwa wanafunzi.

binafsi nmefanya utafiti na uchunguzi binafsi na kiugundua kuwa habari hizi hazina ukweli au uhalisia namna hiyo kama wanavodai. hii kutokana na utafiti mdogo nilioufanya hivi karibuni na kugundua kuwa huenda ni kutokana na wivu na nongwa hasa ukizingatia hiki ndio chuo cha taifa, halafu mheshimiwa rais amekuwa akikisifia sana tena hadharani hivo habari hizi zinaenezwa hasa na vyuo shindani vinavolenga kukichafulia jina chuo hiki pendwa ambacho kimekuwa kikisifiwa na watu mbalimbali mashuhuri wa ndani na nje ya nchi hata rais kutokana na kutoa watu wabobezi na wataalam konki katika nchi hii.

kwa vile mheshimiwa amefikia hatua ya kusema ukiomba kazi umesoma UDSM cheti chako hakiangaliwi mara mbili mbili kama vyo vingine kwa sababu unaaminika umesoma chuo cha taifa ukilinganisha na vyuo vingine vinavopimwa kama vyuo vya kata hivo wameamua kuanzisha hili ili tu ionekane kuwa wataalam wa pale si mahili maana wanapatikana kwa njia ya rushwa ya ngono.

Hoja ya pili kuna vyuo vingi sana vina sifa kama hiyo inayosemwa hapo lakini kwanini kikomaliwe hiki chuo cha taifa pekee? jibu utagundua kua ni kwa vile kimekuwa kikisifiwa hadharani kuwa hamna chuo bora kama hiko hapa nyumbani Tanzania na ukichunguza au kwa mjibu wa utafiti wangu binafsi watu wengi au asilimia kubwa ya watu wanaoeneza sifa hizi ni watu ambao siyo wanajumuiya ya UDSM au wamesoma vyuo tofauti na hiki

karibuni kwa mjadala
Pumba tupu
 
Huo utafiti wako ni wa mashaka mkuu na huwezi kupata majibu sahihi maana rushwa hiyo kwa wanaodai ipo hushamiri kipindi cha kuelekea UE sasa wewe kuufanya uchunguzi wakati huu ambapo ndiyo kwanza chuo kina wiki tatu toka kufunguliwa huwezi kuiona kweli maana hakuna mwenye stress za pepa, stress za kucarry course nk ungesubiria kipindi cha UE ufanye uchunguzi

Pili huo uchunguzi ulitumia njia gani, interview, observation, questionnaire au ipi maana kwa huo utafiti lazima uingie mwenyewe field sasa sina hakika kama wewe ni KE ambao ndiyo waathirika zaidi na kama wewe ni mwanafunzi hapo ili upate primary data ambazo ndizo za muhimu zaidi kuliko secondary data
 
M
Kwanza naomba niannze kwa kusema uzi wangu usiungwe na mwingine wowote...

Bila kupoteza muda naomba moja kwa moja nije kwenye mada, kumekuwa na tuhuma na shutuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikihusisha wahadhili wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam kuwa wanatoka au wanaomba rushwa ya ngono kutoka kwa wanafunzi.

binafsi nmefanya utafiti na uchunguzi binafsi na kiugundua kuwa habari hizi hazina ukweli au uhalisia namna hiyo kama wanavodai. hii kutokana na utafiti mdogo nilioufanya hivi karibuni na kugundua kuwa huenda ni kutokana na wivu na nongwa hasa ukizingatia hiki ndio chuo cha taifa, halafu mheshimiwa rais amekuwa akikisifia sana tena hadharani hivo habari hizi zinaenezwa hasa na vyuo shindani vinavolenga kukichafulia jina chuo hiki pendwa ambacho kimekuwa kikisifiwa na watu mbalimbali mashuhuri wa ndani na nje ya nchi hata rais kutokana na kutoa watu wabobezi na wataalam konki katika nchi hii.

kwa vile mheshimiwa amefikia hatua ya kusema ukiomba kazi umesoma UDSM cheti chako hakiangaliwi mara mbili mbili kama vyo vingine kwa sababu unaaminika umesoma chuo cha taifa ukilinganisha na vyuo vingine vinavopimwa kama vyuo vya kata hivo wameamua kuanzisha hili ili tu ionekane kuwa wataalam wa pale si mahili maana wanapatikana kwa njia ya rushwa ya ngono.

Hoja ya pili kuna vyuo vingi sana vina sifa kama hiyo inayosemwa hapo lakini kwanini kikomaliwe hiki chuo cha taifa pekee? jibu utagundua kua ni kwa vile kimekuwa kikisifiwa hadharani kuwa hamna chuo bora kama hiko hapa nyumbani Tanzania na ukichunguza au kwa mjibu wa utafiti wangu binafsi watu wengi au asilimia kubwa ya watu wanaoeneza sifa hizi ni watu ambao siyo wanajumuiya ya UDSM au wamesoma vyuo tofauti na hiki

karibuni kwa mjadala
Mkuu una maana hata huyo dr aliyetoa hizo allegations ni mshindani wenu wakati anafanya kazi hapohapo. You must be kidding.
 
Yani unafanya utafiti mdogo alafu unakuja na hitimisho! (mana umekiri mwenyewe umefanya utafiti mdogo) hayo yanaweza yawe mawazo yako au maoni yako! ila si utafiti! hiyo rushwa kila sehemu ipo! kama imeongelewa manaake ipo.
Pia hua ma_Great thinker hasa wa hapa jamii wanafanya utafiti wa kina ndio wanatoa hitimisho na kuanzisha uzi! sio utafiti mdogo!
 
Kwanza naomba niannze kwa kusema uzi wangu usiungwe na mwingine wowote...

Bila kupoteza muda naomba moja kwa moja nije kwenye mada, kumekuwa na tuhuma na shutuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikihusisha wahadhili wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam kuwa wanatoka au wanaomba rushwa ya ngono kutoka kwa wanafunzi.

binafsi nmefanya utafiti na uchunguzi binafsi na kiugundua kuwa habari hizi hazina ukweli au uhalisia namna hiyo kama wanavodai. hii kutokana na utafiti mdogo nilioufanya hivi karibuni na kugundua kuwa huenda ni kutokana na wivu na nongwa hasa ukizingatia hiki ndio chuo cha taifa, halafu mheshimiwa rais amekuwa akikisifia sana tena hadharani hivo habari hizi zinaenezwa hasa na vyuo shindani vinavolenga kukichafulia jina chuo hiki pendwa ambacho kimekuwa kikisifiwa na watu mbalimbali mashuhuri wa ndani na nje ya nchi hata rais kutokana na kutoa watu wabobezi na wataalam konki katika nchi hii.

kwa vile mheshimiwa amefikia hatua ya kusema ukiomba kazi umesoma UDSM cheti chako hakiangaliwi mara mbili mbili kama vyo vingine kwa sababu unaaminika umesoma chuo cha taifa ukilinganisha na vyuo vingine vinavopimwa kama vyuo vya kata hivo wameamua kuanzisha hili ili tu ionekane kuwa wataalam wa pale si mahili maana wanapatikana kwa njia ya rushwa ya ngono.

Hoja ya pili kuna vyuo vingi sana vina sifa kama hiyo inayosemwa hapo lakini kwanini kikomaliwe hiki chuo cha taifa pekee? jibu utagundua kua ni kwa vile kimekuwa kikisifiwa hadharani kuwa hamna chuo bora kama hiko hapa nyumbani Tanzania na ukichunguza au kwa mjibu wa utafiti wangu binafsi watu wengi au asilimia kubwa ya watu wanaoeneza sifa hizi ni watu ambao siyo wanajumuiya ya UDSM au wamesoma vyuo tofauti na hiki

karibuni kwa mjadala
Waliosema ni wahadhiri wa huko huko ,wanaofundisha huko huko maaana yake watoto wa kike wa wanaosoma huko ndio wanaomkimbilia mhadhiri wa kike kwa kumtonya na mhadhiri wa kike anashuhudia hayo ndio uende umuulize yeye acha kutetea ujinga siku mtoto wako atakapobakwa huko ndio akiri itakujia kama vile watu waccm wanavyoshtuka pale maslahi yao yanapoguswa na jiwe
 
Hata miaka ya nyuma ili uonekane umesoma ilikuwa lazima usome , Mzumbe, ilboru, Tabora boys/girls lakini leo watu wanachaguliwa hizo shule wanazitosa na kuhamia St marian, Fedha schoools why?

Tangu lini chuo cha ngono Udsm kikalingana ufundishaji na Saut?
Walimu wa Udsm ni kama walivyo walimu wa Mzumbe au Kibaha wanayafanya mambo kuwa magumu maksudi ili kuwakomoa wanafunzi. Mwl wa Udsm utamkuta anajisifu hadharani kwamba mwaka huu lazima niwashike nusu ya darasa . Yani mwl unajisifu kufelisha??
 
Back
Top Bottom