Tuhuma Vs Amani

Akili kubwa , madini ya nguvu sana
 
Pole sana mkuu
 
Kuwa Muslim ni mtihani kwa tz

wengi wetu tuna elimu ya madrasa tu
 
Hizo huduma zimeanza kukosekana hii awamu ya sita pekee??

Nchi ina miaka 64 ya uhuru hukuandamana kudai hizo huduma,leo unajifanya unaziona ni jambo jipya

Hizi changamoto haziondoki kwa siku moja kama unanua mkate dukani
Hivi wewe una akili hata punje tu? Kwa hiyo kama haya matatizo yalikuwepo kipindi cha nyuma tunapaswa tuyakubali tu? Kwani hizo ndege na gari za kifahari zinanunuliwa kwa mavi yasiyokuwa na thamani? Huoni kwamba hizo fedha zinazotumika kununulia hizo ndege na magari ya kifahari zingeweza kupunguza haya matatizo ya ukosefu wa huduma bora za afya, madarasa bora, miundo mbinu etc? Wewe ni mpumbavu. I official ignore you maana nahangaika na taahira
 
Interesting!!!
Kwa hivyo kosa likifanywa na mmoja au na wengi toka zamani inakuwa sawa kufanyika hivyo daima na wote wanaofuatia?
Two wrongs doesn't make it right.
Kwa hiyo unashauri tuendelee na makosa miaka yote au siyo?
There must be a beginning of something, and in this case we need to start a corruption free state with Samia's tenure.
 
Simaanishi ni halali makosa yaendelee hapana

Sawa tuanze na Katiba kwanza ndio road map yetu iwawajibishe wahusika
 
Hahah nilitoa angalizo awali huu mchezo hauhitaji hasira
 
Simaanishi ni halali makosa yaendelee hapana

Sawa tuanze na Katiba kwanza ndio road map yetu iwawajibishe wahusika
Kwani hamkuombwa tusimamishe uchaguzi kwa muda hadi tubadili katiba mkakataa?
Ingelikuwa watu hawamtaki Samia sababu mwanamke, mzanzibar au muislam wasingempa hiyo fursa ya kuendelea kuongoza wakati mchakato wa kubadili katiba ukiendelea.
Najua unatetea mambo ya hovyo sababu ya niliyo taja hapo juu. Sema unakwepa kuvitaja waziwazi kwa sababu maalum.
Kama angekubali mchakato wa Katiba angeendelea kutawala miaka karibu mitatu zaidi.
Kisha ungefanyika uchaguzi ambao pia alikuwa na nafasi ya kushinda na kuongezewa miaka 5 mingine.
Angekaa madarakani jumla miaka 7 hadi 12 kihalali kabisa.
Look at the situation now! She is almost isolated now by international community. Watu wamemtengenezea mtego wa kumchafua.
Naamini yeye hana roho ya kikatili kiasi cha kuuwa vijana wengi kama wale. Worse enough wameuwawa hadi wanawake na watoto wadogo chini ya miaka 16.
Samia ni mtu mzuri tu, ametengenezewa ajali na walafi wanaofaidika na upole wake.

Note: Sijamtaja (address) Mheshimiwa au Raisi Samia makusudi. Siyo kwamba simuheshimu hapana.
Nimetaka kumuelezea yeye kama personality yake au nafsi yake na uzuri wake nje ya dhamana ya cheo chake.
She is a good person.
 
Hii nchi ni ngumu kuiongoza kwakuwa Ina idadi ya wajinga wengi Mama hana tatizo kabisa


Kuwaongoza watu wajinga ni Kazi ngumu.
 
Wananchi wa daslamu wamechoma miundombinu ya maji mkoa mzima...wangelinda amani wangekuwa na maji ya kutosha🤣
 
Uharo huu umefakamia mavitu gani!
 
Ume anza ungese kijana
Hata General katika vita ana retreat akiona amezidiwa ili kuokoa uhai wa wanajeshi na haendi vitani bila kufanya assessment ya uwezo wa mpinzani , uwezo wake na nyezo muhimu za vita kama silaha , idadi ya kikosi na chakula .

Mimi ni mhanga mkubwa wa serikali na sipendezwi nayo ila siwezi kuSuggest watu watoke front kizembe wakauwawe mwisho wa picha hakuna mabadiliko yeyote . Siwezi kusapoti njia ambayo ina risk kubwa ya kuondoka na maelfu ya watu na kusababisha hasara kubwa bila matokeo chanya.

Mimi naunga na MALCOM LUMUMBA na Kiranga ambao waliwahi kusema mabadiliko sio njia ya shortcut .
 

Hao diaspora ni kundi la wajinga ndo wamekuwa wakisema GEN Z waandamane na kuwarisha taarifa fake .
 
OP kbs kwann mnabadil malalamiko ya wananchi ?

Amani haiji kwa kuacha watu waendelee kutekwa , au mnauza viungo vya watu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…