1. Mhakikishe mnapata wabunge wengi wa Upinzani
2. Mawaziri wasiwe wabunge
3. Ma CEO wa makampuni ya umma wapatikane kwa ushindani
4. Elimu kwa uraia... mtendaji wa kila siku wa Serikali ni Waziri Mkuu sio Raisi
5. Mtenganishe siasa na proffesional kama uhandisi etc...
6. Punguzeni kuongoza nchi kisiasa...
7. Kimbizeni Serikali kuhakikisha makampuni ya miundo mbinu yanakuwa imara mfano, TANESCO, TRL, TTCL, TPA, ATCL, etc... haya yakishakuwa njema biashara/kaz zitafanyika kodi zitakusanywa... na huduma kama maji, afya, elimu zitapatikana kwa urahisi zaidi...
8. Fumua mfumo ya employment compensation wa serikali, kuhakikisha wafanyakazi wajuu wa serikali wasikae kutengeneza safari na seminar... pay them well, but no gain in seminar & travels.
9.
10.