Wakuu,
Habari za leo?
Katika HOJA mbalimbali hapa tumejadili kwa kina kuhusu matatizo mbalimbali yanayoikabili nchi yetu bila kusahau ufisadi uliovuka mipaka.
Kama ni kweli kuwa CCM itaendelea kushinda katika uchaguzi wa mwaka huu na kuunda Serikali, Nini hasa Wananchi wa nchi hii tunatakiwa tufanye ili kuhakikisha Serikali ijayo ya CCM inawajibika ipasavyo kwa Wananchi watakaokuwa wameiweka madarakani na kuhakikisha kuwa nchi hii na watu wake wanapata maendeleo kadri ya mategemeo na matarajio yao.
Habari za leo?
Katika HOJA mbalimbali hapa tumejadili kwa kina kuhusu matatizo mbalimbali yanayoikabili nchi yetu bila kusahau ufisadi uliovuka mipaka.
Kama ni kweli kuwa CCM itaendelea kushinda katika uchaguzi wa mwaka huu na kuunda Serikali, Nini hasa Wananchi wa nchi hii tunatakiwa tufanye ili kuhakikisha Serikali ijayo ya CCM inawajibika ipasavyo kwa Wananchi watakaokuwa wameiweka madarakani na kuhakikisha kuwa nchi hii na watu wake wanapata maendeleo kadri ya mategemeo na matarajio yao.