Tufanye Nini Ili Serikali Itekeleze Majukumu Yake Ipasavyo?

TANURU

Senior Member
Jan 13, 2010
162
6
Wakuu,

Habari za leo?

Katika HOJA mbalimbali hapa tumejadili kwa kina kuhusu matatizo mbalimbali yanayoikabili nchi yetu bila kusahau ufisadi uliovuka mipaka.

Kama ni kweli kuwa CCM itaendelea kushinda katika uchaguzi wa mwaka huu na kuunda Serikali, Nini hasa Wananchi wa nchi hii tunatakiwa tufanye ili kuhakikisha Serikali ijayo ya CCM inawajibika ipasavyo kwa Wananchi watakaokuwa wameiweka madarakani na kuhakikisha kuwa nchi hii na watu wake wanapata maendeleo kadri ya mategemeo na matarajio yao.
 
Nguvu tuliyonayo ni kwenye kupiga kura tu!
Inatakiwa watu wahamasishwe wasichague serikali dhalimu tena, hapo ndo tunaweza kuiamrisha serikali na ikafanya vile tunavyotaka sisi wananchi!

Wanasiasa wakishaona kuna uwezekano wa kutochaguliwa, watafanya yale yanayopaswa kufanyika kwa manufaa ya nchi.

Tofauti na kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kupiga kura hatuwezi kuiamrisha serikali kwa lolote.
 
Binafsi naona hata msipoipigia kura CCM bado chama hicho kitashinda tu, kumbuka uchaguzi wa Zanzibar wa mwaka 1995.

Kitu pekee kinachoweza kuilazimisha serikali kufanya kazi yake ipasavyo (as per public interest) ni KUGOMA KULIPA KODI. Kila mmoja wetu akigoma kulipa kodi iwe individuals or corporates iwe PAYE or VAT or Customs duty or import duty....Hapo wana wa nchi tunaweza kufaidi matunda ya nchi yetu, tukigoma kwa muda wa miezi 3 tu, basi wakuu watanyooka tu.

Hapo kuanzia mh. rais mpaka afisa wa chini wote watakuwa ni watumishi wetu!!
 
1. Mhakikishe mnapata wabunge wengi wa Upinzani
2. Mawaziri wasiwe wabunge
3. Ma CEO wa makampuni ya umma wapatikane kwa ushindani
4. Elimu kwa uraia... mtendaji wa kila siku wa Serikali ni Waziri Mkuu sio Raisi
5. Mtenganishe siasa na proffesional kama uhandisi etc...
6. Punguzeni kuongoza nchi kisiasa...
7. Kimbizeni Serikali kuhakikisha makampuni ya miundo mbinu yanakuwa imara mfano, TANESCO, TRL, TTCL, TPA, ATCL, etc... haya yakishakuwa njema biashara/kaz zitafanyika kodi zitakusanywa... na huduma kama maji, afya, elimu zitapatikana kwa urahisi zaidi...
8. Fumua mfumo ya employment compensation wa serikali, kuhakikisha wafanyakazi wajuu wa serikali wasikae kutengeneza safari na seminar... pay them well, but no gain in seminar & travels.
9.
10.
 
Binafsi naona hata msipoipigia kura CCM bado chama hicho kitashinda tu, kumbuka uchaguzi wa Zanzibar wa mwaka 1995.

Kitu pekee kinachoweza kuilazimisha serikali kufanya kazi yake ipasavyo (as per public interest) ni KUGOMA KULIPA KODI. Kila mmoja wetu akigoma kulipa kodi iwe individuals or corporates iwe PAYE or VAT or Customs duty or import duty....Hapo wana wa nchi tunaweza kufaidi matunda ya nchi yetu, tukigoma kwa muda wa miezi 3 tu, basi wakuu watanyooka tu.

Hapo kuanzia mh. rais mpaka afisa wa chini wote watakuwa ni watumishi wetu!!

Brooklyn,

Nakubaliana na wewe kuhusu huo mkakati.
 
1. Mhakikishe mnapata wabunge wengi wa Upinzani
2. Mawaziri wasiwe wabunge
3. Ma CEO wa makampuni ya umma wapatikane kwa ushindani
4. Elimu kwa uraia... mtendaji wa kila siku wa Serikali ni Waziri Mkuu sio Raisi
5. Mtenganishe siasa na proffesional kama uhandisi etc...
6. Punguzeni kuongoza nchi kisiasa...
7. Kimbizeni Serikali kuhakikisha makampuni ya miundo mbinu yanakuwa imara mfano, TANESCO, TRL, TTCL, TPA, ATCL, etc... haya yakishakuwa njema biashara/kaz zitafanyika kodi zitakusanywa... na huduma kama maji, afya, elimu zitapatikana kwa urahisi zaidi...
8. Fumua mfumo ya employment compensation wa serikali, kuhakikisha wafanyakazi wajuu wa serikali wasikae kutengeneza safari na seminar... pay them well, but no gain in seminar & travels.
9.
10.


Kasheshe upo sahihi kabisa, hilo la wabunge wa upinzani kuwa wengi ni dhahiri kabisa, umeona hapo akina slaa na Zito walivyoliendesha puta bunge sasa kukiwa na wengine wengi mahihri wa upinzani nadhani haya mambo ya kulindana ya CCM yatakwisha
 
1. Mhakikishe mnapata wabunge wengi wa Upinzani
2. Mawaziri wasiwe wabunge
3. Ma CEO wa makampuni ya umma wapatikane kwa ushindani
4. Elimu kwa uraia... mtendaji wa kila siku wa Serikali ni Waziri Mkuu sio Raisi
5. Mtenganishe siasa na proffesional kama uhandisi etc...
6. Punguzeni kuongoza nchi kisiasa...
7. Kimbizeni Serikali kuhakikisha makampuni ya miundo mbinu yanakuwa imara mfano, TANESCO, TRL, TTCL, TPA, ATCL, etc... haya yakishakuwa njema biashara/kaz zitafanyika kodi zitakusanywa... na huduma kama maji, afya, elimu zitapatikana kwa urahisi zaidi...
8. Fumua mfumo ya employment compensation wa serikali, kuhakikisha wafanyakazi wajuu wa serikali wasikae kutengeneza safari na seminar... pay them well, but no gain in seminar & travels.
9.
10.


Kasheshe upo sahihi kabisa, hilo la wabunge wa upinzani kuwa wengi ni dhahiri kabisa, umeona hapo akina slaa na Zito walivyoliendesha puta bunge sasa kukiwa na wengine wengi mahiri wa upinzani nadhani haya mambo ya kulindana ya CCM yatakwisha
 
Wakuu,

Habari za leo?

Katika HOJA mbalimbali hapa tumejadili kwa kina kuhusu matatizo mbalimbali yanayoikabili nchi yetu bila kusahau ufisadi uliovuka mipaka.

Kama ni kweli kuwa CCM itaendelea kushinda katika uchaguzi wa mwaka huu na kuunda Serikali, Nini hasa Wananchi wa nchi hii tunatakiwa tufanye ili kuhakikisha Serikali ijayo ya CCM inawajibika ipasavyo kwa Wananchi watakaokuwa wameiweka madarakani na kuhakikisha kuwa nchi hii na watu wake wanapata maendeleo kadri ya mategemeo na matarajio yao.

Unauliza swali kana kwamba mfumo wa sasa wa kiuongozi ni impecacable flani hivi. which is NOT.

As long as tunaendelea kuuabudu, kuutukuza na kuukumbatia mfumo wa sasa wa kujitawala (including the so called uchaguzi), I can tell now, and even if I would be reincarnated 1000 years later I will tell the same thing, kwamba this system is bound to fail and it will continue to do so. Huezi kupanda chelewa ukachipua mnazi.

Hivo bana, solution ni kutafuta mfumo mpya wa kujitawala ambao utakuwa free from siasa, opinions and subjectivity.
 
1. Mhakikishe mnapata wabunge wengi wa Upinzani
2. Mawaziri wasiwe wabunge
3. Ma CEO wa makampuni ya umma wapatikane kwa ushindani
4. Elimu kwa uraia... mtendaji wa kila siku wa Serikali ni Waziri Mkuu sio Raisi
5. Mtenganishe siasa na proffesional kama uhandisi etc...
6. Punguzeni kuongoza nchi kisiasa...
7. Kimbizeni Serikali kuhakikisha makampuni ya miundo mbinu yanakuwa imara mfano, TANESCO, TRL, TTCL, TPA, ATCL, etc... haya yakishakuwa njema biashara/kaz zitafanyika kodi zitakusanywa... na huduma kama maji, afya, elimu zitapatikana kwa urahisi zaidi...
8. Fumua mfumo ya employment compensation wa serikali, kuhakikisha wafanyakazi wajuu wa serikali wasikae kutengeneza safari na seminar... pay them well, but no gain in seminar & travels.
9.
10.

Mkuu haya yatakuwa magumu kuyatekeleza - yanahitaji muda kidogo (tatizo la kimfumo) ila hili la huyu mdau Brooklyn - nafikiri ni la kuanza nalo kuonyesha kuwa tushachoka kulipa kodi watu wanazichezea chezea tu pesa zetu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom