Tufanye kazi

Apr 21, 2011
7
1
Matukio yanayotokea sasa katika nchi yetu ni mchanganyiko wa mambo mengi na la msingi zaidi nionalo
kwetu sisis watanzania kulalamika kwamba hali ngumu na viongozi hawawajibiki. Ok yawezekana kweli hawawajibiki wanakula rushwa au
wanajali maslahi yao kuliko ya nchi yao na wananchi wao.
Sasa wananchi sisi tunaolalamikia kila kitu tunawajibika vipi? Utakuta mtu yupo mitaani badala ya kuwa kwenye meza yake saa za kazi na
wakati mwingine mtu yuko kazini lakini yupo kwa sababu yupo hafanyi kazi ipaswavyo ni soga tu na matokeo yake kazi zinarundikana
hazimaliziki on time! mwisho wa siku kunakuwa kuna viporo na mwisho wa yote tunaingiza hasara katika makampuni na mashirika.
Tufanyeni kazi tuche kulalamikia kila kitu bila kazi uchumi wetu utakuwaje na maisha bora yanapatikanaje bila kukuza uchumi?
 
Matukio yanayotokea sasa katika nchi yetu ni mchanganyiko wa mambo mengi na la msingi zaidi nionalo<br />
kwetu sisis watanzania kulalamika kwamba hali ngumu na viongozi hawawajibiki. Ok yawezekana kweli hawawajibiki wanakula rushwa au <br />
wanajali maslahi yao kuliko ya nchi yao na wananchi wao. <br />
Sasa wananchi sisi tunaolalamikia kila kitu tunawajibika vipi? Utakuta mtu yupo mitaani badala ya kuwa kwenye meza yake saa za kazi na<br />
wakati mwingine mtu yuko kazini lakini yupo kwa sababu yupo hafanyi kazi ipaswavyo ni soga tu na matokeo yake kazi zinarundikana <br />
hazimaliziki on time! mwisho wa siku kunakuwa kuna viporo na mwisho wa yote tunaingiza hasara katika makampuni na mashirika.<br />
Tufanyeni kazi tuche kulalamikia kila kitu bila kazi uchumi wetu utakuwaje na maisha bora yanapatikanaje bila kukuza uchumi?
<br />
<br />
Ni wazi Mkuu we upo ktk siasa! Kwa uzowefu wangu hoja muflisi kama hii yako huwa inatolewa na kundi hilo. Vinginevyo ungeungana na watanzania wenzio wengi kulia na kupiga yowe la maisha kuwa magumu. Ni wanafanya siasa peke yao ndo hawaisikii sauti ya walio wengi kuwa hali ya maisha ni ngumu kwa walio wengi.
Acha kutukana wavuja jasho na watanzania wenzako mkuu!
 
Back
Top Bottom