Tufahamiane vibisa wa Chit Chat....!!!

Tufahamiane vibisa wa Chit Chat....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
Morning,
Nimefatilia threads mbalimbali humu chit chat, yaan ni kama kulifanyika scrumble and partition. Kila mtu na koloni lake aisee, watu wamefanya effective occupation. Wengine kama Mswati yaani kwa wingi wa makoloni yao, utasikia tu mdada kaanzisha nyuzi anajitangaza yeye ni mke wa fulani ilimradi tu burudani ndani ya chit chat. Forget the title of the thread, what I mean ni tufahamiane ambao bado tuko Misri bado hatujaiona nchi ya ahadi. Kuna kipindi niliweka effort kidogo nikawa nimeshavuka bahari ya shamu ila Faraoh mmoja akanizidi kete na kunirudisha Misri. Tupeane mbinu jamani, maombi nshatuma kwa wenyeviti ila nahisi sijui wanataka mrungula? Maana sielewi ujue?? Tunawekwa pending tu, ni kama vifaranga vya kuku kila siku vinadanganywa vitanyonya kesho kumbe maziwa hamna. Haya haya, ambao wako tayari kufanya Coup d' etat tuungane kufanya mapinduzi ili pasi shaka nasi tujitwalie makoloni.
Just humour though, niwatakie siku njema.

Vibisa oyeeeeee....!!!
 
Usijali, kwa post hii ndani ya mwezi utatawazwa kuwa mfalme mswati..
 
Kwa hiyo kimsingi umekuwa somo zege sio?
 
Aisee mkuu kama huna bahati ndugu yangu bora ujikalie mbali tu,,,,,,,mimi humu kila nikijitahidi napewa za mbavu,,,,,,,,nimeamua kuwa peke yangu hahahahaah!!
 
Aisee mkuu kama huna bahati ndugu yangu bora ujikalie mbali tu,,,,,,,mimi humu kila nikijitahidi napewa za mbavu,,,,,,,,nimeamua kuwa peke yangu hahahahaah!!

Hahaha daaah mkuu kama tunalala na bundi vile tulivyo na gundu!
 
Aisee mkuu kama huna bahati ndugu yangu bora ujikalie mbali tu,,,,,,,mimi humu kila nikijitahidi napewa za mbavu,,,,,,,,nimeamua kuwa peke yangu hahahahaah!!
kumbe tupo wangu aisee
 
Aisee mkuu kama huna bahati ndugu yangu bora ujikalie mbali tu,,,,,,,mimi humu kila nikijitahidi napewa za mbavu,,,,,,,,nimeamua kuwa peke yangu hahahahaah!!

Katavi unaniangusha mkurugenzi...kauli yako ni ya kukata tamaa
 
Last edited by a moderator:
Naomba sana, mashavu wanapewa wengine,
Wengine wananishauri sijui niende kwa mganga pengine!

Hahahaaa hivi waganga wanasaidia? Zaman tulikuwa tunaambiwa ukikaanga mkia wa goromondo ule unga unga unampaka, au unamrushia demu eti lazma akupe mzigo, utoto bana.
Cc Katavi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom