Tuendelee kujiandaa Vita ya 3 ya Dunia ni swala la muda tu

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,153
11,204
Nilishawahi kuskia kwenye vitabu vya Kihistoria kuwa Dunia kila baada ya karne imekuwa haitulii bila vita au magonjwa mazito kuzuka ndio asili ya ulimwengu

Tokea zama za kale kumekuwa na vita vikubwa hata kwenye maandiko ya Biblia yameeleza toka enzi na ezi vilipigamwa vita vingi, maana yake vita ni asili ya ulimwengu

kwa sasa kuna kila Dalili lolote linaweza kutokea pasipo mtu yeyote kutarajia na Dalili zinaonekana kabisa kuwa kuna vita kubwa inaweza kuzuka Bara la ulaya na Asia pia naziona Dalili endapo choko choko zikiendelea

Taiwan alishaonywa na China mda mrefu kuwa eneo hilo ni mali ya China na Taiwan akagoma kuwa ana mamlaka yake na Mshirika wake mkuu ni Marekani,

China kwa sasa uvumilivu umeshamfikia shingoni na kifuatacho lolote pale linaweza kutokea maana China kashaona Ni kama Marekani amesogea sebleni kwake na kumwaga kambi zake za kijeshi kitu ambacho anaona ni Hatari kwa usalama wake, na kitendo cha Taiwan kuanza mazoezi ya kijeshi hadi kwa Raia ni kiashiria lolote linaweza kutokea pale

Mmarekani ameonya kuwa Endapo China ikiivamia kijeshi Taiwan basi itakuwa imejiingiza moja kwa moja kwenye vita na Marekani maana Taiwan na Marekani wana mkataba wa kulindana endapo mmoja akivamiwa basi wanashirikiana vitani

Maana yangu ni kwamba China akiivamia Taiwan haitokuwa kama kule Ulraine , hapa Mmarekani moja kwa moja ataingia vitani na hapo Ashia inaweza zuka vita kubwa ambayo inaweza kuleta madhara makubwa na kuingia kwenye Historia

Kule Ulaya kauli ya leo ya mkuu wa majeshi wa Uingereza kuwa "Lazima tuwe tayari kupigana tena" , hajaiongea kwa bahati mbaya huenda kuna kila dalili hapo ulaya NATO ikaingia kwenye vita vya moja kwa moja na Urusi
Screenshot_20220619-180325_Opera%20Mini.jpg


Ubaya wa hivi vita vikishazuka vinatuathiri hata tusiohusika, angalia mafuta ya Petroli na Dieael yalivuopaa sababu ya migogoro tu ya mataifa makubwa je vikizuka vita vikubwa zaidi itakuwaje
 
Nilishawahi kuskia kwenye vitabu vya Kihistoria kuwa Dunia kila baada ya karne imekuwa haitulii bila vita au magonjwa mazito kuzuka ndio asili ya ulimwengu

Tokea zama za kale kumekuwa na vita vikubwa hata kwenye maandiko ya Biblia yameeleza toka enzi na ezi vilipigamwa vita vingi, maana yake vita ni asili ya ulimwengu

kwa sasa kuna kila Dalili lolote linaweza kutokea pasipo mtu yeyote kutarajia na Dalili zinaonekana kabisa kuwa kuna vita kubwa inaweza kuzuka Bara la ulaya na Asia pia naziona Dalili endapo choko choko zikiendelea

Taiwan alishaonywa na China mda mrefu kuwa eneo hilo ni mali ya China na Taiwan akagoma kuwa ana mamlaka yake na Mshirika wake mkuu ni Marekani,

China kwa sasa uvumilivu umeshamfikia shingoni na kifuatacho lolote pale linaweza kutokea maana China kashaona Ni kama Marekani amesogea sebleni kwake na kumwaga kambi zake za kijeshi kitu ambacho anaona ni Hatari kwa usalama wake, na kitendo cha Taiwan kuanza mazoezi ya kijeshi hadi kwa Raia ni kiashiria lolote linaweza kutokea pale

Mmarekani ameonya kuwa Endapo China ikiivamia kijeshi Taiwan basi itakuwa imejiingiza moja kwa moja kwenye vita na Marekani maana Taiwan na Marekani wana mkataba wa kulindana endapo mmoja akivamiwa basi wanashirikiana vitani

Maana yangu ni kwamba China akiivamia Taiwan haitokuwa kama kule Ulraine , hapa Mmarekani moja kwa moja ataingia vitani na hapo Ashia inaweza zuka vita kubwa ambayo inaweza kuleta madhara makubwa na kuingia kwenye Historia

Kule Ulaya kauli ya leo ya mkuu wa majeshi wa Uingereza kuwa "Lazima tuwe tayari kupigana tena" , hajaiongea kwa bahati mbaya huenda kuna kila dalili hapo ulaya NATO ikaingia kwenye vita vya moja kwa moja na Urusi
View attachment 2265806

Ubaya wa hivi vita vikishazuka vinatuathiri hata tusiohusika, angalia mafuta ya Petroli na Dieael yalivuopaa sababu ya migogoro tu ya mataifa makubwa je vikizuka vita vikubwa zaidi itakuwaje
Wakubwa hawatapigana tena hata siku moja. Kitakachoendelea kuwepo ni vita kama hii ya Ukraine, Libya, Syria, Afghanistan na Iraq.
Yaani vita ya Taifa kubwa kuingia kuipiga Taifa dogo kwa maslahi mapana ya Taifa kubwa.
Chukua mfano wa Syria na Ukraine.
 
Wakubwa hawatapigana tena hata siku moja. Kitakachoendelea kuwepo ni vita kama hii ya Ukraine, Libya, Syria, Afghanistan na Iraq.
Yaani vita ya Taifa kubwa kuingia kuipiga Taifa dogo kwa maslahi mapana ya Taifa kubwa.
Chukua mfano wa Syria na Ukraine.
hata vita kuu ya 1,2 haikutabirika kama mmarekani angekuja kuingia vitani wait and see
 
Lolote linaweza kutokea au lisitokee, pamoja na muda mrefu dunia kuishi pasipo vita nchi nyingi zimekuwa zikinunua siraha za mahangamizi miaka mingi huko nyuma na siraha hizo zimekuwa hazifanyi kazi yoyote zaidi ya hasara kwa mataifa husika.

Vita ni sehemu ya matumizi ya siraha hizo, hivyo kwa mataifa makubwa kama Marekani, China, Urusi, nk utegemea kuuza siraha kwa vinchi vidogox2 ambavyo pia huvimudu likitokea lolote.

Sasa basi, hizi chokochoko si za bahati mbaya au makusudi bali inaweza kuwa ni sehemu ya kutaka kutumia siraha zilizokaa sana kwenye mabohari na andaki za vifaa vya kivita.

Sisi mama dagaa tujiandae kwa kupigwa na miyale ya upungufu wa bidhaa muhimu sana.
 
Zipigwe kavukavu tuanze upya kujipanga kwa heshma na adabu ikiwezekana ushoga ufutwe kabisa Duniani na mashoga wote wachomwe moto.
 
Marekani ataziba njia za majini kwa China, dunia nzima itaumia
 
Back
Top Bottom