Tumushuhudia yaliyotokea pale Morogoro kwenye maandamano ya CHADEMA, ambapo mtu mmoja alifariki kwenye purukushani na polisi.
Cha kushangaza ni kuwa pamoja na kutokea mauaji na chanzo kikiwa ni wao kutotii maagizo waliyopewa na jeshi la polisi, kesho yake wakataka kuendelea na mikutano yao ya M4C Iringa, kabla ya kuzuiwa na polisi
Kulikuwa na haja gani ya kuendelea na mikutano yao wakati wamesababisha mauaji? Hii inadhihirisha kuwa hawa jamaa hawana utu ndani yao
Nawasihi Watanzania tuendelee kuwakataa hawa watu popote watakapoofika kutuletea propaganda zao
Cha kushangaza ni kuwa pamoja na kutokea mauaji na chanzo kikiwa ni wao kutotii maagizo waliyopewa na jeshi la polisi, kesho yake wakataka kuendelea na mikutano yao ya M4C Iringa, kabla ya kuzuiwa na polisi
Kulikuwa na haja gani ya kuendelea na mikutano yao wakati wamesababisha mauaji? Hii inadhihirisha kuwa hawa jamaa hawana utu ndani yao
Nawasihi Watanzania tuendelee kuwakataa hawa watu popote watakapoofika kutuletea propaganda zao