eldamaty_persier
Senior Member
- Mar 18, 2024
- 118
- 285
- Thread starter
-
- #61
Mtafika mbinguni mmechoka sanaπKiuhalisia wanaume wengi huwa hatuwezi kumtamkia moja kwa moja mwanamke kuwa "sikupendi" hasa tukionyeshwa na wanawake kuwa tunapendwa kuna muda huwa tunawatafutia makosa ili tuachane tukikosa hayo makosa huwa tunaanza kujitenga kwa kukata mawasiliano.
Rungu ni stick?He's waving a stick,leaves it there........
Kuna AI nowadaysπππ
Kaza kwa kamba ya kataniπ nakazia
Huyo mtu hata hatumjui ila tunapaswa kujua kama amekuja serious au anataka kupasha kiporo tuπ«
ww mi London nimekaa Hadi nkapachokaπ€π. Kinge kimetulia hapa naogopa kutumia kitaisha makaliRungu ni stick?
Kusuuza ni ku wave ?
Jiandae kwenda Mirembe na nipo tayari kukupeleka ni PM mapema sana ππ
so he wants to rinse his ......... π€£π€£π€£π€£ww mi London nimekaa Hadi nkapachokaπ€π. Kinge kimetulia hapa naogopa kutumia kitaisha makali
hata awe ke,asitake tupa lawama maana lile genge langu la KATAA NDOA watamcharanga panga za kutosha apaHuyu aliendika huu Uzi ni KE
Nakaza kwa mnyororoKaza kwa kamba ya katani
Sogea karibu sasa mbona upo mbali πNinong'oneze
Sogea karibu sasa mbona upo mbali πNinong'oneze
Ipo atakuja nayo soon πIpi hiyo ? π€£π€£π€£
Utani CC kwenye reply ya comment yakeIpo atakuja nayo soon π
ππππ Umenichekesha na vitu vitatuWakati wote huo ambao alikuwa hapatikani nlikokuwa ni mtu mwenye mawazo, huzuni, hasira,kulia,kisirani na nikawa mtu wa tofauti kbs!
pumbavu kabisaaa.Dunia imejaa warembo namna hii wee unakaa na mawazo na kulia mwanaume kamili na halisi.
Wengine kuachwa na demu huwa tunaona kama mkeka umechanika tu.
Macho yanguuuu πππππWakati wote huo ambao alikuwa hapatikani nlikokuwa ni mtu mwenye mawazo, huzuni, hasira,kulia,kisirani na nikawa mtu wa tofauti kbs!
pumbavu kabisaaa.Dunia imejaa warembo namna hii wee unakaa na mawazo na kulia mwanaume kamili na halisi.
Wengine kuachwa na demu huwa tunaona kama mkeka umechanika tu.
Ana rinser???so he wants to rinse his ......... π€£π€£π€£π€£
Rinse ni kusuuza πππAna rinser???