Tuendelee au nimuache aende zake

Mtafika mbinguni mmechoka sanaπŸ˜…
 
Mtu ambae amekupitezea bila sababu mara nyingi akirudi anarudi kwa sababu so kuwa makin na njia Bora ni kuendelea na maisha yako
 
Wakati wote huo ambao alikuwa hapatikani nlikokuwa ni mtu mwenye mawazo, huzuni, hasira,kulia,kisirani na nikawa mtu wa tofauti kbs!

pumbavu kabisaaa.Dunia imejaa warembo namna hii wee unakaa na mawazo na kulia mwanaume kamili na halisi.
Wengine kuachwa na demu huwa tunaona kama mkeka umechanika tu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umenichekesha na vitu vitatu
 
Macho yanguuuu 😭😭😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…