Tuendelee au nimuache aende zake

Kwa huu mwandiko tayari ushamkubalia kurudiana,hapa umekuja kututafutia lawama tu!the truth is,alipata njemba imemburuza na kumubwaga so anapooza machungu kwako vile anajua unampenda na hufurukut!...anyway just trust her na ukufe na distance love!
 
Kuna mambo ukikubali kudanganywa hata anaekudanganya anakuona ni jinsi gani alikuwa sahihi kukufanyia alivyokufanyia. 2 yrs mtu kakuacha alafu anakuja na uongo huo unajishauri, sijui unajishauri nini ila hakustahili hata kama bado unampenda.
Pole.
 
Kama utaweza kusahau yote aliyofanya hiyo miaka miwili rudiana naye kama hutaweza usirudiane naye

Akilini weka hii kitu "Fimbo ya mbali haiui nyoka"
Wenzio wamechezea muda wote huo naww kwakua penda penda umemkubalia tyr maana humu hakuna majibu ila yaliopo kichwani mwako ndio majibu na umemkubia tyr.
Mwenzio anatafuta maisha anapoona yanasogea anaweka nanga sasa zamu yako akikuchoka anasepa
 
Kiuhalisia wanaume wengi huwa hatuwezi kumtamkia moja kwa moja mwanamke kuwa "sikupendi" hasa tukionyeshwa na wanawake kuwa tunapendwa kuna muda huwa tunawatafutia makosa ili tuachane tukikosa hayo makosa huwa tunaanza kujitenga kwa kukata mawasiliano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…