Tuelimishane Sheria za Barabarani (Traffic Regulations)

Tuelimishane Sheria za Barabarani (Traffic Regulations)

Alluu

Senior Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
127
Reaction score
142
Habari za jioni wanajamii. Naomba tuelimishane hapa, kuna sheria yoyote ya barabarani inayo mtaka mwendesha chombo cha moto kuwa na Certified Copy ya Card ya chombo husika kama Gari etc anapokuwa barabarani? Kuna event moja leo rafiki yangu alisimamishwa na traffic akakaguliwa na kukutwa ana documents zote muhimu, fire extinguisher, triangle etc isipokuwa Card ya gari yake alikuwanayo isipokuwa haikuwa certified. Traffic akampiga fine ya kosa moja na akatakiwa alipe Sh 30,000/= Sasa je ni sahihi alichofanyiwa?
 
Habari za jioni wanajamii. Naomba tuelimishane hapa, kuna sheria yoyote ya barabarani inayo mtaka mwendesha chombo cha moto kuwa na Certified Copy ya Card ya chombo husika kama Gari etc anapokuwa barabarani? Kuna event moja leo rafiki yangu alisimamishwa na traffic akakaguliwa na kukutwa ana documents zote muhimu, fire extinguisher, triangle etc isipokuwa Card ya gari yake alikuwanayo isipokuwa haikuwa certified. Traffic akampiga fine ya kosa moja na akatakiwa alipe Sh 30,000/= Sasa je ni sahihi alichofanyiwa?

kama unatembea na copy ya card ya gari inatakiwa iwe certified na TRA, wanabadika stamp na muhuri wao, ni sh 500 tu ofisi yoyote ya TRA.
 
Kuna mmoja kosa hilo hilo akarambwa 80,000 juzi, hizi fine hazieleweki
 
Habari za jioni wanajamii. Naomba tuelimishane hapa, kuna sheria yoyote ya barabarani inayo mtaka mwendesha chombo cha moto kuwa na Certified Copy ya Card ya chombo husika kama Gari etc anapokuwa barabarani? Kuna event moja leo rafiki yangu alisimamishwa na traffic akakaguliwa na kukutwa ana documents zote muhimu, fire extinguisher, triangle etc isipokuwa Card ya gari yake alikuwanayo isipokuwa haikuwa certified. Traffic akampiga fine ya kosa moja na akatakiwa alipe Sh 30,000/= Sasa je ni sahihi alichofanyiwa?

Sheria unapaswa kutembea na kadi halisi ya gari. Kama ikishindikana kabisa lazima uwe na certified true copy of the original, vinginevyo ni onyo kali au fine au kifungo au vyote kwa pamoja kwa maana ya fine na na kifungo. Kwa hiyo jamaa yako ndio alikuwa na kosa.
 
Certified copy ina umuhimu incase ikitokea shida itakayokulazimu kuonesha umiliki halali wa chombo chako. Kuna rafiki yngu, alipenda sana kutembea na card original. Akashauriwa kutoa copy na abaki nayo, original atunze. Mwanzo alikua mbishi ila ilitokea kama bahati. Siku aliyoenda kutoa copy na kuipeleka ikapigwa stamp ya TRA wakati anarudi nyumbani, njiani alipita mahali akapaki. Ilikua gari ya abiria. Abiria mmoja akachukua card original na kusepa nayo. Wakati jamaa anashtuka kwenda kutoa ripoti, akakutana na mwizi wake akiandikisha taarifa ya kuibiwa gari. Ilikua ponapona ya jamaa maana aliemtetea ni kamishna wa TRA aliyempigia muhuri. Iwapo angeskua hana ile certified true copy, ilikua inakula kwake
 
Certified copy ina umuhimu incase ikitokea shida itakayokulazimu kuonesha umiliki halali wa chombo chako. Kuna rafiki yngu, alipenda sana kutembea na card original. Akashauriwa kutoa copy na abaki nayo, original atunze. Mwanzo alikua mbishi ila ilitokea kama bahati. Siku aliyoenda kutoa copy na kuipeleka ikapigwa stamp ya TRA wakati anarudi nyumbani, njiani alipita mahali akapaki. Ilikua gari ya abiria. Abiria mmoja akachukua card original na kusepa nayo. Wakati jamaa anashtuka kwenda kutoa ripoti, akakutana na mwizi wake akiandikisha taarifa ya kuibiwa gari. Ilikua ponapona ya jamaa maana aliemtetea ni kamishna wa TRA aliyempigia muhuri. Iwapo angeskua hana ile certified true copy, ilikua inakula kwake

Duuh. Lakin hapa pia kuna funzo, kuna umuhimu pia wa kuwa na nyaraka zilitumika kuingizia gari nchini, hasa kwa gari private kama B/L, invoice na zile za TRA kama Tansad na release order. Kwa maana hiyo kesi lazima ingeenda mahamaki na huyo mwizi angeshindwa tu maana angekosa taarifa muhimu kama gari yake iliingia lini receipt za kununulia gari and the like. Ila usumbufu angeupata.
 
Certified copy ina umuhimu incase ikitokea shida itakayokulazimu kuonesha umiliki halali wa chombo chako. Kuna rafiki yngu, alipenda sana kutembea na card original. Akashauriwa kutoa copy na abaki nayo, original atunze. Mwanzo alikua mbishi ila ilitokea kama bahati. Siku aliyoenda kutoa copy na kuipeleka ikapigwa stamp ya TRA wakati anarudi nyumbani, njiani alipita mahali akapaki. Ilikua gari ya abiria. Abiria mmoja akachukua card original na kusepa nayo. Wakati jamaa anashtuka kwenda kutoa ripoti, akakutana na mwizi wake akiandikisha taarifa ya kuibiwa gari. Ilikua ponapona ya jamaa maana aliemtetea ni kamishna wa TRA aliyempigia muhuri. Iwapo angeskua hana ile certified true copy, ilikua inakula kwake
Huyu mwizi alienda kuandikisha kama dereva wa hilo gari au mmiliki?
 
Certified copy ina umuhimu incase ikitokea shida itakayokulazimu kuonesha umiliki halali wa chombo chako. Kuna rafiki yngu, alipenda sana kutembea na card original. Akashauriwa kutoa copy na abaki nayo, original atunze. Mwanzo alikua mbishi ila ilitokea kama bahati. Siku aliyoenda kutoa copy na kuipeleka ikapigwa stamp ya TRA wakati anarudi nyumbani, njiani alipita mahali akapaki. Ilikua gari ya abiria. Abiria mmoja akachukua card original na kusepa nayo. Wakati jamaa anashtuka kwenda kutoa ripoti, akakutana na mwizi wake akiandikisha taarifa ya kuibiwa gari. Ilikua ponapona ya jamaa maana aliemtetea ni kamishna wa TRA aliyempigia muhuri. Iwapo angeskua hana ile certified true copy, ilikua inakula kwake
Aisee yaani unachukua card original tu unaenda kuripoti gari yako imeibiwa?!! Card haina jina lako utathibitisha vipi kuwa mwenye jina la kwenye card kakuibia gari?! Lets say kakuuzia akakugeuka una mkataba?!
 
Certified copy ina umuhimu incase ikitokea shida itakayokulazimu kuonesha umiliki halali wa chombo chako. Kuna rafiki yngu, alipenda sana kutembea na card original. Akashauriwa kutoa copy na abaki nayo, original atunze. Mwanzo alikua mbishi ila ilitokea kama bahati. Siku aliyoenda kutoa copy na kuipeleka ikapigwa stamp ya TRA wakati anarudi nyumbani, njiani alipita mahali akapaki. Ilikua gari ya abiria. Abiria mmoja akachukua card original na kusepa nayo. Wakati jamaa anashtuka kwenda kutoa ripoti, akakutana na mwizi wake akiandikisha taarifa ya kuibiwa gari. Ilikua ponapona ya jamaa maana aliemtetea ni kamishna wa TRA aliyempigia muhuri. Iwapo angeskua hana ile certified true copy, ilikua inakula kwake
kama muvi ya kihindi vile
 
Card ya gari lzm iwe certified sema ilitakiwa busara tu itumike kumuelimisha akacertify,ila kwa sababu siku hizi wamekuwa wakala wa mapato hakuna jinsi changia tu,kosa lako moja ndio kuongezeka kwa mapato.
 
hilo ni kosa ndio,either awe na kadi original au certified copy of the origin tena iwe na stamp ya TRA
Sina uhakika. Mimi nijuavyo wangelishikilia gari mpaka pale angeleta kadi halisia au ile iliyo hakikiwa. Kutoa kadi ni uthitisho wa uhalali wa hilo gari si lawizi nk. Kama limeibiwa halafu unamuadhibu mtu kwa elfu 30 anatoweka haijakaa sawa
 
kuna
Huyu mwizi alienda kuandikisha kama dereva wa hilo gari au mmiliki?
majizi mengine majuha kweli kweli
bivi partivular za BIMA na ukafuzi wa Vehicle utalingana na ID zake
bora wangemkamata palepale
gari siku hizi kuibiwa ni 10% zilizobaki 90% ni SAFE
labda akauze scraper
 
Back
Top Bottom