Tueleweshane kuhusu Uhakiki wa Vyeti RITA

Kingdan

Member
May 5, 2020
61
49
Habari Wana jf wenzangu,

Naomba tusaidizane kwa Haya

Hivi majibu ya uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa yanatoka Baada ya siku ngapi?
Yanatumwa sehemu ipi?

Kwa kasi juu ya suala hili nahisi kuna watu watapata tabu Baada ya majibu kutoka Ndivyo sivyo halafu muda wa kuapply mkopo unaisha

Naomba mwenye uelewa kuhusu uhakiki wa cheti cha kuzaliwa atueleweshe mimi ma wahanga Wengine Kuwa

Hivi majibu ya kuhakiki cheti kwa mwaka huu yanachukua muda gani?
Majibu yanatumwa kwenye akaunti ipi ya Rita au email yangu?

Tusaidizane maana loan board hawana cha kupoteza ila sisi..!
Sent from Sony Xperia t2 dual
 
Habari Wana jf wenzangu,

Naomba tusaidizane kwa Haya

Hivi majibu ya uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa yanatoka Baada ya siku ngapi?
Yanatumwa sehemu ipi?

Kwa kasi juu ya suala hili nahisi kuna watu watapata tabu Baada ya majibu kutoka Ndivyo sivyo halafu muda wa kuapply mkopo unaisha

# Tusaidizane wajumbe....
Unaingia kwenye website ya RITA halafu unaattach hiyo scanned certificate, na watakupa control number ya kulipia kama Tsh. 3,000/= tu (sijui kama wamebadilisha kiwango)... then ukishafanikiwa kutuma, subiria siku 3 za kazi... then utaingia kwa account yako kwenye hiyo tovuti, na endapo wakishairudisha kwako, utaiona.
 
Unaingia kwenye website ya RITA alafu unaattach hiyo scanned certificate, na watakupa control number ya kulipia kama Tsh. 3,000/= tu (sijui kama wamebadilisha kiwango)...then ukishafanikiwa kutuma, subiria siku 3 za kazi...then utaingia kwa account yako kwenye hiyo tovuti, na endapo wakishairudisha kwako, utaiona.

Kuna changamoto ya kukataliwa Username na Password, ilikuwepo sana miaka iliyopita na imenikuta tena mwaka huu nilipokua namjazia dogo. Sijui na kwa wenzangu hili lipo? Na linatatuliwa vipi?

Niliwatumia email (info@rita.go.tz) sijajibiwa, nimepiga ile simu yao ambayo haipokelewi kwa zaidi ya saa mbili, baada ya kupokea dada ananiambia yeye sio mtaalamu wa IT, hata baada ya kumuomba aniunganishe na hao wataalamu akanisisitizia niendelee kujaribu hizo Password kwanza.
 
Kuna changamoto ya kukataliwa Username na Password, ilikuwepo sana miaka iliyopita na imenikuta tena mwaka huu nilipokua namjazia dogo. Sijui na kwa wenzangu hili lipo? Na linatatuliwa vipi?

Niliwatumia email (info@rita.go.tz) sijajibiwa, nimepiga ile simu yao ambayo haipokelewi kwa zaidi ya saa mbili, baada ya kupokea dada ananiambia yeye sio mtaalamu wa IT, hata baada ya kumuomba aniunganishe na hao wataalamu akanisisitizia niendelee kujaribu hizo Password kwanza.
hii changamoto utatuzi wake kwenye username pale
weka hata hili jina unalotumia hapa jf yani lisifanane na
majina yeke
 
Unaingia kwenye website ya RITA alafu unaattach hiyo scanned certificate, na watakupa control number ya kulipia kama Tsh. 3,000/= tu (sijui kama wamebadilisha kiwango)...then ukishafanikiwa kutuma, subiria siku 3 za kazi...then utaingia kwa account yako kwenye hiyo tovuti, na endapo wakishairudisha kwako, utaiona.
round hii sio siku tatu round hii ni zaid ya week ndio majibu yanarud nadhani watu wachache sana wamepata majibu
 
Habari Wana jf wenzangu,Naomba tusaidizane kwa Haya
Hivi majibu ya uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa yanatoka Baada ya siku ngapi?
Yanatumwa sehemu ipi?
Kwa kasi juu ya suala hili nahisi kuna watu watapata tabu Baada ya majibu kutoka Ndivyo sivyo halafu muda wa kuapply mkopo unaisha
# Tusaidizane wajumbe....
Ni mpango kabambe wa kukusanya mapato ili wapeleke gawio kama namba moja alivyo waaagiza, kwahiyo mawakili wamenyimwa fursa ya ku-setifai na sasa RITA wanasetifai wenyewe.
 
hii changamoto utatuzi wake kwenye username pale
weka hata hili jina unalotumia hapa jf yani lisifanane na
majina yeke

Maana yake nifungue akaunti mpya? Nitatuma tena upya hicho cheti na kulipia upya, ama taarifa zake zitahamia kwenye akaunti mpya?
 
Maana yake nifungue akaunti mpya? Nitatuma tena upya hicho cheti na kulipia upya, ama taarifa zake zitahamia kwenye akaunti mpya?
aisee pole sana
nikifikir umepata tatizo kama langu

mimi nilifungua account nikaambiwa successful
nakuja kulog in muda huo huo naambiwa username
or password sio sahihi ... ukiclick forget password inaleta
error ..

sasa kunbe wewe ulishaweza kutuma na details zako
kabisa hilo ni tatizo na inabidi wakutatulie wao..

mfumo huu wa e-huduma ni changamoto kwao
bora ule wa uhakiki
 
Habari wanajf wenzangu,Naona muda unazidi kwenda na mambo ni mengi
Naomba mwenye uelewa kuhusu uhakiki wa cheti cha kuzaliwa atueleweshe mimi ma wahanga Wengine Kuwa
..Hivi majibu ya kuhakiki cheti kwa mwaka huu yanachukua muda gani?
..Majibu yanatumwa kwenye akaunti ipi ya Rita au email yangu?
Tusaidizane maana loan board hawana cha kupoteza ila sisi..!
Sent from Sony Xperia t2 dual
RITA ni jipu wakwamishaji wakubwa kwenye suala la waombaji wa mikopo unasubiri chet kwa zaidi ya siku 10,halafu wanatabia moja mbaya ya kufuta akaunti za watu
 
Unaingia kwenye website ya RITA alafu unaattach hiyo scanned certificate, na watakupa control number ya kulipia kama Tsh. 3,000/= tu (sijui kama wamebadilisha kiwango)...then ukishafanikiwa kutuma, subiria siku 3 za kazi...then utaingia kwa account yako kwenye hiyo tovuti, na endapo wakishairudisha kwako, utaiona.
Yani nimeshafanya application tangu siku ile walipofungua e huduma lakin mpaka leo ni kimya,,
Kuna mtu alishapata majibu anisaidie aliyapatia sehem gan?
 
Yani nimeshafanya application tangu siku ile walipofungua e huduma lakin mpaka leo ni kimya,,
Kuna mtu alishapata majibu anisaidie aliyapatia sehem gan?
ingia kwenye profile yako ya e-huduma then click view status,japo wana spidi ya mwendo wa kobe kuhakiki vyeti mwaka huu afadhali mwaka jana
 
handsomezombie,

Asante, mwenyewe ilinizingua hivyo mara ya kwanza nikabadili username ikakubali nikaweka hizo nyaraka.
Baada ya kulipia nikataka kuona status ndipo nikakutana na shida hiyo tena.

Ngoja nisubiri hizo siku 10 zipite niwapigie tena, japo simu yao kupokelewa ni kwa mbiinde sana.
 
Hivi ni lazima kutengeneza akaunti nyingine au kama unayo email unayotumiaga una log in tu?
 
ok,labda kama wamebadili mfumo sasa
Ndugu wewe ulifanikiwa Ku log in na ikakubali? Mana Mimi nimetengeneza akaunti wamenijibu kwamba nimefanikiwa kuitengeneza ila ninapolog in wananambia wrong username or password. Au kuna namna nyingine?
 
Ndugu wewe ulifanikiwa Ku log in na ikakubali? Mana Mimi nimetengeneza akaunti wamenijibu kwamba nimefanikiwa kuitengeneza ila ninapolog in wananambia wrong username or password. Au kuna namna nyingine?
Kwasasa sijadeal nayo, maana nilifanya hizo process mwaka jana. So, sijajua kama kuna mabadiliko yoyote kwasasa.
 
Ndugu wewe ulifanikiwa Ku log in na ikakubali? Mana Mimi nimetengeneza akaunti wamenijibu kwamba nimefanikiwa kuitengeneza ila ninapolog in wananambia wrong username or password. Au kuna namna nyingine?
Na mimi ilikuwa kama hivo nilifanikiwa kutengeneza akaunti ila kulog in nikaambiwa wrong username or password... ila mara ya pili nilifanikiwa
 
Ndugu wewe ulifanikiwa Ku log in na ikakubali? Mana Mimi nimetengeneza akaunti wamenijibu kwamba nimefanikiwa kuitengeneza ila ninapolog in wananambia wrong username or password. Au kuna namna nyingine?
kwenye username niliandika jina la kwanza na la mwisho mfn ........na majibu yalitoka baada ya siku 15
Screenshot_20200807-112610_1597138919362.jpg
 
Yani nimeshafanya application tangu siku ile walipofungua e huduma lakin mpaka leo ni kimya,,
Kuna mtu alishapata majibu anisaidie aliyapatia sehem gan?
Ingia website ya RITA click kwenye menu ya Birth Cert au Death Cert ukishaclick nenda verification pale kwenye paid request click view status apo neo pa kuona majibu km ulishatumiwa utadownload hapo km bado itabaki tu Payment received tu pale kwenye comment watakuandikia maneno ya kukua ombi lako tayari.
Vyeti vya Vivo naona ndoo vinachelewa sana tena sana
 
Back
Top Bottom