Tueleweshane kuhusu binadamu wa kwanza

Tueleweshane kuhusu binadamu wa kwanza

hivi unafikiri jibu tutatoa wapi wakati wote hatukuwepo?au unataka tukwambie na ile picha maarufu ya yesu ni ya kweli hata kama kipindi chake camera hazikuwepo?
unataka kudanganywa hapa,subiri waje....
 
hivi unafikiri jibu tutatoa wapi wakati wote hatukuwepo?au unataka tukwambie na ile picha maarufu ya yesu ni ya kweli hata kama kipindi chake camera hazikuwepo?
unataka kudanganywa hapa,subiri waje....
Ahahah Ile Ya yesu ni filamu mkuu
 
Hebu Tueleweshane Kitu Binadamu wa kwanza Alikua Nyani Au Adam na Hawa.....?
Unataka jibu la Kisayansi au Dini?
kama la kidini unataka la dini gani?, Islam, Xtian, Buddha, Taoism nk,
Au unataka kujua kupitia dini za kiasili? Zipi sasa, za Kichaga, Kisukuma, kihaya nk
 
Unataka jibu la Kisayansi au Dini?
kama la kidini unataka la dini gani?, Islam, Xtian, Buddha, Taoism nk,
Au unataka kujua kupitia dini za kiasili? Zipi sasa, za Kichaga, Kisukuma, kihaya nk
wewe utakapo Simamia Nyani au Adam na Eva? Mkuu
 
wewe utakapo Simamia Nyani au Adam na Eva? Mkuu
Kaka nimekujibu hivyo kwa sasa hiyo maada yako ni pana na usiwalazimishe watu kuchagua kati ya majibu yako
Adam na Eva unamaanisha Abrahamic religions (Christian, Islam na Judaism) ambazo wengine hawaziamini hizo dini Kuna mabuddha na Wahindu humu

Hilo,la Nyani ni la kisayansi, ambalo pia kuna wasiloliamini
 
Kaka nimekujibu hivyo kwa sasa hiyo maada yako ni pana na usiwalazimishe watu kuchagua kati ya majibu yako
Adam na Eva unamaanisha Abrahamic religions (Christian, Islam na Judaism) ambazo wengine hawaziamini hizo dini Kuna mabuddha na Wahindu humu

Hilo,la Nyani ni la kisayansi, ambalo pia kuna wasiloliamini
La nyani huliamini na wewe mkuu....?
 
Hebu tueleweshane kitu binadamu wa kwanza alikua nyani au Adam na hawa?
Hapa unaongelea mitazamo miwili tofauti....jitahidi usijichachanye...
Kidini binadamu wa kwanza 'kuumbwa' alikuwa Adam lakini kisayansi kiumbe wa kwanza 'kugundulika' alikuwa nyani
 
Hapa unaongelea mitazamo miwili tofauti....jitahidi usijichachanye...
Kidini binadamu wa kwanza 'kuumbwa' alikuwa Adam lakini kisayansi kiumbe wa kwanza 'kugundulika' alikuwa nyani
Sawa mkuu wew una Mtazamo upi?
 
hivi unafikiri jibu tutatoa wapi wakati wote hatukuwepo?au unataka tukwambie na ile picha maarufu ya yesu ni ya kweli hata kama kipindi chake camera hazikuwepo?
unataka kudanganywa hapa,subiri waje....

ImageUploadedByJamiiForums1471496748.988993.jpg
 
Binadamu wa kwanza walikuwa ni Adam na Hawa(Eve) na kiumbe cha kwanza kufanana na binadamu ni Nyani(wanahistoria),lakini pia binadamu ni muunganiko wa chembechembe hai(wanasayansi )...endeni mkazaliane muujaze ulimwengu waliambiwa Adam na Hawa wala si Nyani..bahati nzuri Rais wetu nae anaunga kauli mbiu ya mwenyezi Mungu kwa kusema enyi watanzania wenzangu Fyatueni watoto muijaze Tz tufike malengo ya TZ ya viwanda sababu elimu ni bure
 
La nyani huliamini na wewe mkuu....?
Evolution of man in science context portrayed that a man came from apes lakini swali ni kwamba tokea ulimwengu umeumbwa ulishaona hata siku moja nyani amebadilika japo kidogoo tu na kufanana na mwanadamu?
 
Evolution of man in science context portrayed that a man came from apes lakini swali ni kwamba tokea ulimwengu umeumbwa ulishaona hata siku moja nyani amebadilika japo kidogoo tu na kufanana na mwanadamu?
Hakuna ila Natumaini History Ulipata A kwa kuandika True.... Man come from Apes....
 
Zote ni hadithi.. Hakuna ukweli.
 
Unataka jibu la Kisayansi au Dini?
kama la kidini unataka la dini gani?, Islam, Xtian, Buddha, Taoism nk,
Au unataka kujua kupitia dini za kiasili? Zipi sasa, za Kichaga, Kisukuma, kihaya nk
Kote wana MTU wao wa kwanza?
 
Back
Top Bottom