Tueleweshane kuhusu binadamu wa kwanza

Tueleweshane kuhusu binadamu wa kwanza

amna lolote lenye ukwel ndani yake bora kila mtu aamini atakavyo
 
the name"binadam"come from"bin adam" means mtoto wa adam.Adam ndio binadam wa kwanza kuumbwa alf hawa(eva) wakammbiwa mkazaane muijaze dunia full stop
 
the name"binadam"come from"bin adam" means mtoto wa adam.Adam ndio binadam wa kwanza kuumbwa alf hawa(eva) wakammbiwa mkazaane muijaze dunia full stop
Wewe binadam ni neno la kiswahili,
Vip kuhusu human being??
Ina maan sawa na bin adam???
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini ya christian na islam kiumbe wa mwisho kabisa kuumbwa na mungu ni ADAM toka hapo hakuna kiumbe kingine kilichoumbwa hapo SASA basi nyani ni aina ya kiumbe ambacho kiliumbwa kabla ya ADAM kuwepo kwa fuvu la nyani haina maana huyo ndio atakuwa binadamu kwa kuwa analingana na binadamu kwani mpaka leo hao nyani wenye kufanana na binadamu au hilo fuvu linalokisiwa lina uhusiano na nyani
 
Back
Top Bottom