Tueleweshana siri za Namba!

Tueleweshana siri za Namba!

Maalim Jumar

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2010
Posts
1,259
Reaction score
118
Habari GT wa JF!
Mimi nimeangalia hii...
Chukua namba zinazo fuatana ziwe tatu...mfano 345, kisha uzigeuze ile ya mwisho iwe ya kwanza na kuendelea hivi 543.
Kisha utoe(subtract) jawabu utalopata itakua ni 198. Hii itakua kwa namba zozote umuhimu ziwe namba aina tatu zinazo fuatana!
Tuendelee!
 
namba tisa ina maajabu mawili

1) ukichukua tisa na kuizidisha kwa 1.....10, jibu la kuanzia namba moja mpka tano linaanza kugeuka (kuwa kinyume, kama 9x5=45,basi 9x6=54 tano na nne zimebadilishana nafasi) ukianzia sita mpaka 10, hebu angalia hapa chini
9x1=09
9x2=18
9x3=27
9x4=36
9x5=45 (kuanzaia hapa namba za jibu zinaanza ku swap kurudi juu)
9x6=54
9x7=63
9x8=72
9x9=81
9x10=90

2) ajabu la pili nikuwa kwa hesabu ya hapo juu,hizo namba za jibu ukizijumlisha jibu lake ni tisa
9x1=09, 0+9=9
9x2=18, 1+8=9
9x3=27, 2+7=9
9x4=36, 3+6=9
9x5=45, 4+5=9
9x6=54, 5+4=9
9x7=63, 6+3=9
9x8=72, 7+2=9
9x9=81, 8+1=9
9x10=90, 9+0=9
 
namba tisa ina maajabu mawili

1) ukichukua tisa na kuizidisha kwa 1.....10, jibu la kuanzia namba moja mpka tano linaanza kugeuka (kuwa kinyume, kama 9x5=45,basi 9x6=54 tano na nne zimebadilishana nafasi) ukianzia sita mpaka 10, hebu angalia hapa chini
9x1=09
9x2=18
9x3=27
9x4=36
9x5=45 (kuanzaia hapa namba za jibu zinaanza ku swap kurudi juu)
9x6=54
9x7=63
9x8=72
9x9=81
9x10=90

2) ajabu la pili nikuwa kwa hesabu ya hapo juu,hizo namba za jibu ukizijumlisha jibu lake ni tisa
9x1=09, 0+9=9
9x2=18, 1+8=9
9x3=27, 2+7=9
9x4=36, 3+6=9
9x5=45, 4+5=9
9x6=54, 5+4=9
9x7=63, 6+3=9
9x8=72, 7+2=9
9x9=81, 8+1=9
9x10=90, 9+0=9

Ajabu la tatu ni kuwa
ukizidisha namba 9 kwa 1.....10,jibu ni raisi tu unachukua ziro mpaka tisa kwenda chini,mfano
9x1=0
9x2=1
9x3=2
9x4=3
9x5=4
9x6=5
9x7=6
9x8=7
9x9=8
9x10=9
baadaya hapa unaanza na ziro kutoka chini kwenda juu
9x1=09
9x2=18
9x3=27
9x4=36
9x5=45
9x6=54
9x7=63
9x8=72
9x9=81
9x10=90
 
namba 3 ni namba ya ajabu sana. Ukiizidisha na namba yeyote hua inajirudia rudia kwenye hizi namba aina tatu (3,6,9).
Mfano:
54 zidisha 3= 162, 1+6+2=9.
 
Vilevile namba yoyote ukiizidisha kwa 11 ni sawa na kuzijumlisha namba husika na jibu ukaliweka katikati ya namba hizo, mfano:
23x11= 2+3=5, so unaichukua 5 unaiweka kati ya 2 na 3 unapata jibu 253, ni njia ya haraka ya kupata jibu badala ya kupoteza muda kwa kuanza kuzipanga na kuzijumlisha! Sijui nimeeleweka?:A S 114:
 
2*11=22 hapa unafanyaje?

same as per formula.... 2 kwa kuwa iko yenyewe ni sawa na kuandika 02 hivyo jumla ni 0+2=2, then unaweka jibu katikati na hivyo kuwa 022 ambayo kihesabu kwa kuwa hakuna tofauti ya 022 na 22 basi tunaandika 22.

Upo hapo?
 
Sawa kabisa.Lakini wewe ulicho tuambia ni observation yako kuhusu three consecutive numbers.Sasa tupe siri ya namba hizo kama kichwa cha thread yako kinavyo sema.Nikuongoze kidogo.Mara nyingi tumedhani kwamba numbers are only physical items,lakini ukweli ni kwamba they also have a spiritial significance.In fact they are more spritual than physical.For example 3,8,11,33,666,13,21,7 etc.Now why those.
 
Vilevile namba yoyote ukiizidisha kwa 11 ni sawa na kuzijumlisha namba husika na jibu ukaliweka katikati ya namba hizo, mfano:
23x11= 2+3=5, so unaichukua 5 unaiweka kati ya 2 na 3 unapata jibu 253, ni njia ya haraka ya kupata jibu badala ya kupoteza muda kwa kuanza kuzipanga na kuzijumlisha! Sijui nimeeleweka?:A S 114:

85x11 is not equal to 8135 !! Njia hiyo uliyoionesha inatumika kwa majibu yenye tarakimu tatu tu. Kwa majibu yenye tarakimu nne, unafanya km alivyoonesha zaratustra hapo juu, lkn kuna tofauti moja ndogo. Labda tufanye kwa mfano. 85x11 is not equal to 8135, kwa njia ya zaratustra, lkn jumlisha tarakimu mbili za kwanza za jibu hilo hilo, yaani , 8+1=9, na weka hilo jibu nafasi ya hizo tarakimu mbili. Kwahiyo, 85x11=935.
 
To square a two-digit number that ends in 5, you need to remember only two things.

1. The answer begins by multiplying the first digit by the next higher digit.
2. The answer ends in 25.
For example, to square the number 35, we simply multiply the first digit (3) by the next higher digit (4), then attach 25. Since 3 x 4 = 12, the answer is 1225. Therefore, 35 x 35 = 1225

 
sipo kabisaaaaa!
22*11=242.
Inakuaje?
Hiyo formula haija-aply.
LOL!

Kwa namba za mamia na maelfu unazijumlisha zenyewe kama kawaida ila namba 1 au 2 au 3, n.k. za kati kati (za awali/zinazozidishwa na 11) baada ya kuzijumlisha unazitoa (kwa lugha nyingine unaziengua/unaziondoa au huzitumii tena)
Hebu check hii na ufafanuzi huu:
1. 236x11=2596=2+3+6=25396, hapo unaiengua 3 unabakiwa na 2596
2. 1323x11=14553=1+3+2+3=14(3)5(2)53
3. 24352x11=267872=2+4+3+5+2=26(4)7(3)8(5)72

Hapo vipi umenielewa, au niendelee na mifano? Jaribu na wewe sasa!
 
Back
Top Bottom