Ngoreme
Senior Member
- Dec 6, 2010
- 129
- 1
Napenda kwuwasalimu wana JF kwa amani naleta mawazo yangu kwa uchungu wa nchi hii kwa kuona jinsi inavyoliwa na mafioso.
Kwanza nataka tupingane na hukumu za ICC dhidi ya Tanzania kwani hukumu ikitolewa haina rufaa na madhara yake ni yapi.Hivyo basi ndani ya katiba mikataba mikubwa strategic contracts zimalizwe bungeni.
Hicvyo basi tu itishe na tuhamasishe mgomo siku moja tu ili serikali ijue nini kinatakiwa.
Pili naona tumkatae waziri wa sheria na AG.kama wasomi wengi walishaongelea hili na yeye anajua kwavipi apingane na hili au kanya maji ya bendela:target:
Kwanza nataka tupingane na hukumu za ICC dhidi ya Tanzania kwani hukumu ikitolewa haina rufaa na madhara yake ni yapi.Hivyo basi ndani ya katiba mikataba mikubwa strategic contracts zimalizwe bungeni.
Hicvyo basi tu itishe na tuhamasishe mgomo siku moja tu ili serikali ijue nini kinatakiwa.
Pili naona tumkatae waziri wa sheria na AG.kama wasomi wengi walishaongelea hili na yeye anajua kwavipi apingane na hili au kanya maji ya bendela:target: