sokowelehk
Senior Member
- Sep 16, 2018
- 161
- 126
Hata huyu lisu nilikua namuheshim sana ila kwasasa simuelewi kabisa. Anaweza akawa ameanza haka katabia kachafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huyu lisu nilikua namuheshim sana ila kwasasa simuelewi kabisa. Anaweza akawa ameanza haka katabia kachafu
Umeandika kama kwamba huyo shoga yuko peke yake hapo kwenye hiyo jumuiya. Hapana, ni kweli wapo wachache sana lakini hao hao ndio watakao tuletea huo upotofu ukubalike. Ndio maana, wanajiingiza kwa siri humu kuleta mawazo yao potofu.Mtu akiwa shoga kwa ridhaa yake mwenyewe ,ww unapatwa na hasara gani ?,hakutegemei kiuchumi nk,kila mtu anakaburi lake atajibu kwa Mola wake mwenyewe,sioni haja ya kuwatolea macho wakiwa ni watu wazima tatzo kwa watoto kufundishwa tabia hizo ndo hatari ilipo ila mambo haya huanza baada ya balehe au kuvunja ungo kama sikosei na sizan kama mtu anaweza kuanza kabla ya kupevuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushoga unasemwa toka enzi za agano la kale lakini ulimwengu wa sasa unahalalishwa tena kwa nguvu. Hivi miaka ya 80s kurudi nyuma mtu kuhusishwa na ushoga ilikuwa aibu isiyo ya kawaida na kama vilifanyika ilikuwa kwa kificho mno. Hii kuendekeza kujitangaza hadharani na kutetea haki zao inageuza hata watu wasio na tatizo hilo ki biolojia kuingia huko kwa mkumbo au tabia na kuiga.Hahaha ushoga katiba inaushughulikiaje?! Mnapoongea hivi utadhani mashoga nao tunaletewa kutoka ulaya na amerika. Ushoga ni tabia kama ucha mungu, au ulevi. Hakuna sheria juu ya hili na haijawahi kuwepo,
Hakuna mtu anasema mwanangu sasa kawe shoga au lesbian, ni vitu watu hujifunza kwa utashi wao. Hata jamii hairuhusu lakini wapo, sasa katiba itawaua au itawafanya nini?!
Hawa watu wapo dunia nzima, kabla na baada ya Yesu. Hivi nani hasa anawatengeneza watu hawa, ni bebwru au sisi wenyewe?! Mnavyooongea utadhani ni bidhaa tumeletewa kwa hisani ya watu wa marekani hahaha.
Ushoga sio na halijawahi kuwa tatizo la kibioligia, huu ni utashi na naweza kusema nikama ulevi wowote uujuao, wanaoufanya ni kwasababu wameamua na sio kwamba eti ni ulemavu wa akili au kuna genes za ushoga mtu anazaliwa nazo, HAPANA.Ushoga unasemwa toka enzi za agano la kale lakini ulimwengu wa sasa unahalalishwa tena kwa nguvu. Hivi miaka ya 80s kurudi nyuma mtu kuhusishwa na ushoga ilikuwa aibu isiyo ya kawaida na kama vilifanyika ilikuwa kwa kificho mno. Hii kuendekeza kujitangaza hadharani na kutetea haki zao inageuza hata watu wasio na tatizo hilo ki biolojia kuingia huko kwa mkumbo au tabia na kuiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha binadamu tunamatatizo sana. Yani mkibanwa mnarusha matusi. Kilasiku nawaambia msiwe na msifuate tabia za mama zenu kwakuwa tu baba zenu hatukujitokeza kuwa claim.
Hahaha mi sina natafuta kazi bado best.mnnnh kazi mnayo...
Hujanieleaa na sishangai nimeangalia kumbe wa juzi utachukua.muda kuelewa mada za huku nakushauri usome kwanza wenzako ndo uje ufanye majadiliano .nilimaanisha kati ya hayo matatizo lipi tuanze nalo kulitatua.... ukitatua ushoga kw kuweka ndani mashogo hujafanya lolote alijaribu makonda , ukisema tuweke sheria kwanza zipo watu wanafanya mambo yao vyumbani umeingilia faragha zao katiba inakataza.. ukianza kutatua huduma za jamii kama elinu huko ndo unaweza kuwFu disha na wakaelewa madhara ya ushoga na jamii yetu...... umelewa sassKwako unaona bora uwe shoga? Au hadi sasa wewe ni shoga na ndio maana unaona kitu cha kawaida?
Sent using Jamii Forums mobile app
Biyo avata yako ya mende ina mahusiano na jinsia yakoKwako unaona bora uwe shoga? Au hadi sasa wewe ni shoga na ndio maana unaona kitu cha kawaida?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu,
Sheria zetu zipo wazi kabisa kwenye swala la ushoga. Ushoga Tanzania ni marufuku kisheria lakini pia kwa utamaduni wetu haikubaliki.
Tunahitaji kigugumizi kwenye hili? Tunahitaji kuzunguka kwenye hili? Kama wapo wanaofikiri hili swala linakiuka haki za binadamu ( haki kwa standards za kizungu tunahitaji kuwa na zetu), basi wangepambana na hizi sheria tuone wako serious.
Ni unafiki kujifanya una dini huku unakubaliana na mambo ambayo ni kinyume cha dini karibia zote. Wenzetu ushoga umepenyezwa hadi kwenye dini na kugeuzwa kawaida alafu na sisi tunataka kupiga siasa badala ya kuwa bold kwenye hili.
Kwanza hili liwe swala la kikatiba kuonesha tunasimamia nini, ili tuache kupiga siasa kwenye vitu ambavyo hakuna anayetamani kizazi chake kidumbukie huko.
Sikilizeni jibu la kiume kutoka kwa Rais Museven ili siku nyingine tukiulizwa swali juu ya ushoga tuwe bold enough na si blah blah.
View attachment 1006840
Sent using Jamii Forums mobile app
We dogo mbona unaonekana una tabia zote za hao watu. Tukikaza si utaumumia, acha ushabiki wa kiitikadiWakuu,
Sheria zetu zipo wazi kabisa kwenye swala la ushoga. Ushoga Tanzania ni marufuku kisheria lakini pia kwa utamaduni wetu haikubaliki.
Tunahitaji kigugumizi kwenye hili? Tunahitaji kuzunguka kwenye hili? Kama wapo wanaofikiri hili swala linakiuka haki za binadamu ( haki kwa standards za kizungu tunahitaji kuwa na zetu), basi wangepambana na hizi sheria tuone wako serious.
Ni unafiki kujifanya una dini huku unakubaliana na mambo ambayo ni kinyume cha dini karibia zote. Wenzetu ushoga umepenyezwa hadi kwenye dini na kugeuzwa kawaida alafu na sisi tunataka kupiga siasa badala ya kuwa bold kwenye hili.
Kwanza hili liwe swala la kikatiba kuonesha tunasimamia nini, ili tuache kupiga siasa kwenye vitu ambavyo hakuna anayetamani kizazi chake kidumbukie huko.
Sikilizeni jibu la kiume kutoka kwa Rais Museven ili siku nyingine tukiulizwa swali juu ya ushoga tuwe bold enough na si blah blah.
View attachment 1006840
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ikiwaka vitakuja tena coz Mungu kaviweka....kumbuka sodoma na gomora, wakati wa nuhu kote dunia iliteketezawa sababu ya maovu ila yamerudi tenaHahaha sasa wizi tunapoupinga/tunaoupinga umeisha?! Kuna vitu vipo na vitakuwepo tu labda dunia hii iwake moto.
Mkuu unapolinganisha suala la wizi na ushoga unakuwa hauko sawa. Wizi unadhuru, unadhurumu haki ya mwingine bila hatia. Lakini ushoga haugusi maisha mtu mwingine kabisa bali unakuwa ni privacy ya mtu na mtu.kwani uwizi SI ni tabia Kama nyingine..ila kwanini tunaupinga kwa nguvu zote kwa sababu Ni mbaya.jamii haitaki..na hata ushoga jamii haitaki kwa hiyo lazima tuupinge kwa maneno na vitendo na sio kuficha ficha
Hapo mkuu tunatafuta justification za kumtetea Lissu. Kama ni kosa ni kosa litendwe na CCM au yeyote ni kosa. Kwa kifupi tulitegemea Lissu aseme kiume kupinga ushoga ili kuwafunda CCM namna ya kusimamia mambo ya msingi bila kigugumizi...ungeanza na WAZIRI DR.MAHIGA aliyesema kamata-kamata ya MH.MAKONDA haina baraka za SEREKALI.
..Pia kuna suala la RAISI kumuachia BABU SEYA na kumkaribisha IKULU na kupiga naye picha zilizosambaa dunia nzima.
..Matukio hayo mawili naamini yatakufungua macho kwamba hakuna mwenye nia ya kweli ya kushughulika na tatizo hili.
..Suala la ushoga limejaa siasa na viongozi wanaangalia upepo ktk jamii unavuma kuelekea wapi, na wao wanaelekea hukohuko.
..Wakati jamii ilipokuwa na huruma kwa shoga na mfi.raji watoto Babu Seya na Papii, serekali na CCM ikawakumbatia na kuwapa support.
..Sasa hivi jamii imeamka na kukataa ushoga, serekali na CCM wamegeuka na kumtupia lawama hasimu wao, Tundu Lissu.
Cc tindo
Basi tusubiri iwake tuondoke vije vizazi vingine.Na ikiwaka vitakuja tena coz Mungu kaviweka....kumbuka sodoma na gomora, wakati wa nuhu kote dunia iliteketezawa sababu ya maovu ila yamerudi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kuunga mkono ushoga ni kufanyaje?! Yani nawe unakua shoga au unawakubali mashoga kwamba wana exist?! Na unapokua huungi mkono unakuaje kwamba unakataa existance yao au ukikataa wanatoweka?!Hapo mkuu tunatafuta justification za kumtetea Lissu. Kama ni kosa ni kosa litendwe na CCM au yeyote ni kosa. Kwa kifupi tulitegemea Lissu aseme kiume kupinga ushoga ili kuwafunda CCM namna ya kusimamia mambo ya msingi bila kigugumizi.
Kwa mfano wewe JokaKuu unaunga mkono mambo ya ushoga? Hapa linatakiwa jibu very direct na si kuzunguka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ni kwa nini Waziri Mahiga alitengua maagizo ya RC Dar kuhusu hilo suala?Wakuu,
Sheria zetu zipo wazi kabisa kwenye swala la ushoga. Ushoga Tanzania ni marufuku kisheria lakini pia kwa utamaduni wetu haikubaliki.
Tunahitaji kigugumizi kwenye hili? Tunahitaji kuzunguka kwenye hili? Kama wapo wanaofikiri hili swala linakiuka haki za binadamu ( haki kwa standards za kizungu tunahitaji kuwa na zetu), basi wangepambana na hizi sheria tuone wako serious.
Ni unafiki kujifanya una dini huku unakubaliana na mambo ambayo ni kinyume cha dini karibia zote. Wenzetu ushoga umepenyezwa hadi kwenye dini na kugeuzwa kawaida alafu na sisi tunataka kupiga siasa badala ya kuwa bold kwenye hili.
Kwanza hili liwe swala la kikatiba kuonesha tunasimamia nini, ili tuache kupiga siasa kwenye vitu ambavyo hakuna anayetamani kizazi chake kidumbukie huko.
Sikilizeni jibu la kiume kutoka kwa Rais Museven ili siku nyingine tukiulizwa swali juu ya ushoga tuwe bold enough na si blah blah.
View attachment 1006840
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kwamba member wa JF kama wewe hujui kwamba TZ tuna sheria inayokutia hatiani kwa ushoga?. Kama ulikuwa unafanya ushoga kwa kutojua kwamba sheria hiyo ipo, jifiche. Siku ukijizagalisha, utatiwa kibano.
Hapo mkuu tunatafuta justification za kumtetea Lissu. Kama ni kosa ni kosa litendwe na CCM au yeyote ni kosa. Kwa kifupi tulitegemea Lissu aseme kiume kupinga ushoga ili kuwafunda CCM namna ya kusimamia mambo ya msingi bila kigugumizi.
Kwa mfano wewe JokaKuu unaunga mkono mambo ya ushoga? Hapa linatakiwa jibu very direct na si kuzunguka.
Sent using Jamii Forums mobile app