Tuchore mstari kwenye suala la ushoga

Tuchore mstari kwenye suala la ushoga

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,990
Reaction score
34,838
Wakuu,

Sheria zetu zipo wazi kabisa kwenye swala la ushoga. Ushoga Tanzania ni marufuku kisheria lakini pia kwa utamaduni wetu haikubaliki.

Tunahitaji kigugumizi kwenye hili? Tunahitaji kuzunguka kwenye hili? Kama wapo wanaofikiri hili swala linakiuka haki za binadamu ( haki kwa standards za kizungu tunahitaji kuwa na zetu), basi wangepambana na hizi sheria tuone wako serious.

Ni unafiki kujifanya una dini huku unakubaliana na mambo ambayo ni kinyume cha dini karibia zote. Wenzetu ushoga umepenyezwa hadi kwenye dini na kugeuzwa kawaida alafu na sisi tunataka kupiga siasa badala ya kuwa bold kwenye hili.

Kwanza hili liwe swala la kikatiba kuonesha tunasimamia nini, ili tuache kupiga siasa kwenye vitu ambavyo hakuna anayetamani kizazi chake kidumbukie huko.

Sikilizeni jibu la kiume kutoka kwa Rais Museven ili siku nyingine tukiulizwa swali juu ya ushoga tuwe bold enough na si blah blah.



View attachment magoiga_sn_video_1548665592092.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni kweli kwamba sheria zetu haziruhusu au tunatumia matamko ya kisiasa na wana siasa!? Baada ya mkwara wa jumuia ya kimataifa kuhusu sisi kuingilia "haki za binadamu" unakumbuka waziri wetu mmoja alisemaje!? Kwamba ule ni msimamo binafsi wa Makonda, nadhani tungetunga sheria, kwasasa sidhani kama tunayo! Wajinga wachache wanataka kumgeuzia kibao Lissu wakati maneno ya Mahiga yapo na yana ISHI!
 
Hahaha ushoga katiba inaushughulikiaje?!
Mnapoongea hivi utadhani mashoga nao tunaletewa kutoka ulaya na amerika. Ushoga ni tabia kama ucha mungu, au ulevi. Hakuna sheria juu ya hili na haijawahi kuwepo,
Hakuna mtu anasema mwanangu sasa kawe shoga au lesbian, ni vitu watu hujifunza kwa utashi wao.
Hata jamii hairuhusu lakini wapo, sasa katiba itawaua au itawafanya nini?!
Hawa watu wapo dunia nzima, kabla na baada ya Yesu. Hivi nani hasa anawatengeneza watu hawa, ni beberu au sisi wenyewe?!
Mnavyooongea utadhani ni bidhaa tumeletewa kwa hisani ya watu wa marekani hahaha.
 
Hahaha ushoga katiba inaushughulikiaje?! Mnapoongea hivi utadhani mashoga nao tunaletewa kutoka ulaya na amerika. Ushoga ni tabia kama ucha mungu, au ulevi. Hakuna sheria juu ya hili na haijawahi kuwepo,
Hakuna mtu anasema mwanangu sasa kawe shoga au lesbian, ni vitu watu hujifunza kwa utashi wao. Hata jamii hairuhusu lakini wapo, sasa katiba itawaua au itawafanya nini?!
Hawa watu wapo dunia nzima, kabla na baada ya Yesu. Hivi nani hasa anawatengeneza watu hawa, ni bebwru au sisi wenyewe?! Mnavyooongea utadhani ni bidhaa tumeletewa kwa hisani ya watu wa marekani hahaha.
kwani uwizi SI ni tabia Kama nyingine..ila kwanini tunaupinga kwa nguvu zote kwa sababu Ni mbaya.jamii haitaki..na hata ushoga jamii haitaki kwa hiyo lazima tuupinge kwa maneno na vitendo na sio kuficha ficha
 
Mkuu haya ni Matusi, unamaanisha Mheshimiwa MAHIGA pamoja na JPM kwa kumaanisha serikali ilitoa jibu la kike kwa kusema kauli ya MAKONDA ni msimamo wake na sio wa serikali???

pia unamaanisha Lisu kusema kuwa kwa mujibu wa katiba haipaswi kuingilia faragha za watu au wananchi wao wakiwa chumbani kajibu kikike??

Hatuwezi halalisha ushoga, lazima tuupinge kwa nguvu zetu zote.
 
kwani uwizi SI ni tabia Kama nyingine..ila kwanini tunaupinga kwa nguvu zote kwa sababu Ni mbaya.jamii haitaki..na hata ushoga jamii haitaki kwa hiyo lazima tuupinge kwa maneno na vitendo na sio kuficha ficha
Hahaha sasa wizi tunapoupinga/tunaoupinga umeisha?! Kuna vitu vipo na vitakuwepo tu labda dunia hii iwake moto.
 
Wakuu,

Sheria zetu zipo wazi kabisa kwenye swala la ushoga. Ushoga Tanzania ni marufuku kisheria lakini pia kwa utamaduni wetu haikubaliki.

Tunahitaji kigugumizi kwenye hili? Tunahitaji kuzunguka kwenye hili? Kama wapo wanaofikiri hili swala linakiuka haki za binadamu ( haki kwa standards za kizungu tunahitaji kuwa na zetu), basi wangepambana na hizi sheria tuone wako serious.

Ni unafiki kujifanya una dini huku unakubaliana na mambo ambayo ni kinyume cha dini karibia zote. Wenzetu ushoga umepenyezwa hadi kwenye dini na kugeuzwa kawaida alafu na sisi tunataka kupiga siasa badala ya kuwa bold kwenye hili.

Kwanza hili liwe swala la kikatiba kuonesha tunasimamia nini, ili tuache kupiga siasa kwenye vitu ambavyo hakuna anayetamani kizazi chake kidumbukie huko.

Sikilizeni jibu la kiume kutoka kwa Rais Museven ili siku nyingine tukiulizwa swali juu ya ushoga tuwe bold enough na si blah blah.



View attachment 1006840

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeap! Nadhani ulitaka kumtaja Lissu jinsi alivyozungusha maneno juu ya jambo hilo: Kama Lissu ni shoga, ana haki hiyo. Lakini, kama siyo shoga na hayo ndo majibu aliyozunguka nayo BBC basi ni mwanasiasa mbovu, mwenye lengo la kutafuta kuungwa mkono kwa gharama mbovu. Sijui kwa nini alishindwa kusema YES au NO! Badala yake kakimbilia katiba na mambo ya privacy huku akijua kwamba kwa kisingizio kama hicho, hata anayelawiti mtoto mdogo naye ni privacy yake.

Nimekuwa na msimamo mmoja tu juu ya watu hawa wa aina ya Lissu. Tusipoteze muda kusilikiza mwanasheria ktk siasa. Tunataka maendeleo na duniani kote, maendeleo yametokana na sayansi na siyo sheria.

Msikilize Uhuru Kenyatta

 
Hivi tunavyoandika haya kuna watu tayari wamejisetiri wakizibuana mifereji na wengine wako foleni Wanasubiri zamu zao so Let sleeping dogs lie!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani uwizi SI ni tabia Kama nyingine..ila kwanini tunaupinga kwa nguvu zote kwa sababu Ni mbaya.jamii haitaki..na hata ushoga jamii haitaki kwa hiyo lazima tuupinge kwa maneno na vitendo na sio kuficha ficha
Mtu akiwa shoga kwa ridhaa yake mwenyewe ,ww unapatwa na hasara gani ?,hakutegemei kiuchumi nk,kila mtu anakaburi lake atajibu kwa Mola wake mwenyewe,sioni haja ya kuwatolea macho wakiwa ni watu wazima tatzo kwa watoto kufundishwa tabia hizo ndo hatari ilipo ila mambo haya huanza baada ya balehe au kuvunja ungo kama sikosei na sizan kama mtu anaweza kuanza kabla ya kupevuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Sheria zetu zipo wazi kabisa kwenye swala la ushoga. Ushoga Tanzania ni marufuku kisheria lakini pia kwa utamaduni wetu haikubaliki.

Tunahitaji kigugumizi kwenye hili? Tunahitaji kuzunguka kwenye hili? Kama wapo wanaofikiri hili swala linakiuka haki za binadamu ( haki kwa standards za kizungu tunahitaji kuwa na zetu), basi wangepambana na hizi sheria tuone wako serious.

Ni unafiki kujifanya una dini huku unakubaliana na mambo ambayo ni kinyume cha dini karibia zote. Wenzetu ushoga umepenyezwa hadi kwenye dini na kugeuzwa kawaida alafu na sisi tunataka kupiga siasa badala ya kuwa bold kwenye hili.

Kwanza hili liwe swala la kikatiba kuonesha tunasimamia nini, ili tuache kupiga siasa kwenye vitu ambavyo hakuna anayetamani kizazi chake kidumbukie huko.

Sikilizeni jibu la kiume kutoka kwa Rais Museven ili siku nyingine tukiulizwa swali juu ya ushoga tuwe bold enough na si blah blah.



View attachment 1006840

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ushauli mpelekee aliyewaachia huru wakosaji wa kulawiti watoto wadogo. Hivi mnajua ushoga unaanzaje? Suluhisho zuri ni kupambana na chanzo na kutoa elimu kwa wahusika, siyo kamata kamata na kutoa matamko tu.
 
Wakuu,

Sheria zetu zipo wazi kabisa kwenye swala la ushoga. Ushoga Tanzania ni marufuku kisheria lakini pia kwa utamaduni wetu haikubaliki.

Tunahitaji kigugumizi kwenye hili? Tunahitaji kuzunguka kwenye hili? Kama wapo wanaofikiri hili swala linakiuka haki za binadamu ( haki kwa standards za kizungu tunahitaji kuwa na zetu), basi wangepambana na hizi sheria tuone wako serious.

Ni unafiki kujifanya una dini huku unakubaliana na mambo ambayo ni kinyume cha dini karibia zote. Wenzetu ushoga umepenyezwa hadi kwenye dini na kugeuzwa kawaida alafu na sisi tunataka kupiga siasa badala ya kuwa bold kwenye hili.

Kwanza hili liwe swala la kikatiba kuonesha tunasimamia nini, ili tuache kupiga siasa kwenye vitu ambavyo hakuna anayetamani kizazi chake kidumbukie huko.

Sikilizeni jibu la kiume kutoka kwa Rais Museven ili siku nyingine tukiulizwa swali juu ya ushoga tuwe bold enough na si blah blah.



View attachment 1006840

Sent using Jamii Forums mobile app
Priorities: youth unemployment 40%
Ushoga 0.05% almost negligible
Kwa nini mnakuza sana?
 
Huu ushauli mpelekee aliyewaachia huru wakosaji wa kulawiti watoto wadogo. Hivi mnajua ushoga unaanzaje? Suluhisho zuri ni kupambana na chanzo na kutoa elimu kwa wahusika, siyo kamata kamata na kutoa matamko tu.
Umesahau mgombea Urais wa Chadema 2015 aliahidi kumtoa jela pia. Tuvuke mipaka ya siasa. Nini tunataka kwenye issue ya ushoga? Tuache kuzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom