Tuchome nyama pori

Tuchome nyama pori

Unanijaza tu mate hapa! Kwahiyo nikawinde mnyama yupi nitoe kitu kama hiki😛
Kwanza utaanda viungo vyako tangawizi kitunguu saumu na pilipili uta visaga kisha uta paka kwenye nyama na uhakikishe imekolea

Kisha utaweka nyama kwenye waya hakikisha ume ipaka mafuta kidogo
View attachment 3511244
Utakuwa una geuza na nyama yako ukitaka iwe mzuri basi ichome kwenye moto mkali sana
View attachment 3511245
Uku una icharanga charanga na kisu ili iive mpaka ndani limau iwe ya kutosha
View attachment 3511246
Kama una vyo ona hapa nyama teyari nakula na ugali swafii kabisa kisha nashushia na wine
View attachment 3511253
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom