Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,457
- 65,765
Kwanza utaanda viungo vyako tangawizi kitunguu saumu na pilipili uta visaga kisha uta paka kwenye nyama na uhakikishe imekolea
Kisha utaweka nyama kwenye waya hakikisha ume ipaka mafuta kidogo
Utakuwa una geuza na nyama yako ukitaka iwe mzuri basi ichome kwenye moto mkali sana
Uku una icharanga charanga na kisu ili iive mpaka ndani limau iwe ya kutosha
Kama una vyo ona hapa nyama teyari nakula na ugali swafii kabisa kisha nashushia na wine
Kisha utaweka nyama kwenye waya hakikisha ume ipaka mafuta kidogo
Utakuwa una geuza na nyama yako ukitaka iwe mzuri basi ichome kwenye moto mkali sana
Uku una icharanga charanga na kisu ili iive mpaka ndani limau iwe ya kutosha
Kama una vyo ona hapa nyama teyari nakula na ugali swafii kabisa kisha nashushia na wine