Tuchome nyama pori

Tuchome nyama pori

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,457
Reaction score
65,765
Kwanza utaanda viungo vyako tangawizi kitunguu saumu na pilipili uta visaga kisha uta paka kwenye nyama na uhakikishe imekolea

Kisha utaweka nyama kwenye waya hakikisha ume ipaka mafuta kidogo
1764851004537.jpeg

Utakuwa una geuza na nyama yako ukitaka iwe mzuri basi ichome kwenye moto mkali sana
1764851087222.jpeg

Uku una icharanga charanga na kisu ili iive mpaka ndani limau iwe ya kutosha
1764851177169.jpeg

Kama una vyo ona hapa nyama teyari nakula na ugali swafii kabisa kisha nashushia na wine
1764851671868.jpeg
 
Dah..... napenda sana nyama pori ... sana sana swala ,dofu na digidigi... ukikuta mchomaji mzuri unakula balaa !

Hio Nyama kwa haraka haraka ni kama 3kgs, unamaliza yote ama mpo team 😊 😃

Hapo kwenye 🍷 umepatia sana, inasaidia mmeng'enyo
 
Dah..... napenda sana nyama pori ... sana sana swala ,dofu na digidigi... ukikuta mchomaji mzuri unakula balaa !

Hio Nyama kwa haraka haraka ni kama 3kgs, unamaliza yote ama mpo team 😊 😃

Hapo kwenye 🍷 umepatia sana, inasaidia mmeng'enyo
Ni zaidi ya 3kg sema nimeita watu kidogo tushare

Wine mzuri ila isiwe na kilevi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom