abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Wataalamu wa wizi wa kura kutoka Tanganyika ambao ni Harbat Kiato na Aneth Angelo wamewasili Zanzibar na kupokewa na mwenyeji wao Mbunge wa jimbo la Kikwajunu Hamad Yussuf Massauni. Wataalamu hawa wanatarajiwa kwenda kukutanishwa na Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi Taifa Salim Kassim Masego, Makamo Mwenyekiti Saidi Bakari Jecha pamoja na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Bububu Bwana Suluhu.
Tunawaambia wazanzibari wote waeneze na wazifanyie kazi taarifa hizi, hili si jukumu la mtu mmoja kulinda uchaguzi wa Bububu na amani na utulivu uliop. Mpigie Salim Kassin 0777471800, Saidi Bakari Jecha 0713234243 na Suluhu 0777470024 ili wapewe taarifa kwamba wanachotaka kukifanya wazanzibari washakielewa hivyo ni wajibu wao kunusuru hali ya amani ya utulivu ili kulinda umoja na maelewano yaliopo ndani ya serikali ya umoja wa kitaifa.
Tunawaambia wazanzibari wote waeneze na wazifanyie kazi taarifa hizi, hili si jukumu la mtu mmoja kulinda uchaguzi wa Bububu na amani na utulivu uliop. Mpigie Salim Kassin 0777471800, Saidi Bakari Jecha 0713234243 na Suluhu 0777470024 ili wapewe taarifa kwamba wanachotaka kukifanya wazanzibari washakielewa hivyo ni wajibu wao kunusuru hali ya amani ya utulivu ili kulinda umoja na maelewano yaliopo ndani ya serikali ya umoja wa kitaifa.