Tuanze kupata background ya Mulongo

Tuanze kupata background ya Mulongo

alisababisha mama msemwa aliyekuwa DED BAGAMOYO kufikishwa mahakamani, kwa wasiomjua MULONGO MAGESA kabla yakuwa DC BAGAMOYO alikuwa anafanya kazi TISS

Kwani ameacha TISS? Kazi ya milele!!! Unless umetoka kwa sababu nzito sana au umepewa madaraka na ukaomba usiwe unapeleka ripoti kwa mujibu wa kazi ila kwa interest tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwisho wake huyu Mulongo utafuata the common course kama wengine asifikiri Madaraka ni kutumia nguvu
 
....TZ hii tuna viongozi wa ajabu sana.....huyu Mulongo ukitazama background ya anakotoka (Musoma)utagundua kuwa nchi hii viongozi wenye kutuletea matatizo wengi wao(kama si wote)wanatoka maeneo yaliyo nyuma sana sana kimaendeleo....na hili ni tatizo nchi hii....na watawala kama ukifatilia wanapenda kuwateua viongozi toka maeneo haya yaliyo nyuma kimaendeleo.....maana wanajua bado wamelala....na ni rahisi kuwa manipulate....maana wao wanachukulia dhamana waliyopewa kama fadhila...na lazima wailipe kwa watawala....Ukiangaliahawa woote utaona ukweli wa hili....Angalia wale kina Lusinde bungeni....kina Wasira....kina Mchemba...au yule wa Tabora...Said Mkumba....au kina Nkamia...woote feki feki hawa....au hata Pinda mwenyewe....kina Lukuvi.....au hata yule Mulugo (mwizi wa vyeti)woote utaona wanatoka maeneo feki feki nchini.....Hakuna kiongozi(au mbunge) anayetoka sehemu zenye maendeleo utamsikia anapiga makele na kupotea muda na wapinzani hovyo Viongozi wa maana siku zote wanapoteza muda wao kuwatumikia watu wao.......Hawa wajinga wajinga kina Mulongo wao wanachojua ni kutumikia matakwa tata ya watawala...ili siku moja nao wapewe offer ya promotion.........Angalia hata viongozi/wabunge wooote wanaotoka maeneo feki TZ...wooote nao ni feki.....Sehemu zote zenye maendeleo nchi hii....na viongozi wao ni pao.....na hawana muda mchafu wa kuhangaika na siasa za takataka......fuatilia utaona ukweli huu.....
 
Wengi tunaomfahamu tulishangaa kupata hivyo vyeo, kwa kuwa kimaadili yuko bancrupt kwa kweli. Sijui kama ameshaacha kilaji? sijui kama yule mhaya anayekaa naye ameacha kumpangia cha kufanya, huwa hana usemi kabisa, wanaomfahamu ticha aliyekuwa msuluhishi wa kesi zake zisizokwisha itabidi tumtafute amshauri. Na wasiwasi mhaya ndiye anamwelekeza cha kufanya.
 
Wengi tunaomfahamu tulishangaa kupata hivyo vyeo, kwa kuwa kimaadili yuko bancrupt kwa kweli. Sijui kama ameshaacha kilaji? sijui kama yule mhaya anayekaa naye ameacha kumpangia cha kufanya, huwa hana usemi kabisa, wanaomfahamu ticha aliyekuwa msuluhishi wa kesi zake zisizokwisha itabidi tumtafute amshauri. Na wasiwasi mhaya ndiye anamwelekeza cha kufanya.
Rare YULE MKE WAKE SIYO MHAYA NI Mnyambo wa Karagwe maeneo ya Kishao karibu na Omurushaka.
 
Last edited by a moderator:
Rare YULE MKE WAKE SIYO MHAYA NI Mnyambo wa Karagwe maeneo ya Kishao karibu na Omurushaka.
Kanga Aksante. Si unajua wata ni zangu wote wale. Ila kwa kweli sikubaliana sana na Magessa kwa yale anayofanya. Anajua kuwa hali ya kanda ya ziwa anakotoka licha ya utajiri raslimali umaskini umezidi kupaa. Watu kama Lema na wengine, waache tu wawaamshe hawa watu ili wasijiamini kwa kupitiliza kana kwamba nchi hii ni yao na famila zao milele. Huwa sipendi kuongelea maisha ya mtu na familia yake lakini huyu kaniudhi sana na nimemchukia sana na sitamsamehe. Ajifunze kwa Obama alipozomewa na wanafunzi alifanya kitu gani? ajifunze Nyerere alipokwenda kuongea na wanafunzi wa Chuo cha Sokoine miaka hiyo alifanya nini? Nadhani wanahitaji kujua kwa mapana na marefu mambo kutatua migogoro, badala ya kuchochea na kutanua migogoro na kuoneshana umwamba.
 
Rare YULE MKE WAKE SIYO MHAYA NI Mnyambo wa Karagwe maeneo ya Kishao karibu na Omurushaka.

Kumbe huyu jamaa ni shemeji yangu pamoja na upuuzi huu, daa huyo dada yangu naye atakuwa kichwa kibovu maana angemshauri vizuri mmewe angalau awe na busara japo kidogo
 
Back
Top Bottom