Tuanze kupata background ya Mulongo

Tuanze kupata background ya Mulongo

Ngoja tutamfanyia Local Science akome........naijua mwenyewe but kwa kuanzia nawezamfanyia ya kustopisha "Biology" yake isifanyekazi........halafu akiendeleza jeuri tunamwekea tego
 
Ngoja tutamfanyia Local Science akome........naijua mwenyewe but kwa kuanzia nawezamfanyia ya kustopisha "Biology" yake isifanyekazi........halafu akiendeleza jeuri tunamwekea tego

Mhh Elli kweli kabisa?
 
Last edited by a moderator:
Huu ni umbulula ss hapa mtoa mada ulitaka kuonyesha ujinga wenu wa Arusha! Kila la heri mkuu wa mkoa ujinga waousikuzuie kufanya kazi zako.
 
Ni mng'oa meno, kucha(TISS) bila ganzi ndiyo k2 kinampa kiburi. Zamani wang'oa meno, kucha walikuwa hawajulikani wala hawataki/hawatakiwi kujulikana lkn siku hizi wang'o meno, kucha kama hili Mulongo a.k.a Mbulula linaweka spika lijulikane ni mng'oa meno na kucha
 
Hii inashangaza. Kwani alipoteuliwa hakupewa 'Job description?' Na kama hakuielewa si aulize waliomtangulia? Kumbukeni alikuwa DC Bagamayo kabla hajateuliwa kwenda Arusha. Labda watu wa Bagamoyo wanaweza kuelezea japo kwa ufupi utendaji kazi wake.


Huku bagamoyo alikuwa na bifu kubwa na mmoja wa viongozi wakuu wa wilaya (mkurugenzi wa wilaya) na waliwahi kuchuniana kwa zaidi ya miezi sita hawaongei hadi alipokwenda mzee wa tamisemi...........niambie kazi zilikuwa zinaendaje hapo?
 
Huku bagamoyo alikuwa na bifu kubwa na mmoja wa viongozi wakuu wa wilaya (mkurugenzi wa wilaya) na waliwahi kuchuniana kwa zaidi ya miezi sita hawaongei hadi alipokwenda mzee wa tamisemi...........niambie kazi zilikuwa zinaendaje hapo?

Nimegundua an tabia za Ki.ke kwani ni mtu wa Visasi Visasi tu,,,Hafai hata kuwa Baba wa Familia.
 
CV sio maana ya kusoma shule tu,maana yake una experience gani kikazi,kibiashara etc.
Experience ktk biashara! Unamaanisha mbowe anaongoza chadema kwa experience ya biashara zake? Are you kidding me
 
.... ni mhuni tu huyu.... hana background.... or CV.... hakuwa na past even his future is in total mess .....
 
Kamgogoro ka chuo kanamshinda? anastahili huo ukuu wa mkoa, labda mimi ni mjinga sana.
 
Bw. Mulongo ana shahada ya Biashara na Utawala ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kabla ya uteuzi huu alikuwa Meneja wa Kituo cha Biashara cha Mkoa wa Rukwa cha kampuni ya simu ya TTCL.

Aliwahi pia kuwa Mwalimu kwa muda katika Shule ya Sekondari ya Kibara na kufanya kazi kampuni ya simu ya Mobitel na kampuni ya vifaa vya ofisi ya Business Machine Ltd.
 
Back
Top Bottom