Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Ngoja tutamfanyia Local Science akome........naijua mwenyewe but kwa kuanzia nawezamfanyia ya kustopisha "Biology" yake isifanyekazi........halafu akiendeleza jeuri tunamwekea tego
alianzia u dc bukombe. kabla ya hapo alikuwa meneja ttcl rukwa.
Hii inashangaza. Kwani alipoteuliwa hakupewa 'Job description?' Na kama hakuielewa si aulize waliomtangulia? Kumbukeni alikuwa DC Bagamayo kabla hajateuliwa kwenda Arusha. Labda watu wa Bagamoyo wanaweza kuelezea japo kwa ufupi utendaji kazi wake.
Huku bagamoyo alikuwa na bifu kubwa na mmoja wa viongozi wakuu wa wilaya (mkurugenzi wa wilaya) na waliwahi kuchuniana kwa zaidi ya miezi sita hawaongei hadi alipokwenda mzee wa tamisemi...........niambie kazi zilikuwa zinaendaje hapo?
Ni kada mzuri na mwanamtandao ndani ya chama chetu!!
Tupeni CV yake jamani
Wewe tuwekee cv ya mbowe
Wewe tuwekee cv ya mbowe
Experience ktk biashara! Unamaanisha mbowe anaongoza chadema kwa experience ya biashara zake? Are you kidding meCV sio maana ya kusoma shule tu,maana yake una experience gani kikazi,kibiashara etc.
Kwanini msiende ktk website ya tamisemi ukiangalia cv ya huyo RCNenda kwenye website ya bunge!
ana elimu gani huyu?
ameshawahi kufanya kazi zipi zaidi ya kuwa RC?
Wewe tuwekee cv ya mbowe