boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,108
- 1,400
Habarini wakuu
SON OF AFRICA COMPANY LTD
Sisi ni vijana wa kitanzania ambao tunafanya shughuli mbalimbali ila leo ninaleta hii nyingine ambayo tunaianzisha ni nyumba kwa nyumba/ofisi kwa ofisi/kijiwe kwa kijiwe
Kutokana na shughuli tofauti tofauti ambazo watu wanazifanya na wengine wanashindwa kufanya manunuzi yao binafsi kwa sababu ya kutokuwa na mda, karibu utuagize
Tuagize: tutakuletea mzigo kutoka sehemu yoyote ndani ya dar as salaam yaani iwe kukunulia dukani na kukuletea, kwenda kuchukua mzigo mahali A kwenda mahali B,
Mizigo ya kununua: utatutumia picha na maelezo yote kuhusu mzigo kama duka linalouza huo mzigo unalijua utatuambia kama haulijui sisi tutakutafutia, utatuma 30% ya bei baada sisi kukutumia picha ya mzigo kutoka dukani (baada ya kuupa/kuona mzigo Dukani) then kiasi kingine utalipia baada ya kukufikia mzigo wako, na gharama ya kuagiza ni 10000 usafir utalipia wewe,
Mizigo kama vile: simu, nguo za aina zote, viatu vya aina zote, machine, saa za aina zote, TV, deki, perfume, spray, mafuta n.k
Mawasiliano
Whatssap 0688393663
Instagram: son of Africa
SON OF AFRICA COMPANY LTD
Sisi ni vijana wa kitanzania ambao tunafanya shughuli mbalimbali ila leo ninaleta hii nyingine ambayo tunaianzisha ni nyumba kwa nyumba/ofisi kwa ofisi/kijiwe kwa kijiwe
Kutokana na shughuli tofauti tofauti ambazo watu wanazifanya na wengine wanashindwa kufanya manunuzi yao binafsi kwa sababu ya kutokuwa na mda, karibu utuagize
Tuagize: tutakuletea mzigo kutoka sehemu yoyote ndani ya dar as salaam yaani iwe kukunulia dukani na kukuletea, kwenda kuchukua mzigo mahali A kwenda mahali B,
Mizigo ya kununua: utatutumia picha na maelezo yote kuhusu mzigo kama duka linalouza huo mzigo unalijua utatuambia kama haulijui sisi tutakutafutia, utatuma 30% ya bei baada sisi kukutumia picha ya mzigo kutoka dukani (baada ya kuupa/kuona mzigo Dukani) then kiasi kingine utalipia baada ya kukufikia mzigo wako, na gharama ya kuagiza ni 10000 usafir utalipia wewe,
Mizigo kama vile: simu, nguo za aina zote, viatu vya aina zote, machine, saa za aina zote, TV, deki, perfume, spray, mafuta n.k
Mawasiliano
Whatssap 0688393663
Instagram: son of Africa