Tuachieni Nyerere Wetu

Nyerere alikosea sana pale alipoowaaminisha Watanzania kuwa ni ufanyakazi na ukulima pekee ndivyo ambavyo vinaweza kuwaendeleza kingine chochote ni uvivu.

Waislamu ndiyo wahanga wa kwanza wa falsafa hii ya nyerere kwa vile wengi wao si wafanyakazi na wakulima bali ni wafanyabiashara.

Badala ya nyerere kuuangalia ufanyabiashara na kuusaidia yeye aliupiga vita kwa njia kama za kuweka ugumu kuingiza vitu nchini,ugumu wa kusafiri nk.

Suala jingine ni asili ya Waislamu wenyewe kujiwekea malengo makubwa kimaisha, mfano kwa kijana wa Kiislamu kufanyakazi ya mshahara mdogo kwake yeye ni sawasawa na utumwa, atakuwa radhi akae bila kazi kuliko kufanya kazi ya namna hiyo na ndiyo maana utawakuta kuchwa wakiwaza namna ya kwenda nje kwenye maslahi zaidi.

Na kweli wakienda nje utawakuta wakifanya kazi na kusaidia makwao, mfano ukienda Tanga sehemu za sahare na mwambani nyumba karibu zote zilizojengwa kule ni za Watanga wenyewe waliopo nje lakini kwa vile zimepangishwa wahamiaji halafu WaTZ wameaminishwa kuwa "Waislamu ni wavivu" basi wengi huamini kuwa mji unajengwa na wahamiaji.

Kodi zinazopatikana na nyingine zinazotumwa kutoka nje ndizo zinazofanya nyumba nyingi "jiko nalo likafufuka moshi" vinginevyo ingekuwa ni janga kwa vile tu serikali ya nyerere ilitambua ukulima (ufugaji na uvuvi) na ufanyakazi pekee ndivyo ambavyo vinaweza kumletea maendeleo Mtanzania.

...bado kosa na kasumba za nyerere zinaendelea kuwatafuna Watanzania.
 

Ufala unawasumbua hamna mkijuacho.
 

We hili jina lako linanikumbusha kile kiungo kinacho ning'inia huku chini kwa mwanammme! Huwa kikiwa kikubwa kupita kiasi kinaitwa kama wewe!! Lkn kwa kuzunguka!

Haya mawazo yako ni sawa na wale wagalatia wanaoambiwa kunyweni dodoma wine halafi mkaamini kuwa eti ile ni damu ya yesu!
Teh teh teh!
Maeneo uliyotaja yote yako nyuma kimaendeleo kwa sababu NYERERE KTK ULE MFUMO KRISTO ALIOUANZISHA ULIBANA MIKOA YOTE YA WAISLAMU KIMAENDELEO!
Leo ule MFUMO KRISTO umeathiri na kuua KULE MTWARA! KOSA LAO! MTWARA WAISLAMU WENGI!!!
Wengi wenu nyie mna macho lkn hamuoni ukweli.!
Ajeeb!.
 
Swala la kuangalia nani kachaguliwa kwenye nafasi za serekalini linausisha elimu, uzoefu wa kazi na uwezo wakufanya kazi ikilinganisha na watuwengine na nigumu kuonyesha upendeleo. lakini swala la shule ni rahisi kwasababu kilamtu anazijua shule za serekali. Na kama kunashule 20 za wakristo na kuna shule 5 za wisilamu. nyerere anazichukua shule zote alafu anasema zitumike kwa waisilamu na wakristo. basi aliwapendelea waisilamu. kama aliamua kujenga shule kwa maeneo ya waisilamu kama Mombare alivyosema, basi aliwapendelea waisilamu.
 
tukumbuke kwamba wakati tanganyika ilipopata uhuru, sehemu kubwa ya shule ilikuwa mikononi mwa wamishenari. serikali ya nyerere iliyataifisha mashule hayo na kuwaachia seminari tu. kwa njia hiyo alifungua milango kwa watu wa dini zote. na hii ni kweli.
 

huyu nyerere ni mnyama kabisa,aliwapeleka watu waende kukaa kwenye mapori bila ya kuwajengea mazingira salama, matokeo yake watu wameuliwa sana na wanyama wakali...poor leader
 
huyu nyerere ni mnyama kabisa,aliwapeleka watu waende kukaa kwenye mapori bila ya kuwajengea mazingira salama, matokeo yake watu wameuliwa sana na wanyama wakali...poor leader

Wakati yeye na mkewe wako butiama wanakula pesa za tanganyika battery company!! Tartiìiibu!!

Mnfnssssssssssss!
 
Alas! Kumbe ni miongoni mwa mliokuwa mnajichimbia kule msikitini, Msikiti uliojengwa Shuleni, tena shule ya Serikali kwa msaada wa Rais Alhaji Ally Hassan Mwinyi.... Nadhani kama ni ubaguzi wa kwanza ni ule. Unadhani ingekuwaje kama nasi Wakristo tungedai tujengewe mahekaru ?
Nami nimesoma Tabora School, ile shule ambayo Waislam wamejengewa Msikiti na Rais wa Nchi
 

Wacha unafiki wewe! Nimekulia tabora mimi na hakuna shule inaitwa tabora school!!!!!!

Hivi nyie kweli mna wazazi kwenu!?
Unakuja ropoka hapa kama umelewa!
Au unadhani tuko chooni hapa!?

Mnfnsssssssssssssss!

Labda nikuhakikishie kwa shariff Ritz na yeye anaifahamu tabora vilevile!
 
Last edited by a moderator:
Alas! Kumbe ni miongoni mwa mliokuwa mnajichimbia kule msikitini, Msikiti uliojengwa Shuleni, tena shule ya Serikali kwa msaada wa Rais Alhaji Ally Hassan Mwinyi.... Nadhani kama ni ubaguzi wa kwanza ni ule. Unadhani ingekuwaje kama nasi Wakristo tungedai tujengewe mahekaru ?
Nami nimesoma Tabora School, ile shule ambayo Waislam wamejengewa Msikiti na Rais wa Nchi
 
Wewe mjinga! kama hujui Tabora school,basi !
 
Daaah!!! Nimegundua binadamu tunatofautiana sana ktk kupokea, kuelewa na kutoa. Waislam wenzangu tunaonewaaaaa.
Tafakari critically.
 
Wewe mjinga! kama hujui Tabora school,basi !

Teh teh teh teh!
Mbulula ni mbulula tu!
Ngoja nikufahamishe kidogo wewe kikojozi km mimi ni mtu wa tabora.
Kuna
Tabora boys.
Tabora girls.
Mihayo p s
Isike ps
Uyui s.s.
Labda na jeshi la wokovu nursery!
Teh teh teh teh!
Hio tabora school iko wapi??
Halafu mkoa upi umeshaskia unaita shule jina la mkoa! Mfano.

Dar school.
Tanga schoo.
Arusha school.
Mwanza school!!
Wapi??
Hii mitoto mingine sijui imekosa baba wa kuwapeleka shule!?
Hata nashindwa kuelewa!!
 

Sasa mwinyi nae aliona nimuimu kujenga msikiti badala ya kujenga maabara, darasa au hata kuwasaidia waisilamu kwa karo. Hiyo ndi akili ya mwinyi aliyepewa uraisi. Alafu sijui huyo kahtaan analalamika waisilamu walibaniwa nyazifa serekalini wakati mwinyi kapewa alafu anajenga msikiti kwenye shule ya serekali.
 

Halafu wewe lzm utakuwa mkerewe tu!
Teh teh teh teh!

Muimu.alafu my foot!
 
Hakuchua zote shule za seminari hazikutaifishwa.
 

Toa ushahidi siyo unaongea kama kasuku tu.
 

mwl ponda kafanikiwa sana, umemwamini 100% hongera zake huko aliko
 

pamoja na mitusi yako huo ulikuwa ushauri tu,mnaweza kuuchukua au kuuacha.lakn kiukweli waislamu bado sana na wanaonekana watu wasiopenda kazi zaidi ya porojo.
 
Last edited by a moderator:
Hakuchua zote shule za seminari hazikutaifishwa.

Tuambie basi ngapi za waisilamu zilichukuliwa na ngapi za wakristo zilichukuliwa. Nakupa mfano iliboru ya arusha ilichukuliwa. Forodhani pale dar ilikuwa ya kanisa ikachukuliwa. Na zote zimewaze sababisha waisilamu kupendelewa. Sina ubaya kwa waisilamu kosoma pale kwani hata kama zingekuwa chini ya kanisa, kanisa lingewaruhusu waisilamu kusoma. Ninachotaka kiwe wazi ni kwamba waisilamu walipendelewa na nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…