Mwanakondoo ajinasibisha kuwalingania waliopotea kumbe yeye kapotea zaidi ya wale anaowalingania.Waislamu mtabaki kulalamika hivyohivyo, kufanya kazi kwa bidii ni sumu yenu.......
Leo taifa liko katika kumbukumbu za tangu alipotutoka kiongozi shupavu,kipenzi cha watanzania na mwanafalsafa nguli kuwahi kuzaliwa nchini,"Baba wa taifa Mwl. JK NYERERE".Ni kiongozi huyu makini aliyelijenga taifa letu katika misingi ya umoja,amani,upendo na mshikamano..Nyerere enzi za uhai wake alilaani na kupinga vikali ubaguzi wa rangi,jinsi,dini na kabila kutamalaki nchini,pia alishiriki kwa vitendo kupinga na kupiga vita aliowaita maadui wakuu wa mtanzania yaani,UJINGA,UMASKINI na MARADHI na kuwataka wananchi wakupiga vita pale wawaonapo.Ni kiongozi huyu alipenda elimu kwa lengo la kuhakikisha watanzania wanapata mwanga wa ukweli ili kukabiliana na changamoto za ujenzi wa taifa.Alichukia kwa viwango vyote ubinafsi,ufisadi,ulimbikizaji wa mali,ulaghai na wizi katika sekta na taasisi za serikali.Ndugu zangu ni kosa kuu kutomuenzi mpiganiaji mahiri huyu wa haki za mtanzania na wengine wa style yake,katika mchango wao wa kulea na kutengeneza mazingira ya amani na upendo tunaojivunia leo.(R.I.P JK NYERERE).
na mimi nasikitika kukuambia kuwa hujui lolote kuhusiana na historia ya nchi hii, kama sikosei wewe utakuwa mhamiaji haramu otherwise huwezi kusema kuwa Mwl. Nyerere hakuweka misingi endelevu. Nakushauri nenda kasome kitu kinaitwa nation building all over the Afrika then utaona ni kwa jinsi gani Mwl. Nyerere alifanikiwa kuliko viongozi wengine Afrika
Kutangazwa mwenye Heri
Kwa taratibu za Kanisa Katoliki,
mchakato wa kumtangaza Mwalimu
Nyerere kuwa mtakatifu ulianza
mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa
kibali rasmi kutoka Roma makao ya
Baba Mtakatifu, limeshamtangaza
kuwa mwenyeheri.
Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza
ya kuingia utakatifu. Wakristo
wakatoliki wameanzisha sala maalumu
na kufanya maombi kwa nia ya
maombezi yake ili aweze kutangazwa
kuwa mtakatifu.
Ibada ya kwanza ilifanyika katika
kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na
kuongozwa na aliyekuwa askofu wa
Jimbo hilo marehemu askofu Justine
Samba.
Mafanikio gani unayo yaongelea hapa!
Hebu tafadhali usichafue mazingira hapa!
Kupanga foleni ya unga wa njano ndio mafanikio hayo?
Kugawiwa sukari nusu kilo kwa mwenzi ndio mafanikioa hayo??
Kunyimwa uhuru wa kuikemea serikali na watu kutiwa mahabusu miaka chungu mzima ndio mafanikio hayo!?
Kutuletea MFUMO.KRISTO ndio mafanikio hayo??
Ustake kunchafua hapa! Baadhi ya Wenzetu wa Afrika wameanza kuona matunda ya uhuru mara baada tu ya wakoloni kuondoka!
Sisi badala ya kufurahi wakoloni kuondoka! Wazee wetu walinza kulaani namna serikali chini ya uongozi wa huyo mkatoliki ilivyo kuwa ina wanyanyasa!
Walitamani waingereza warudi kuendelea kuwatawala!
Sasa usiongee vitu kama huna kichwa!!
Maneno meeeengi lkn kwa mtanzania mwenye kuufahamu ukweli haya maana yoyote ! Na ni uongo mtupu!
We unamsifia MDINI? NA MBAGUZI?
Nyerere ktk umri wake toka baada tu ya kupata uhuru YYT ASIEKUWA.MKRISTO KWAKE ALIKUWA NI UCHAFU TU!
Kanisa aliliweka.mbele mpaka kwenye ruzuku za serikali.
We kaa ukijaribu kudanganya watu kuwa Nyerere alikuwa mwema!
Yule alikuwa ni nyoka anae kuuma huku anakupuliza! Anakuchekea hadharani akiingia ndani anakuwekea sumu kwenye chakula!
Ikiwa unampenda kiasi cha kutetea uovu wake hadharani namna hii! Basi mfate huko KUZIMU.
Wewe ni mwalimu wa kigalatia ambae usingefika kumsifia huyu muovu ispokuwa ule MFUMO KRISTO aliuacha umekufikisha hapo ulipo na kwa kuandika description zako na wapi unapatikana NI MOJA YA KUTAFUTA SIFA ZISIZO KUWA NA MAANA!
Ukitetea uovu basi iko siku utakudhuru wewe au kizazi chako! Watch out!!
Wakatooliki ndio hasa wanapaswa kumuenzi na hata kumwita mwenye heri heri na sasa baba mtakatifu maana alilitumikia sana kanisa kuliko alivyolitumikia taifa.
Tv zilipigwa marufuku,sabuni unapanga foleni kwa kutwa nzima na hata hivyo huambulii kitu.
Kanisa katoliki ndio lililonufaika na Nyerere kwa kupewa mabiliini ya pesa ili kuliimarisha kanisa na hata kufikia kumteua padri katika kamati mojawapo ya TANU ili kulinda maslahi ya kanisa.
Mokoyo usiangaike na hawa vijana wa kipata na gerezani mzee Mohamed Said amewaharibu
Wakatooliki ndio hasa wanapaswa kumuenzi na hata kumwita mwenye heri heri na sasa baba mtakatifu maana alilitumikia sana kanisa kuliko alivyolitumikia taifa.
Tv zilipigwa marufuku,sabuni unapanga foleni kwa kutwa nzima na hata hivyo huambulii kitu.
Kanisa katoliki ndio lililonufaika na Nyerere kwa kupewa mabiliini ya pesa ili kuliimarisha kanisa na hata kufikia kumteua padri katika kamati mojawapo ya TANU ili kulinda maslahi ya kanisa.
Try to tell the people who lost their loved one during nyereres era!
He couldn't care what is legal and whats illegal !
Ttzo nyerere wako alikuwa mdini.
watu wenye akili fupi kama yako hamtakiwi kwenye jamii ya watu wastaarabu, kama nchi ni ya kikristu inakuwaje rais ni mwislamu ? acha kuiga mawazo mgandoWacha uongo wako we mtoto!
Unasema huyo MDINI ALIKUWA KIPENZI CHA WATANZANIA!?
WE HUNA HAYA? AU HUNA ELIMU?
Huyu umuitae baba! Ametuachia nuksi ya MFUMO KRISTO. na mpaka leo watu wanauawa kwa ajili yake!
Halafu unasema alikuwa kipenzi??nfnsssssssss!
Ama kweli wewe umetuvunjia heshima waungwana wengi sana humu!!
nyerere hawezi kuwa sababu ya ugumu wa maisha yako,ukilaza wako ndo sababu ya umasikini wako, taka usitake nyerere atabaki kuwa baba wataifa hili na hakuna jambo lolote linaloweza badili historia hiyo.
khaatan dont let your emotion decieve u
history has no place for emotion driven people like u
one leo tuna mkumbuka nyerere ambaye wewe ume mbrand mbaguzi na mdini
so far wewe ndo unaonekana mdini na mbaguzi
niliwahi kukwambia hii kwenye thread moja narudia tena leo
dont take things too personal