Punguzeni kushobokea watu.Haupo peke yako nimewahi kutana na mtu tumesoma Chuo kimoja na namjua vizuri Ila yule ni 🖕🏽🖕🏽🖕🏽 yaan alinikataa Posta pale chini ya Jengo la BMkapa kwamba eti hanijui kima yule hata sikutaka kumkumbusha nikapita wima pumbavu
Kuna mwingine nilikutana nae road nilikua napiga kazi sehemu sasa nikawa nimepotea nimesimama kazi miezi km mitatu nakutana nae road nampa hi ananishangaa namuuliza vipi yaan mtu miezi mitatu nyuma tulikua tunapiga story leo anajifanya hanijui eti nikampa 🖕🏽 alafu nikamkumbusha wewe kima mimi hujui tulikua wote ofisi fulani akaanza kucheka kwa nguvu sana hadi watu wakaanza kumshangaa nikamwambia kima wewe chukua na hii 🖕🏽🖕🏽🖕🏽 alafu nikapita wima
Watu kufananishwa kwa asilimia mia(100%) ni jambo la kawaida sana. Mimi binafsi ninasura komoni na nimekuwa na bahati ya kufananishwa kwa mema hapa Afrika Madhariki na ya Kati nisafiripo, shida siku nikifananishwa kwa mabaya sijui itakuwaje.Kiherehere cha kushobokea watu
Nimekutana na rafiki yangu ambaye tumesoma darasa moja toka la kwanza hadi form 4 , na tulikuwa tunakesha wote Kusoma huku tukiloweka miguu kwenye maji ili tusisinzie.
Matokeo yalivyotoka yeye akaendelea mbele mimi nikaanza kuingia kitaa
Leo nimekutana nae baada ya miaka zaidi ya 13 kasema hanitambui tena mbele ya watu na hana kumbukumbu ya jina nililomwambia.
Nimeona aibu sana licha ya kwamba lengo lilikuwa kusalimiana tu
Jamaa akajua ninataka kumpiga mzinga.
Kufwafwanzika kubaya sana tuache shobo na watu.
Asee hivi hamjaacha kujieleza kwa watu? Mkuu pambana kutengeneza maisha yako ili upunguze kujieleza sana kwa watu, ona sasa unavyopata fedheha bila sababu! Jijenge watu wenyewe watakufahamu bila hata wewe kuonana naoMkuu ni yeye kabisa maana nilimuita kwa jina la shule na akaitika
Maana hata alivyokuwa akinijibu ni mtu aliyekuwa ananifahamu vizuri sema hakuhitaji shobo.
Duu inamaana pamoja ya wewe kuwa na maarifa ya kitaa Bado katoboa kabla yakoKiherehere cha kushobokea watu
Nimekutana na rafiki yangu ambaye tumesoma darasa moja toka la kwanza hadi form 4 , na tulikuwa tunakesha wote Kusoma huku tukiloweka miguu kwenye maji ili tusisinzie.
Matokeo yalivyotoka yeye akaendelea mbele mimi nikaanza kuingia kitaa
Leo nimekutana nae baada ya miaka zaidi ya 13 kasema hanitambui tena mbele ya watu na hana kumbukumbu ya jina nililomwambia.
Nimeona aibu sana licha ya kwamba lengo lilikuwa kusalimiana tu
Jamaa akajua ninataka kumpiga mzinga.
Kufwafwanzika kubaya sana tuache shobo na watu.
Ni kweli, Ila mi bado nawakumbuka mate wangu ambao tumeachana since 83 ije kuwa huyo wa juzi tu?Mwaka 13 ni mingi mdau usimlaumu Bure huenda amekusahau kweli.