TUACHE

TUACHE

Joined
Jan 21, 2018
Posts
35
Reaction score
33
Haya ndo matokeo halisi ya shule zilizozagaa mitandaoni kuwa zimekuwa za mwisho katika mitihani ya kidato cha nne 2020.

1. S 3110 Chingungwe ina div I 1, II 1, III 8, IV 27, 0 2. Na imeshika nafasi ya 21/33 na 669/986.

2. S 3727 Malocho divI 0, II 1, III 0, IV 24, 0 24. Imeshika nafasi ya 109/109 kimkoa na 3894/3956 kitaifa.

3. S 4469 Nywelo ina div I 1, II 2, III 5, IV 13, 0 6. Imeshika nafasi ya 32/79 kimkoa na 711/986 kitaifa. (Tanga)

4. S 3718 Naputa ina div I 1, II 4, III 7, IV 37 0 3. Imeshika nafasi ya 65/109 kimkoa na 2505/3956 kitaifa.

5. S 4100 Salama ina div I 0, II 1, III 3, IV 26, 0 15. Imeshika nafasi ya 108/109 kimkoa na 3784/3956 kitaifa.

6. S 3704 Chanikanguo ina div I 1, II 1, III 2, IV 31, 0 13. Imeshika nafasi ya 104/109 kimkoa na 3563/3956 kitaifa.

7. S 3434 Mtiniko ina div I 1, II 4, III 4, IV 52, 0 9. Imeshika nafasi ya 91/109 kimkoa na 3250/3956 kitaifa.

8. S 1435 Michiga ina div I 0, II 5, III 12, IV 27, 0 8. Imeshika nafasi ya 51/109 kimkoa na 2123/3956 kitaifa.

9. S 1655 Msimbati ina div I 0, II 2, III 5, IV 33, 0 9. Imeshika nafasi ya 99/109 kimkoa na 3500/3956 kitaifa.

10. S 4888 Lukokoda s/s ina div I 0, II 1, III 5, IV 15, 0 2. Imeshika nafasi ya 27/33 kimkoa na 737/986 kitaifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom