Haiku
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,941
- 2,084
Habari zenu wakuu. Ni wazi kwamba hakuna aliyefanikiwa hapa duniani kwa kuwa muoga kuthubutu kufanya jambo lolote lenye faida. Moja kati ya fursa ambayo wengi hanaogopa kujihusisha nayo ni siasa, aidha kwa kuiogopa au kuto itilia maanani.
Wapendwa tuacheni uoga na uzembe, we have to take risk. Yafuatayo ni marupu rupu ya ubunge.
1.Mshahara 3.8M kwa mwezi
2.Posho mwezi 8M
3.Posho kikao 240k
4.Kujikimu siku 120k
5.Pensheni 240M baada ya 5yrs
6.Bima ya afya daraja la kwanza wewe&familia.
7.Safari za nje
8.Mshahara bila makato ya Bima ya afya wala mifuko ya hifadhi za jamii.
Tafakari, chukua hatua. Iweje ukoo mzima akosekane Mbunge hata mmoja, hata kutia nia tu tuondoe mkosi.
Wapendwa tuacheni uoga na uzembe, we have to take risk. Yafuatayo ni marupu rupu ya ubunge.
1.Mshahara 3.8M kwa mwezi
2.Posho mwezi 8M
3.Posho kikao 240k
4.Kujikimu siku 120k
5.Pensheni 240M baada ya 5yrs
6.Bima ya afya daraja la kwanza wewe&familia.
7.Safari za nje
8.Mshahara bila makato ya Bima ya afya wala mifuko ya hifadhi za jamii.
Tafakari, chukua hatua. Iweje ukoo mzima akosekane Mbunge hata mmoja, hata kutia nia tu tuondoe mkosi.