Cha kunishangaza masikini hao hao ndio watu wa kwanza kuipigia kura Ccm na mikoa yao imetajwa tayari
Nadhani kuna vichembe hai vya laana vinafanya kazi miongoni mwa jamii yetu.
Watu maamuzi magumu hawafanyi wabebaki kulalama tu,hawaoni wenzetu nigeria wamefanya maamuzi?