lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Wana jamii forum tuache utani na tuweke itakadi pepeni viongozi wa tanzania hawajui umaskini wa mtanzania? Na kama wanajua ualisia basi wana furahiya watanzania kuwa masikini.
Amini amini nakuambieni kuna watanzania wengi hawajawai kulalia magoro karne hii na wala hawaze kuogea maji safi tena wengi sana lkn viongozi wanaishi kwa raha na kukejeli watanzania hawa hawa ambao ni masiki
Amini amini nakuambieni kuna watanzania wengi hawajawai kulalia magoro karne hii na wala hawaze kuogea maji safi tena wengi sana lkn viongozi wanaishi kwa raha na kukejeli watanzania hawa hawa ambao ni masiki