Tuache utani Jezi za Simba ni MBAYA

Tuache utani Jezi za Simba ni MBAYA

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
2,507
Reaction score
4,933
Mimi ni shabiki lakini lazima ukweli usemwe, Simba tunakwama wapi kwenye kutengeneza jezi kali? Hizi zinatofauto gani na yale matambara ya kwenye mitumba karume? Kwamba designer amelipwa mamilioni kutoa huu uchafu?

Sijui tunakwama wapi.

GTQKI3vWIAAz_u_.jpeg


#UBAYA UBWEGE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom